ESCROW: Jaji Werema ametangulia mbele za haki David Kafulila anakumbukwa kwa ushujaa aliounesha?

ESCROW: Jaji Werema ametangulia mbele za haki David Kafulila anakumbukwa kwa ushujaa aliounesha?

View attachment 3188723

View: https://youtu.be/WtR-R6t4_3I?si=GFTUg2eeFWxevoBn
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na ipumzike kwa amani -AMINA

Leo mara baada ya kupata taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya nne (4) chini ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Mhe Jaji Frederick Werema,

Haraka nikamkumbuka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe David Zacharia Kafulila namna walivyo pambana Bungeni Jaji Werema akiitetea Serikali dhidi Kafulila aliyekuwa akiwatetea Wananchi katika kashfa ya uchotaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zaidi TZS221 bilioni.

Sitaki kurejea sakati lile, Ila..

Shujaa David Kafulila pamoja na mapambano yale yote bahati mbaya shujaa huyu hakuwahi kutambuliwa popote Tanzania ( Officially) kama shujaa wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi zaidi ya watu kupambana kuhakikisha harudi tena Bungeni kabla na baada ya 2015.

Kifo cha Jaji Frederick Werema kinaturejesha na kutukumbusha kusahaulika kabisa kwa David Kafulila kwenye medani za siasa za kupamba na rushwa na ufisadi huenda hii ikawa ni ishara ya nchi yetu kuchukia wanaochukia rushwa na Ufisadi kwa moyo na nguvu zao zote aina ya David Kafulila.

Swali, Je, Leo hii kwanini hakuna tena akina Kafulila wengine Bungeni?

Soma pia AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

Mwaka 2030 kama maamuzi yangekuwa ni yangu basi David Kafulila ningemkabidhi Urais wa JMT mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake ili apambane na rushwa na Ufisadi ulioota madevu na masharubu.

Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?

Mungu ibariki Tanzania,


View: https://youtu.be/Qg5dWRyjVOE?si=ako4Bhu7IRztYfv_

Kafulila ndio Rais nakubali
 
View attachment 3188723

View: https://youtu.be/WtR-R6t4_3I?si=GFTUg2eeFWxevoBn
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na ipumzike kwa amani -AMINA

Leo mara baada ya kupata taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya nne (4) chini ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Mhe Jaji Frederick Werema,

Haraka nikamkumbuka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe David Zacharia Kafulila namna walivyo pambana Bungeni Jaji Werema akiitetea Serikali dhidi Kafulila aliyekuwa akiwatetea Wananchi katika kashfa ya uchotaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zaidi TZS221 bilioni.

Sitaki kurejea sakati lile, Ila..

Shujaa David Kafulila pamoja na mapambano yale yote bahati mbaya shujaa huyu hakuwahi kutambuliwa popote Tanzania ( Officially) kama shujaa wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi zaidi ya watu kupambana kuhakikisha harudi tena Bungeni kabla na baada ya 2015.

Kifo cha Jaji Frederick Werema kinaturejesha na kutukumbusha kusahaulika kabisa kwa David Kafulila kwenye medani za siasa za kupamba na rushwa na ufisadi huenda hii ikawa ni ishara ya nchi yetu kuchukia wanaochukia rushwa na Ufisadi kwa moyo na nguvu zao zote aina ya David Kafulila.

Swali, Je, Leo hii kwanini hakuna tena akina Kafulila wengine Bungeni?

Soma pia AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

Mwaka 2030 kama maamuzi yangekuwa ni yangu basi David Kafulila ningemkabidhi Urais wa JMT mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake ili apambane na rushwa na Ufisadi ulioota madevu na masharubu.

Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?

Mungu ibariki Tanzania,


View: https://youtu.be/Qg5dWRyjVOE?si=ako4Bhu7IRztYfv_

Wapambanaji wa rushwa na Ufisadi Nchi hii huwa wanapigwa vita sana na huwa hawapati sapoti yeyote kutoka kwa hao wanaopambaniwa!

Tena si ajabu hao hao wanaopambaniwa ndio wakatumwa waje wakunyamazishe kwa maumivu kiaina aina kwa kupewa ujira mdogo tu !!
Bure kabisa. !
 
View attachment 3188723

View: https://youtu.be/WtR-R6t4_3I?si=GFTUg2eeFWxevoBn
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na ipumzike kwa amani -AMINA

Leo mara baada ya kupata taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya nne (4) chini ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Mhe Jaji Frederick Werema,

Haraka nikamkumbuka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe David Zacharia Kafulila namna walivyo pambana Bungeni Jaji Werema akiitetea Serikali dhidi Kafulila aliyekuwa akiwatetea Wananchi katika kashfa ya uchotaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zaidi TZS221 bilioni.

Sitaki kurejea sakati lile, Ila..

Shujaa David Kafulila pamoja na mapambano yale yote bahati mbaya shujaa huyu hakuwahi kutambuliwa popote Tanzania ( Officially) kama shujaa wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi zaidi ya watu kupambana kuhakikisha harudi tena Bungeni kabla na baada ya 2015.

Kifo cha Jaji Frederick Werema kinaturejesha na kutukumbusha kusahaulika kabisa kwa David Kafulila kwenye medani za siasa za kupamba na rushwa na ufisadi huenda hii ikawa ni ishara ya nchi yetu kuchukia wanaochukia rushwa na Ufisadi kwa moyo na nguvu zao zote aina ya David Kafulila.

Swali, Je, Leo hii kwanini hakuna tena akina Kafulila wengine Bungeni?

Soma pia AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

Mwaka 2030 kama maamuzi yangekuwa ni yangu basi David Kafulila ningemkabidhi Urais wa JMT mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake ili apambane na rushwa na Ufisadi ulioota madevu na masharubu.

Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?

Mungu ibariki Tanzania,


View: https://youtu.be/Qg5dWRyjVOE?si=ako4Bhu7IRztYfv_

Sema umesahau huyu kijana alibatizwa jina la Tumbili.... 🤣
 
View attachment 3188723

View: https://youtu.be/WtR-R6t4_3I?si=GFTUg2eeFWxevoBn
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na ipumzike kwa amani -AMINA

Leo mara baada ya kupata taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya nne (4) chini ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Mhe Jaji Frederick Werema,

Haraka nikamkumbuka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe David Zacharia Kafulila namna walivyo pambana Bungeni Jaji Werema akiitetea Serikali dhidi Kafulila aliyekuwa akiwatetea Wananchi katika kashfa ya uchotaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zaidi TZS221 bilioni.

Sitaki kurejea sakati lile, Ila..

Shujaa David Kafulila pamoja na mapambano yale yote bahati mbaya shujaa huyu hakuwahi kutambuliwa popote Tanzania ( Officially) kama shujaa wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi zaidi ya watu kupambana kuhakikisha harudi tena Bungeni kabla na baada ya 2015.

Kifo cha Jaji Frederick Werema kinaturejesha na kutukumbusha kusahaulika kabisa kwa David Kafulila kwenye medani za siasa za kupamba na rushwa na ufisadi huenda hii ikawa ni ishara ya nchi yetu kuchukia wanaochukia rushwa na Ufisadi kwa moyo na nguvu zao zote aina ya David Kafulila.

Swali, Je, Leo hii kwanini hakuna tena akina Kafulila wengine Bungeni?

Soma pia AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

Mwaka 2030 kama maamuzi yangekuwa ni yangu basi David Kafulila ningemkabidhi Urais wa JMT mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake ili apambane na rushwa na Ufisadi ulioota madevu na masharubu.

Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?

Mungu ibariki Tanzania,


View: https://youtu.be/Qg5dWRyjVOE?si=ako4Bhu7IRztYfv_

Sawa
 
image-insert-your-face-monkey-baby-animal-34515.jpg
 
View attachment 3188723

View: https://youtu.be/WtR-R6t4_3I?si=GFTUg2eeFWxevoBn
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na ipumzike kwa amani -AMINA

Leo mara baada ya kupata taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya nne (4) chini ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Mhe Jaji Frederick Werema,

Haraka nikamkumbuka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe David Zacharia Kafulila namna walivyo pambana Bungeni Jaji Werema akiitetea Serikali dhidi Kafulila aliyekuwa akiwatetea Wananchi katika kashfa ya uchotaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zaidi TZS221 bilioni.

Sitaki kurejea sakati lile, Ila..

Shujaa David Kafulila pamoja na mapambano yale yote bahati mbaya shujaa huyu hakuwahi kutambuliwa popote Tanzania ( Officially) kama shujaa wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi zaidi ya watu kupambana kuhakikisha harudi tena Bungeni kabla na baada ya 2015.

Kifo cha Jaji Frederick Werema kinaturejesha na kutukumbusha kusahaulika kabisa kwa David Kafulila kwenye medani za siasa za kupamba na rushwa na ufisadi huenda hii ikawa ni ishara ya nchi yetu kuchukia wanaochukia rushwa na Ufisadi kwa moyo na nguvu zao zote aina ya David Kafulila.

Swali, Je, Leo hii kwanini hakuna tena akina Kafulila wengine Bungeni?

Soma pia AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

Mwaka 2030 kama maamuzi yangekuwa ni yangu basi David Kafulila ningemkabidhi Urais wa JMT mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake ili apambane na rushwa na Ufisadi ulioota madevu na masharubu.

Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?

Mungu ibariki Tanzania,


View: https://youtu.be/Qg5dWRyjVOE?si=ako4Bhu7IRztYfv_

Kafulila ni mwamba kitambo
 
View attachment 3188723

View: https://youtu.be/WtR-R6t4_3I?si=GFTUg2eeFWxevoBn
Roho ya Marehemu ipate rehema kwa Mungu na ipumzike kwa amani -AMINA

Leo mara baada ya kupata taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya nne (4) chini ya Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Mhe Jaji Frederick Werema,

Haraka nikamkumbuka aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe David Zacharia Kafulila namna walivyo pambana Bungeni Jaji Werema akiitetea Serikali dhidi Kafulila aliyekuwa akiwatetea Wananchi katika kashfa ya uchotaji wa pesa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow zaidi TZS221 bilioni.

Sitaki kurejea sakati lile, Ila..

Shujaa David Kafulila pamoja na mapambano yale yote bahati mbaya shujaa huyu hakuwahi kutambuliwa popote Tanzania ( Officially) kama shujaa wa mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi zaidi ya watu kupambana kuhakikisha harudi tena Bungeni kabla na baada ya 2015.

Kifo cha Jaji Frederick Werema kinaturejesha na kutukumbusha kusahaulika kabisa kwa David Kafulila kwenye medani za siasa za kupamba na rushwa na ufisadi huenda hii ikawa ni ishara ya nchi yetu kuchukia wanaochukia rushwa na Ufisadi kwa moyo na nguvu zao zote aina ya David Kafulila.

Swali, Je, Leo hii kwanini hakuna tena akina Kafulila wengine Bungeni?

Soma pia AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

Mwaka 2030 kama maamuzi yangekuwa ni yangu basi David Kafulila ningemkabidhi Urais wa JMT mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumaliza muda wake ili apambane na rushwa na Ufisadi ulioota madevu na masharubu.

Je, ni wangapi mnawaza kama Mimi kuhusu Urais na Kafulila?

Mungu ibariki Tanzania,


View: https://youtu.be/Qg5dWRyjVOE?si=ako4Bhu7IRztYfv_

Kafulila aandaliwe tuzo kama kumbukumbu ya alichokifanya 2014
 
Kwa kipindi hiki mimi nimeshabadilsha mtizamo kuhusiana na scandals hizi; yaweza kuwa hata ESCROW nayo pia yalikuwa ni makinikia mengine tu katika muundo ambao hatukufanikiwa kuyabaini kuwa yalikuwa makinikia kwa wakati huo

Hasa nimepata mtizamo huu baada ya kuwa nimejjiridhisha pasipo shaka kabisa kuwa RICHMOND yalikuwa ni makinikia ambayo yalikusudiwa kuwa-destabilize viongozi wakubwa wa nchi ili kuvuruga miradi mikubwa ya maendeleo waliyokuwa wakiifanya kipindi hicho

Hata ESCROW yaweza pia kuwa yalikuwa ni makinikia yaliyokuwa yemefichwa ndani ya gunia
 
Back
Top Bottom