CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Mtu umepishana naye kidogo tuu humu, anakuambia Una ringa na hizo mali zako? Unafika nyumbani vikuku vyako vyote vimekufa?, wengine vilema, asa kuku wamekukosea nini?Mungu anakuona
Mbavu zangu mimi ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMtu umepishana naye kidogo tuu humu, anakuambia Una linga na hizo mali zako? Unafika nyumbani vikuku vyako vyote vimekufa?, kuku wamekukosea nini?
Umerudi dada wa mie ambae hatoweki online ๐ hukaukiHawaishiwi maneno sio๐๐
Hahahah๐๐๐๐๐,, nipo mkuu unaendeleaje ๐๐คUmerudi dada wa mie ambae hatoweki online ๐ hukauki
Ni kweliMtu umepishana naye kidogo tuu humu, anakuambia Una ringa na hizo mali zako? Unafika nyumbani vikuku vyako vyote vimekufa?, wengine vilema, asa kuku wamekukosea nini?
Vidada vingi humu ni Vishirikinaa,
Vyeusi na vifupi,
Kwa ufupi vimekaa kama vibwengo.
Jamani [emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nimecheka hadi sio poa jirani ๐๐Jirani kaka anachamba huyu jamani khaaaaaa!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka mpk sio poa
nimecheka hadi sio poa jirani [emoji23][emoji23]
Jf ukinuna umetaka tu au una damu ya makasiriko ๐๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kanifanya nimecheka kwa nguvu
Jf ukinuna umetaka tu au una damu ya makasiriko [emoji23][emoji23]
Poa mkuu , karibu vipi hali yakoHahahah๐๐๐๐๐,, nipo mkuu unaendeleaje ๐๐ค
Kwakweli๐ค,, maana hapa nilipo nimebana mbavu zangu na mkanda zisije zikachomoka๐๐๐Kabisaa jirani utakua na sonona iliopitiliza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huko sasa umesema wewe naomba kuwasilishaAnatakiwa awe anakula vizuri, pumzi za kutosha ziwe nyingi
๐คฃUtafiti nilioufanya kwenye mitandao ya kijamii ni kuwa, wadada warembo huwa ni watulivu sana mitandaoni. Huwezi wakuta wakitukana, wakigombana au wakiwa wamecharuka hovyo.
Sasa mjikadirie wenyewe wakuu.
niwahishe ๐ ๐Sio shangazi
Ila mshangazi๐๐๐
Wahi nafasi ni chache
Uongo napingaUtafiti nilioufanya kwenye mitandao ya kijamii ni kuwa, wadada warembo huwa ni watulivu sana mitandaoni. Huwezi wakuta wakitukana, wakigombana au wakiwa wamecharuka hovyo.
Sasa mjikadirie wenyewe wakuu.
pumzi hapa ndio mahala pake sina tu maokoto shazi ๐ ๐Anatakiwa awe anakula vizuri, pumzi za kutosha ziwe nyingi