Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?


Ni pm namba zako za simu na account zako zote nikujazie madorali
 
Nimeweka hadi ng'ombe wa urithi tunda liliwe!. usichezee Apple ati!..🙂
kwakweli " achana na apple mkuu sio kitu ya mchezo" mugabe alitaka kuhonga nchi kwaajili ya hiyo kitu
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wasionijua wanapata tabu sana
Nashukuru wewe wanijua hivyo hupati shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…