Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sembe sio kitu kizuri kapotea hivi hivi aliendaga Japan kurudi ndio akawa mazima kapotelea gizaniHaha bwimbwi
Mamaa wa kiuno bila mfupa.
Binti machozi, Komando Jide
Kuleni vyuma kidogo:
View: https://youtu.be/mJs7rPVBRn4?si=ueTatlNOl8Z78ZRU
View: https://youtu.be/N046uBmyZZQ?si=ks60wBXIhtUHrv8s
Peak gani hiyo ya juu ambayo Rac alikua na jide hajawahi kufika hadi leo??Ray C kadumu kwenye game kwa muda mfupi zaidi ya Jide, lakini ndani ya muda huo mfupi alifika kwenye peak ya juu sana ambayo Jide hajawahi kufikia
Mkuu Juma Nature ndiye rapa aliyefikia peak ya juu kabisa kuliko Rapa yeyote yule Bongo ingawaje wapo Marapa wengi sana bora kuliko yeyePeak gani hiyo ya juu ambayo Rac alikua na jide hajawahi kufika hadi leo??
NB. Kinachojadiliwa sio uzuri na uno feni.
Ali hit sana yule binti na kale ka figure kake basi angetulia kwenye game angewakimbiza wengiIla alikuwa wa moto duu namiss muziki wake
Machozi sio ngoma ya kwanza ya Jay Dee.Komando ana hit songs nyingi
Miaka 24 kwenye game tangu alipotoa ngoma yake ya kwanza 'Machozi'
Apewe maua yake legend binti machozi
Ya kwanza ni ipi?Machozi sio ngoma ya kwanza ya Jay Dee.
Ray C alikuwa moto kwa wiki moja tu, mwenzie miaka na miakaDah nimeshindwa kupiga kura maana wate walikuwa moto.
Kabla ya machozi alitoa nyimbo kadhaa kama Tunaweza, Kamata na Maumivu. Machozi ilikuwa single kwenye albamu yake ya kwanza yenye jina hilo hilo.Ya kwanza ni ipi?