Ester Bulaya: Mkandarasi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere anataka kushtaki alipwe nyongeza wakati mradi haujakamilika

Tuendelee kuwa wapole huku hela za Umma zinapigwa.

Hapo unakuta kuna watu ndani ya Serikali wamemwambia Mkandarasi kashitaki utalipwa labda Bilioni 30, kwenye hizo 30 zetu 15.

Baada ya muda mnasika sijui fulani ameagiza mabasi mapya 200 kumbe ni hela zetu, na ukisema unaambiwa una wivu

Poor Tanzania 🙆
 
Wameshaona bibi yetu ni tepe tepe ukigusa tu unalipwa
 
Inasikitisha sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Acha alipwe tu ,mbona yeye Bulaya analipwa pesa wakati siyo mbunge!
Uelewe hoja mkuu kwanza ndo ujibu , na sio kuanzisha hoja nyingine ambayo Haina uhasiano,
Unajua wakilipwa hizo fedha NJ za nani ?
 
Tuliwambia mwendazake majanga oneni mabomu yanavyo lipuka. Yy kakufa zake uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…