ESCROW: Jaji Werema ametangulia mbele za haki David Kafulila anakumbukwa kwa ushujaa aliounesha?

Kafulila anafaa kuwa Waziri Mkuu zaidi kuliko Rais,

I stand to be correct 🙏
 
Kafulila anamisimamo sana naamini kama atatulia CCM atafika mbali sana kwenye Taifa hili
 
Kama mke wa Kafulila anayelala nae kitanda kimoja huku akimkuna kitambi hana imani na Kafulila na anamuona ni mwanasiasa asiye na msimamo wewe chawa utatuambia nini?View attachment 3188727
Kafulila kwanini alimwacha Jesca au Jesca ndio alimwacha Kafulila?
Hii kitu inampotezea sana Kafulila credibility,
Kafulila aoe rasmi ili watu pia warudishe Imani nae hasa kwenye mambo haya ya siasa
Kuhusu Urais Kafulila anahitaji muda Zaid
 
KAFULILA kwani Yuko wapi siku hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…