Eti hawa ni wapiga kura 2020, nimesikitika sana!

Kuna watu wanaojivunia kuwa hawa ndio mtaji wao wa wapiga kula, basi "Mwenyezi Mungu hata tusamehe kwa kile tunachofanyiana sisi wenyewe kwa wenyewe"
 
Na kwa dharau kama hizi ndio maana upinzani mnaangukia pua kila mara. endeleeni kuwadharau watanzania.
 
Na kwa dharau kama hizi ndio maana upinzani mnaangukia pua kila mara. endeleeni kuwadharau watanzania.
Dharau iko wapi? Yaani kusema ukweli ni dharau? Wanaowadharau watanzania ni wale wanaokimbilia kununua ndege badala ya kuajiri waalimu wa kutosha ili watu wao waelimishwe!
 
 
Daaah kweli ni shida

Mimi ningekuwa mbunge wa hao watu ningehakikisha naitafuta hii familia kwa nguvu zote, nahakikisha watoto wote wako shuleni na nitakuwa nawafuatilia kwa karibu... huenda ikasaidia kuifutia hii familia ujinga

Mimi kama mimi sio mbunge wala nini ningekuwa karibu na hii familia ningeangalia hapo yule anaeonekana anawepesi ningedeal nae mpaka nihakikishe amemaliza vidato na chuo.

Siwezi wala kudhubutu kucheka aiseee mama ni mjamzito wala haelewi kama ana mimba baba ndio kabisaa hajui hata tarehe na mwezi maana yake nini daaah kweli Mungu tusaidie
 
Hao ndo mtaji wa chakavu hata wasipopeleka maendeleo, kuinua elimu ni sawa Na kuiombea mabaya ccm,
 

Ni 87% ya watz hio je utawainua wote, wajinga wakiamka watawala watalala.
 
Dharau iko wapi? Yaani kusema ukweli ni dharau? Wanaowadharau watanzania ni wale wanaokimbilia kununua ndege badala ya kuajiri waalimu wa kutosha ili watu wao waelimishwe!

Kipi kiletacho sifa ya utukufu kuonekana kirahisi Kwa macho kununua ndege au kuajiri wafuta ujinga.
 
Matatizo makubwa ya Watanzania ni :

1. Dikteta wa magogoni
2. CCM
3. Ujinga
4. Maradhi

 
Halafu watanzania wenye viwango hivi kwakweli bado tuko wengi na huo ndo mtaji wa ccm!
Ndivyo mkuu,kumtawala mjinga ni rahisi kama kumsukuma mlevi.ndio maana ma ccm wako bize na hizi shule za kata kiwanda cha kuzalisha wajinga Tanzania.
 
Reactions: BAK
Umeongea point kubwa sana Mkuu Daemusin na hawa wahuni sasa wanaelewa fika kwamba elimu duni kwa Watanzania inawaletea manufaa makubwa sana na kutimiza lengo lao la kuitawala Tanzania milele. Hivyo elimu nchini wameamua kuiangusha rasmi ili waendelee kunufaika kwa miaka mingi ijayo.

watanzania wamedharauliwa na serikali ya ccm kwa kushindwa kuwapa haki zao za msingi ikiwemo elimu ya utambuzi.
sasa huyo mama anatofauti gani na mnyama asiye na maarifa?
inaumiza sana​
 
wallah nimeumia sana nilipoangalia hiyo video na nimeshindwa kuimaliza.​
kuna wapumbavu wachache wakiongozwa na waunga juhudi zisizo rasmi wanatufanya tuonekane waafrika wote hatukujiandaa kuishi tukiwa na uhuru wa kujiongoza na kujisimamia wenyewe.

huyo mama anapaswa asaidiwe haraka sana pamoja na watoto wake
hajitambui kama ana mimba au hana.
inaumiza sana.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…