Ethiopia: Waziri Mkuu atangaza kuongoza Vikosi katika mapigano

Ethiopia: Waziri Mkuu atangaza kuongoza Vikosi katika mapigano

Mimi siwajui hao wa Tigray lakini tujiulize leo wakija wasukuma wakasema wanataka kupewa madaraka zaidi serikali itafanya nini? au hao wa Zenji leo wasema tunataka nguvu zaidi watafanywa nini? Tigray ni sehemu ya Ethiopia tukianza kuunga mkono vikundi ndani ya nchi hata kwetu yanaweza kutufika nashangaa watu wanaounga mkono uasi ndani ya nchi. Hii issue imechochewa na nchi za nje pamoja na Egypt na issue yote ni haya maji ya Nile.
Kwani Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika wacha ujinga towa mfano WA huko huko kwenu Sisi Mmetuunganisha (Kwa nguvu) 64 kabla ya hapo kila mmoja kivyake vyake historia ina kawaida ya kujirejea
 
Kwani Zanzibar ni sehemu ya Tanganyika wacha ujinga towa mfano WA huko huko kwenu Sisi Mmetuunganisha (Kwa nguvu) 64 kabla ya hapo kila mmoja kivyake vyake historia ina kawaida ya kujirejea
๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ Mtavaa jezi za kijani mpaka mauti, nimesahau hata huko mmegawanyika Simba na Yanga nasikia kina Kikwajuni mmewauwa. Mtajikomboa vipi mmeshakuwa mnapenda vya upande wa pili.
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mtavaa jezi za kijani mpaka mauti, nimesahau hata huko mmegawanyika Simba na Yanga nasikia kina Kikwajuni mmewauwa. Mtajikomboa vipi mmeshakuwa mnapenda vya upande wa pili.
Chokochoko zote za huku mnaleta nyinyi NI nyinyi ndio miaka yote mnaingilia chaguzi zetu huru mnavamia kijeshi msifikit mtaendelea maisha ujinga wenu huu
 
Chokochoko zote za huku mnaleta nyinyi NI nyinyi ndio miaka yote mnaingilia chaguzi zetu huru mnavamia kijeshi msifikit mtaendelea maisha ujinga wenu huu
mjikomboe kimawazo kwanza mnapenda vya kwetu halafu unalalamika, sisi waungwana mmejazana toka Dar mpaka Mwanza na mmetoboa kwenu huko mmeshindwa sasa mnalalamika nini? hatuna shida na nyinyi kaeni tu Tanzania huru tunaweza kuwachukuwa wote tukagawa mkoa mmoja tu na mkaishi vizuri tu.
 
Chokochoko zote za huku mnaleta nyinyi NI nyinyi ndio miaka yote mnaingilia chaguzi zetu huru mnavamia kijeshi msifikit mtaendelea maisha ujinga wenu huu
Unajuwa shida yenu mnaishi na history, history iliyochakachuliwa haina ukweli kisiwa kama mkoa mmoja mdogo kwetu lakini mnajidanganya kuwa na bunge, baraza la mawaziri sijui makatibu wakati mbunge mmoja tu angeweza kuwakilisha lakini kila mtaa mbunge na sijui wa kuu wa mikoa sasa miko ipi? nchi unatembea mpaka saa 4 asubuhi umemaliza. punguzeni mbwembwe mtaendelea huo ni mkoa mmoja tu kwetu mngekuwa na mayor tu na madiwani. amkeni kwenye ndoto.
 
Unajuwa shida yenu mnaishi na history, history iliyochakachuliwa haina ukweli kisiwa kama mkoa mmoja mdogo kwetu lakini mnajidanganya kuwa na bunge, baraza la mawaziri sijui makatibu wakati mbunge mmoja tu angeweza kuwakilisha lakini kila mtaa mbunge na sijui wa kuu wa mikoa sasa miko ipi? nchi unatembea mpaka saa 4 asubuhi umemaliza. punguzeni mbwembwe mtaendelea huo ni mkoa mmoja tu kwetu mngekuwa na mayor tu na madiwani. amkeni kwenye ndoto.
Wacha upumbavu vitabu vipi soma historia ya ZANZIBAR toka angalau 1800 itatujua Sisi tulikua Nani kuna methali ya wahenga isemayo ZUMARI LIKIPULIZWA ZANZIBAR WANACHEZA WALIO MAZIWA MAKUU tafuta nini maana ya msemo huo
 
Wacha upumbavu vitabu vipi soma historia ya ZANZIBAR toka angalau 1800 itatujua Sisi tulikua Nani kuna methali ya wahenga isemayo ZUMARI LIKIPULIZWA ZANZIBAR WANACHEZA WALIO MAZIWA MAKUU tafuta nini maana ya msemo huo
Sasa si ulikuwa unatawaliwa wewe kujitawala huwezi na wala hutajitawala, Zanzibar walikuwa wanapewa watawala kama zawadi tu ya birthday nyinyi mlijitawala lini. nakwambia shukuru tukawachukuwa vingenevyo mngekulana vichwa kila siku maana kinchi kidogo mnapaishana na maadui mitaani tu utajificha wapi. mshukuru kidogo amani yenu sababu yetu.
 
waegypt chini ya Alsisi wanamnyonya kichuri sasa, huku big brother akichungulia kwa mbaali na kuangua kicheko wanajangwa wanapotoana roho......sisi ngoja tukajilie vitoto vya kihabeshi vingine tuvilete hapa tuwe tunaviogesha maana havijuagi kuosha ile kitu...

Bwana mdogo Abiy ameiendea kasi siasa ya dunia inamtoa jasho sasa....haelewi why its happening so easy and they are fucking him now , ajiulize tu, vita iko Yemeni kwa mashemeji mahausi lakini saudia haikatizi na ni pua na mdomo pale wakina MBS wanakula ngamia tu husikii hata kombora kwa bahati mbaya...

Hahahaha Paul is in south and the sleeping giant still sleeping, Mozambique ameshatangaza bei ya vitalu vya gas dip sea....another scramble for Africa, dogo janja ameshatumwa na Brother K kuanzisha dialogue for south businesss and brother Tony already in attacking box hahahaha just after the whistle..

Karibuni sana uhabeshini tunywe kahawa na kujilia vitoto vya kihabeshi na vingine vya kieritrea japo wale wenzangu wala ndogo dah inabidi uwe na pressure washer.....japo kubwa zao kama ndogo tu maana haviachii achii kama madada zetu magari ya mkaa....
 
Huyu asipokuwa makini atauwawa na vikosi pinzani vilivyoaanzisha haya mapigano (au) watu kutoka ndani ya mfumo/vikosi vya serikali.
 
Yule wa afghanistan alichota pesa akasepa sasa yeye anasubiri nn.Ila uzuri ni kwamba wakimuondoa huyu watageukiana tena wenyewe wataanza kunyukana upya..
 
Vikosi vya waasi vyazidi kusogea kuelekea Addis Ababa.

Hivi sasa wapo kwenye kitongoji kiitwacho Debre Sinna au Mlima Sinai bado wakiwa ndani ya jimbo au mkoa wa Amhara.

Waziri mkuu Abiy bado hajajitokeza kuongoza mapambano kama alivoahidi.

Wanamgambo wa Tigra wanauliza wapi Abiy?
 
waegypt chini ya Alsisi wanamnyonya kichuri sasa, huku big brother akichungulia kwa mbaali na kuangua kicheko wanajangwa wanapotoana roho......sisi ngoja tukajilie vitoto vya kihabeshi vingine tuvilete hapa tuwe tunaviogesha maana havijuagi kuosha ile kitu...

Bwana mdogo Abiy ameiendea kasi siasa ya dunia inamtoa jasho sasa....haelewi why its happening so easy and they are fucking him now , ajiulize tu, vita iko Yemeni kwa mashemeji mahausi lakini saudia haikatizi na ni pua na mdomo pale wakina MBS wanakula ngamia tu husikii hata kombora kwa bahati mbaya...

Hahahaha Paul is in south and the sleeping giant still sleeping, Mozambique ameshatangaza bei ya vitalu vya gas dip sea....another scramble for Africa, dogo janja ameshatumwa na Brother K kuanzisha dialogue for south businesss and brother Tony already in attacking box hahahaha just after the whistle..

Karibuni sana uhabeshini tunywe kahawa na kujilia vitoto vya kihabeshi na vingine vya kieritrea japo wale wenzangu wala ndogo dah inabidi uwe na pressure washer.....japo kubwa zao kama ndogo tu maana haviachii achii kama madada zetu magari ya mkaa....

Dogo janja na brother k ni nani mkuu?
 
Vikosi vya waasi vyazidi kusogea kuelekea Addis Ababa.

Hivi sasa wapo kwenye kitongoji kiitwacho Debre Sinna au Mlima Sinai bado wakiwa ndani ya jimbo au mkoa wa Amhara.

Waziri mkuu Abiy bado hajajitokeza kuongoza mapambano kama alivoahidi.

Wanamgambo wa Tigra wanauliza wapi Abiy?
Abiy kwenda vitani ni kuweka maisha yake hatarini.

Hao Watigray hawana uungwaji mkono mkubwa hapo Addis huenda wasiingie Addis kwa sasa ila wakaweka shinikizo ili wapate nguvu kwenye meza ya mazungumzo.
 
Dr Abiy Ahmed yupo kizuizini ?

Je Dr Abiy Ahmed waziri mkuu wa Ethiopia amewekwa kizuizini nyumbani kwake baada ya kuonesha kushindwa kuongoza nchi ?

Hii ya kusema waziri mkuu Dr Abiy Ahmed atakuwepo mstari wa mbele maana yake hataonekana hadharani je hii ni uthibitisho wa kuwekwa 'benchi'

Atakayekuwa anaongoza nchi kipindi cha kuwekwa kizuizini nyumbani Dr Abiy Ahmed, atakuwa kiongozi wa chama cha siasa wa jimbo la Amhara asiye muhafidhina Naibu waziri mkuu Bw. Demeke Mekonnen Hassen.


15 June 2021
In a pre-recorded video message, H.E. Demeke Mekonnen , DPM and Foreign Minister of Ethiopia .



N.B
24 November 2021 โ€” While Abiy is away, Deputy Prime Minister Demeke Mekonnen Hassen would take charge of routine government business
Demeke Mekonnen Hassen (Amharic: แ‹ฐแˆ˜แ‰€ แˆ˜แŠฎแŠ•แŠ•; born 27 September 1963) is an Ethiopian politician, and the current Deputy Prime Minister of Ethiopia and Minister of Foreign Affairs. He is also the Vice-President of Prosperity Party. He previously served as Chairman of the ADP (Amhara Democratic Party) and Deputy Chair of EPRDF until dissolution of the parties on 1 December 2019.
 
Sijui ni kwanini anahatarisha maisha yake nafikiri anahitajika kukimbia mapema vinginevyo atakufa kijana...waasi wananguvu ya ziada ya ziada ambayo haijulikani imetoka wapi ....lakini hakustahili kutamka hayo maneno coz inajenga picha kuwa Yuko kwenye shock..maskini abbiy Ahmed hakujua Kama ingekuwa hivi...pia alipaswa kujua kuwa kwa nature ya Ethiopia kutokana kuwa na shida ya ajira chokochoko yeyote inaweza kuzaa Vita vya mda mrefu coz watu wamekata tamaa na maisha...so hawaogopi hata kifo..kwa Sasa Hana option Kama anataka kuishi hapa duniani akimbie ..Kama anataka kufa kijana aendelee kubaki ikulu...

Kapata msaada wa siri wa kijeshi kutoka UAE , bila shaka na wengine pia
 
Back
Top Bottom