Kweli aisee.Watanzania wengi sana wanaishi kwa CHUKI inayosababishwa na WIVU Mkali.
Wengi wanaficha ficha hili kwasababu Wana DNA ya UNAFIKI.
Nakuthibitishia hili, Hakuna watu wanaoongoza kuchukiwa na watu kama wale wenye kipato fulani, aidha MTUMISHI au Mfanyabiashara mwenye vipesa fulani.
Na Kama kungekuwa na Chama Cha siasa ambacho sera yake Ni kudhibiti Watumishi na Wafanyabiashara, basi kingepata wafuasi wengi sana.
Unakuta jitu linaponda kazi fulani mbaya na hailipi, kumbe lenyewe linaitaka hiyo kazi.
Ajira za polisi zilitoka lini wakati Mbowe anashikiliwa?Mm nadhani ishu ni je kabla hizi ajira wao walikuwa wanaishi maisha gani.? Maisha yalikuwa yanaendelea hata nje ya hizo ajira.
Kuna watu walikuwa wanawadharau polisi na kuwaona hawana utu, nidhamu, wanaishi makazi duni, nguo zao zimechangia n.k hasa kile kipindi cha Mbowe kushikiliwa lakini ajira za polisi zilipotoka hao hao wakaanza kutuma maombi.
Tatizo linakuja pale kila mtu anajiona yuko sawa kwa upande wake.
Weka kumbukumbu zako vzrAjira za polisi zilitoka lini wakati Mbowe anashikiliwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila we kyagata una mdomo wwBinafsi nishakutana physically na wanajf kadhaa.maisha ya kawaida tu,kuna wengine humu tena mademu ambao kila uzi huwakosi ila wana njaa hatari.wanapiga vizinga hadi ela ya kununua umeme.
Hongereni kwa kukubali maisha yenu halisi.Jf ni shida😂😂😂😂bora sie wapanda daladala tunajitaja hadharani
Nyie ni muhimu sanaaa kwenye hii nchi.Walimu hawatupendi kabisa yaan
KabisaNyie ni muhimu sanaaa kwenye hii nchi.
#YNWA
Sasa mbona maswali ya ""Matatizo ya mfumo huwa mnajibu personal""Tunawasaidia wadogo zetu kutuma maombi ya kazi
Wanaponda balaa kumbe maishayao afadhali hata hao walimu[emoji16]Walimu hawatupendi kabisa yaan
Naona wanajifanya Uzi hawauoni[emoji23]SCENARIO
Eeh bwana eeh TAMISEMI wametangaza ajira kwa nafasi ya walimu na afya.
Kuna jambo limenishangaza sanaa kwenye hizi ajira...
FLACK BACK
Ila humu ndani raia Zinaponda sanaa walimu.
Humu ndani ni kuponda tu, mara walimu hawajielewi, mara walimu masikini na vitu kama hivyo.
Hebu cheki huu Uzi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Lakini pia ukisoma Uzi wa "Kulana Kimasihala" utakuta raia mule Zina pesa za kuhonga hela ndefu na kulipia lodge za 50k, 100k na kuendelea.
THE PROBLEM
Nimebaki najiuliza maswali mengii...
1. Hela zimewaishia then wameona wakapokee za Hazina ya CCM?
2. Ualimu umeanza kuwa dili kwao?
3. Zile pesa walizotumia kula Kimasihala kutoka kwenye madili yao zimeisha then wanahitaji ajira?
4. Baada ya dharau zotee kwa ualimu na walimu, ina maana ualimu umekuwa Tena dili?
JF banaaa .......
The bilioneas are sakaling ajira.
Haya bana tuendelee kutafuta hela.
#YNWA
Ishu inakuja unaona hakuna haja ya kuanza kusema 'mbona Email ya huyu dogo nayemuombea inazingua' au 'mbona chuo cha huyu dogo nayemuombea hakipo' ww mwenyewe lazima uone uvivu wa kuandika maneno mengi kwahy n bora uende kwa ufupi mana kuomba kazi flan sio aibu wala dhambiSasa mbona maswali ya ""Matatizo ya mfumo huwa mnajibu personal""
Utasikia Course Yangu siioni?
Mbona email yangu haikubali?
Mbona chuo changu hakionekani?
Sasa una apply kwa ajili ya mdogo wako hiyo YANGU ni ya nani?
#YNWA
Sasa mbona walikuwa wanaponda sanaa walimu?.......... mana kuomba kazi flan sio aibu wala dhambi
Wapo kwenye magari yao, yamepaki nje ya magheto yao makali, huku wanapesa mingi kwenye walet, wakielekea kula pisi kaliii kimasihara..!!!Naona wanajifanya Uzi hawauoni[emoji23]
Kawaida tuu hy kwa sisi wanyongeSasa mbona walikuwa wanaponda sanaa walimu?
#YNWA
Utajuaje kama nae ana ID mpya yuko hapa Jukwaani kuomba hizi kazi?Humu ndani tajiri wa uhakika ni Kiduku Lilo tu. Kwake Lamborghini ni kwaajili ya shamba boy na house girl.