Eti Mbowe alitoa laki 6 kufadhili ugaidi. Seriously?

Rubbish tupu. Acha kutetea upuuzi, wamjua wewe mkewe?. Nyumbu akili zenu mnazijua wenyewe.
 
uje na counterbook nikufundishe siasa na jinsi wanasiasa walivyo vinyonga labda unaweza kuacha mbowe akipate alicho kitafuta, naona unabwabwaja tu hapa
 
Hivi mtu akilogwa na wachawi anakuaje, ningependa kujua hivyo isijekuwa tunawaonea watu hapa. Vilogo vingine huwenda HD
 
Kazi za shetani. Usingiziaji na ubambikiaji kesi. Time will tell
Mwaka umemuendea vibaya sana Mbowe. Pole zake
Mungu atampigania na atamshindia.

Watesi wake waliolaanika, wenye kufanya ibada za Mwenge zilizokatazwa na Mungu mwenyewe kwenye Isaya 50 11 wataendelea kulala kwa huzuni Kama neno la Bwana liishivyo
 
Ila kuna chama kina chapa zote za yule muovu, ikiwemo ibada za moto zilizokatazwa kwenye kitabu Cha Nabii Isaya sura ya 50 Aya ya 11.
Na laana za nchi hii zinatokana na andiko Hilo.

Matendo ya watu yanatakiwa kuendana na matendo ya Kristo; na hao watu wako kwenye kila chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…