Ester Matiko: Kama Chama kikiona kuna mwingine anafaa zaidi ya Ester Matiko, niko tayari

Rasmi nimejiunga na CCM Milele,, aisee kweli njaa mbaya
 
always mlipia ngoma ndiye huwa anachagua wimbo, usitegemee kina halima kwenda kinyume na aliyewanunua
 
Acha kukariri wewe kwani wale walioanza kukisaliti chama na kuhamia CCM kama nyumbu wanaotafuta malisho walikuwa ni wanawake?

Mbona watu mnapoteza kumbukumbu haraka sana.
Nyumbu huwa hawatunzi kumbukumbu unajisumbua tuu hawaelewi Hawa.
Wamepayuka weeee hawaitambui serikali Mara hawatambui uchaguzi mara haooo bungeni.
 
Anaongea kwa kiburi kwa sababu jana usiku walikutana na meko na spika, meko kawahakikishia kuwa hakuna wa kuwagusa iwe mahakamani ama wapi.. ester atakuwa naibu spika na mdee pia atakuwa naibu spika.imeisha hiooo. dont trust politicians
Ulikuwepo?
 
Watu wa kwanza kuwahangaikia ni familia yake halafu wanafuata wananchi wasiojulikana.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
We dada ule udhalilishaji uliofanyiwa na wale Mapolice umeukubali kwa kukisaliti chama kwa kulipwa ujira huu? Kweli dunia ina mambo!!
Ana haki ya kushikwa matako, kumbe in was hovyo. Hao tunawatomasa matako kwenye baa, wanawake Malaya wa fedha ndiyo zao na stahili zao in hizo ikiwemo ya kuruka ukuta
 

Taifa kwanza! Haya ya chama na mengine sana sana ni maslahi binafsi.
 
🤣🤣🤣🤣
 
Wewe umeandika upuuzi mtupu sasa wabunge hawa wameshakula mlungula na keshokutwa wanapewa unaibu waziri kwa maslahi yao binafsi na matumbo yao lakini wamewasaliti Watanzania milioni mangapi waliokuwa wakiungana kuwachangia katika matatizo mbali mbali yaliyowakuta wakiwa na Chadema halfu unakuja na lugha nyepes namna hii hapa jf? unafkiri Halima mdee ana habari tena na watu wa Kawe sijui kigamboni? angalia kina wale Kafulila, Machali, Lowassa, Lipumba, Sumaye, dr slaa, sijuwi Mashinji nk. hawa woote umewahi kusikia wakiikosoa serikali? kila mmoja ni yeye na alichopatana kupewa akaendesha maisha yake.

Hawa kina mdee unafkiri atasema nini bungeni wakati bosi wake ni Magufuli? Ata jambo hili unahitaji darasa la uelewa.
 
Uyu matiko hana cha kujibu anatia ulimi puani
 
yaan upinzan wa tanzania ni dhaifu na ovyo kabisa kuliko wapinzani wa nchi zote zinazotuzunguka, sasa hawa kina mdee wamekuwa wabunge miaka yote leo hii wanakomalia kwenda kwa nafasi za viti maalum! hizo zilikuwa nafasi za kuwainua wanawake wengine kama vile kina matiko walivyoinuliwa na kufikia hapa, yaan hapa wamepoteza kabisa credibility hawa watu, CCM wanavyosema watatawala milele inawezekana ikawa kweli loh!
 
Ni kama anaulizwa umekula mchana naye anajibu hapana sababu chips na mishikaki kwetu sio chakula.
 
Very intelligent Mbunge! Wabunge hawa hawachaguliwi kwa kura ngapi kila mmoja amepata kutoka kwenye sanduku la kura bali viti hivi vina utaratibu wa kupatikana ndo maana kila Chama kinapata Namba ya viti tofauti kila Uchagyzi. Baada ya Uchafuzi wa mwaka huu, CHADEMA WAMEPEWA VITI 18 ingawa kwenye sanduku la kura wamepata kiti kimoja tu ambacho kinafanya CHADEMA kuwa na Wabunge 19 Bungeni. Mwandishi angekuwa intelligent kama Mh. Matiko na hatafuti uteuzi kama mstaafu wetu Mayalla (Njaa), labda angehoji kwa nini wao 18 kama ana mashaka na walioapishwa na siyo 18 wengine toka hukohuko CHADEMA anaowafahamu kuwa wangefaa zaidi kuliko hawa. Si Pascal pekee anayetafuta uteuzi kuganga njaa yake bali ni waandishi wote ndo maana sasa hata Media Houses zote zimeungana na TBC kusifu na kuunga mkono juhudi. CHADEMA wako kwenye kikao kuwajadli Wabunge wao hawa tutegemee watatumia busara kuwaacha watuwakilishe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…