Eti aliyeingiza jezi feki kutoka China analindwa na mtu kutoka juu?

Eti aliyeingiza jezi feki kutoka China analindwa na mtu kutoka juu?

Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023
Samia ni member wa kikundi cha mafisadi papa wanaoitafuna taifa bila huruma. Ndio maana hata wanaopigiwa kelele za wizi yaye anazidi kuwapaisha
 
Mchezo wa ngumi ulipigwa marufuku Zanzibar tangu Mzee Karume yupo hai, sasa ni promota gani huyo wa enzi hizo?
Wacha uongo.
Baki hivyo hivyo wenzio washafungua Kodi. We lala.
 
Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023
Acha kumchafua rais we kahaba,umetumwa 'na Ttec au!?
 
Kiongozi ni binadamu hata ww angekuwa ndugu yako anaenda kutundikwa ungefanya yote,hujaskia Kuna kiongozi aliwapa wachinazi bandari Ili wasimnyonge dogolas aliyebambwa na sembe huko mashariki ya mbali?

Jiwe alisema "mtanikumbukaaaa""
 
Sakata la jezi feki za Simba, Yanga na Taifa Star zenye thamani ya Sh.12 Bilioni zilikamatwa Bandari ya DP World (zamani ikiitwa Bandari ya Dar es salaam). Serikali ikatoa siku 7 mhusika ajulikane na jezi hizo feki kutiwa kiberiti. Hata hivyo zipo taarifa kuwa mhusika wa jezi hizo ambaye ni Mzanzibari ambaye zamani alikuwa promota maarufu wa mchezo wa ngumi ana uhusiano wa karibu na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye ameagiza jezi hizo ziachwe ziingie sokoni kuharibu biashara ya vilabu husika. Kama ni kweli basi Samia ni mhujumu uchumi. Tukutane 9/11/2023

Yaani unaamka tu asubuhi, hujapiga hata mswaki, with hopeless mind unaanza andika upuuzi wako
 
Yaani miradi inapigwa huko kwenye Halmashauri sisi tunadeal na jezi "feki"!
Khaaaah!
 
Back
Top Bottom