Erick Mwijage alimwambia Djigui Diarra upande atakaopiga penati katika mchezo wa Yanga na Kagera sugar jana

Sidhani kama ni kweli ila kwa kipa mwenye uwezo kama diarra ile penati ni nyepesi sana coz alioneshwa wazi na mpigaji kuwa anapiga kulia
Afadhali mkuu umeongea uhalisia. Walipeana taarifa iende upande upi.
 
Unayehangaika na hawa Mazuzu ni wewe tu.
 
Nimeanza kuelewa kwann ambangire anapenda kuchambua mpira wa ulaya na sio huu ujinga wa simba na yanga ...
 
Itakua wakati mwameja anadaka pale Simba ulikua kwenye korodani za mzee wako
 
Wanasimba daini uchaguzi wa timu lenu, acheni ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…