Wewe jadili ya Maji na umeme ya Tigray yanakuhusu nini. Mataga ndio nini ki tigray hicho au? Hakuna la kunishinda nikiona mtu anasimamia uchama naanza kumuelewa huwa sibishani bila facts. Mimi msimamo wangu siungi mkono ujinga wowote ndani ya nchi wenye kuleta hatari ya amani ndio maana siungi uasi Ethiopia na nchi nyingine yoyote. Sasa kama unandoto hizo nadhani una haki ya kuota ujinga huu hautatokea E.Aπππ Nilijua tu MATAGA uko kazini,umeshindwa kuvumilia imebidi uonyesha true colour yako.Nilikua nashangaa huyu mtu ana discuss vipi vitu asivyovijua πππ