Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchezo wa ngumi ulipigwa marufuku Zanzibar tangu Mzee Karume yupo hai, sasa ni promota gani huyo wa enzi hizo?Mtafute promota wa ngumi maarufu Zenji kabla mchezo huo kupigwa ban visiwani hapo. Vipi wewe mbona codes za wazi mno?
Samia ni member wa kikundi cha mafisadi papa wanaoitafuna taifa bila huruma. Ndio maana hata wanaopigiwa kelele za wizi yaye anazidi kuwapaishaSakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023
Baki hivyo hivyo wenzio washafungua Kodi. We lala.Mchezo wa ngumi ulipigwa marufuku Zanzibar tangu Mzee Karume yupo hai, sasa ni promota gani huyo wa enzi hizo?
Wacha uongo.
Acha kumchafua rais we kahaba,umetumwa 'na Ttec au!?Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023
Tayari ziko mtaani. Jani ziliuzwa 25,000/= badala ya 40,000/= bei ya vilabu.Hizo jezi zipigwe mnada, pesa zote wapewe vilabu na timu husika
Babako ndiye mteja wangu hapa Mwananyamala.Acha kumchafua rais we kahaba,umetumwa 'na Ttec au!?
Tutakutumbukiza miti mmku@duni phala wwBabako ndiye mteja wangu hapa Mwananyamala.
Una utani wa jadi na Lucas mwashambwa?!Huwa nawacheka sana mnaomchukulia serious Samia
Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023
Form 4Tutakutumbukiza miti mmku@duni phala ww
Promota amekutuma! Kupiga mswaki ndio Kiswahili cha wapi.Yaani unaamka tu asubuhi, hujapiga hata mswaki, with hopeless mind unaanza andika upuuzi wako
Promota amekutuma! Kupiga mswaki ndio Kiswahili cha wapi.
Apokwe jezi,alimwe fidia,jezi apewe mwenye kandarasi,auze Bei rahisiKuchoma jezi ndiyo uhujumu uchumi wenyewe,solution alimwe fidia tu.
Mwenye kandarasi ya jezi za stars aingie hasara!?Hizo jezi zipigwe mnada, pesa zote wapewe vilabu na timu husika