Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Duh.Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Unbeaten gan wakat al hilal wamecheza na mtaj. Labda unbeaten kweny ligi ya mchongoLazima muumie! Na mtaumia sana! Ha ha haaa!
Endeleeni na mbambamba kushituka mwezi May huu hapa mna anza kufukuzana tenaUnbeaten gan wakat al hilal wamecheza na mtaj. Labda unbeaten kweny ligi ya mchongo
Leo kwa mara ya kwanza nimeona hauja-italize maandishi mkuu, 😂Wala haikuwa lugha ya kukera. Ilikuwa ni lugha sahihi kabisa. Siku zote wazazi hujivunia kuwa na watoto werevu, na siyo watoto wenye akili za kipopoma kama hizi za kwako!
Na ni watu wapumbavu pekee ndiyo wataamini hicho ulicho kielezea hapo juu.
ushawahi jaribu kuvuta bangi mbichi?Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Nitisho kwa wanalunyasi aka 🦁fc. Pia maana yake ni mabingwa wanao wa NBC na confederation 🏆🚶An biten ndo nn?
Hiyo ni mboga chali angu🚶ushawahi jaribu kuvuta bangi mbichi?
Akili za wapi hizi? Toka lini maneno au kauli zikathibitishwa kwa picha? Halafu unajisifu kabisa eti ushahidi wa picha. Kupenda timu kunawafanya watu wajitoe akili kiasi hikiUshahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Pole vumilia tu. Hakuna namna. Ha ha ha haaa!Unbeaten gan wakat al hilal wamecheza na mtaj. Labda unbeaten kweny ligi ya mchongo
Kwa diarra si mara ya kwanza hata mechi moja ya azam federation alifanya.Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Wakichelewa kuchukua hatua, inabidi uichukue wewe.Yaani ni aibu kwa taifa. TFF sasa wanatakiwa wachukue hatua.
Mkuu changaule kwanini uendelee kupoteza muda kumuelewesha mtu ambaye anafanya kusudi kutaka kuaminisha umma kua Erick Mwijage alikosa ile penalty kimakusudi?.Jibu swali kama nilivyokuuliza. Hilo ulichokisema wewe tunakuja kuliuliza baada ya kunijibu swali langu. Je wakati Diarra anatoka golini je mpira ulikuwa upo chini au ulikuwa umeshikiliwa na mchezaji wa Kagera?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
We ulisikia hayo amaneo yakitamkwa? Kubalini tu kwamba mwamba ni screen protector, HUTAKI sepaRudi kaangalie kile kipande ndio uje kubisha hapa.
Hivi unatesekea wapi?Haya maelezo yako hapa ni aibu tupu. Pale hakwenda kujadili bali aliinama ili aambiwe upande. Majadiliano yalishafanyika kabla ya mchezo.
Wewe huoni kwamba kilichotokea pale ni kitu cha ajabu sana?
Yaani mpira awe nao mchezaji wa kagera lakini Diarra ainame palepale.