Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Tuendelee kuwa wapole huku hela za Umma zinapigwa.
Hapo unakuta kuna watu ndani ya Serikali wamemwambia Mkandarasi kashitaki utalipwa labda Bilioni 30, kwenye hizo 30 zetu 15.
Baada ya muda mnasika sijui fulani ameagiza mabasi mapya 200 kumbe ni hela zetu, na ukisema unaambiwa una wivu
Poor Tanzania 🙆
Hapo unakuta kuna watu ndani ya Serikali wamemwambia Mkandarasi kashitaki utalipwa labda Bilioni 30, kwenye hizo 30 zetu 15.
Baada ya muda mnasika sijui fulani ameagiza mabasi mapya 200 kumbe ni hela zetu, na ukisema unaambiwa una wivu
Poor Tanzania 🙆