Erick Mwijage alimwambia Djigui Diarra upande atakaopiga penati katika mchezo wa Yanga na Kagera sugar jana

Wakati wa penati kipa anatakiwa kuwa wapi? Kwanini aliendelea kuinama pale wakati tayari mchezaji wa kagera alishauwahi mpira?
Jibu swali kama nilivyokuuliza. Hilo ulichokisema wewe tunakuja kuliuliza baada ya kunijibu swali langu. Je wakati Diarra anatoka golini je mpira ulikuwa upo chini au ulikuwa umeshikiliwa na mchezaji wa Kagera?

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Msimu uliopita Simba kakosa penalties 5 kulikua na majadiliano?
 
Mpira lazima uwe chini ulitaka uwe wapi?
 
Mpira lazima uwe chini ulitaka uwe wapi?
Mpira ulivyokuwa chini, kuna kiashiria chochote ambacho wewe mwenzetu umekiona kilichoonesha Diarra kaongea kitu kwa mpiga penati? (Tokea anatokea golini kwake hadi kuwa karibu na mpigaji wa penati)

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Alimwambia, "your left below" pale alipofika na kuinama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…