Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hayo maneno umeyasikia vipi wakati Diarra mdomo wake hakuonesha kuongea?Alimwambia, "your left below" pale alipofika na kuinama.
Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539
Aliyeongea ni mwijageWewe hayo maneno umeyasikia vipi wakati Diarra mdomo wake hakuonesha kuongea?
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Endeleeni na mbambamba kushituka mwezi May huu hapa !Afadhali mkuu umeongea uhalisia. Walipeana taarifa iende upande upi.
Unayehangaika na hawa Mazuzu ni wewe tu.Ufikie wakati tukue kiakili ya ushabiki sio kuleta hisia za kishabiki. Haya embu leta clip ikionesha mdomo wa Diarra ukiwa unacheza cheza hapo alipokuwa ameinama. Tusiende mbali kuwa kaongea nini bali tuone tu kama kuna maneno kayaongea.
Mimi nimeitaza hiyo kipande ni kwamba Diarra alitoka golini kwake kwa lengo la kuuchukua mpira aushike shike nadhani tunaona ni tabia za makipa wengi tu, ikitokea penati huwa wanajisikia raha kwenda kuuchukua mpira na kuumbatia au kuushika shika. Bila shaka lengo ni kuutoa hofu kwake na kumtisha mpinzani anayepiga penati
Saaa Diarra alienda kwa hilo lengo ila mchezaji wa Kagera akauwahi kuukamata ule mpira, Diarra akabakia kuinama. Kuinama kati ya Diarra na mchezaji wa Kagera haikufukisha hata sekunde tano hivyo hakukuwa na majadiliano yoyote ila Diarra ndiye aliyeinama kwa muda mrefu. Imetokea coincidence ya wote kuonekana wameinama kwavile lengo la Diarra limestukiwa na mchezaji wa Kagera.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Lugha gani hii?An biten ya mchongo.
Itakua wakati mwameja anadaka pale Simba ulikua kwenye korodani za mzee wakoHaya maelezo yako hapa ni aibu tupu. Pale hakwenda kujadili bali aliinama ili aambiwe upande. Majadiliano yalishafanyika kabla ya mchezo.
Wewe huoni kwamba kilichotokea pale ni kitu cha ajabu sana?
Yaani mpira awe nao mchezaji wa kagera lakini Diarra ainame palepale.
Kama kuna ukweli Aiseeee !!!Ushahidi wa picha unaonesha Diarra akienda na kuinama kisha Mwijage naye akainama pale wakanong'onezana.
Diarra alipangua penati ile nyepesi.
View attachment 2416539