Wabaya sana watu hao!Ila Leo nimamini wale jamaa wana roho mbaya sana. Mnooooo yaani.
Mtuhukiwa kujieleza tulikuwa tazara na si Central wao wanalazimisha isiwe hivyo na mapolisi. Dah, kweli ishi uyaone ya walimwengu.
Hv pale wangeacha tu Jaji aaamue kama ipo sawa au lah wao wanapoteza nini
Jaji kiongozi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali.Ila Leo nimamini wale jamaa wana roho mbaya sana. Mnooooo yaani.
Mtuhukiwa kujieleza tulikuwa tazara na si Central wao wanalazimisha isiwe hivyo na mapolisi. Dah, kweli ishi uyaone ya walimwengu.
Hv pale wangeacha tu Jaji aaamue kama ipo sawa au lah wao wanapoteza nini
Ni upumbavu tu kujisahau kwamba wanaona wataishi milele ipo siku wataoza na kunuka tabia ya maskini yeyote ni roho mbayaYaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
Na mbaya zaidi Tiganga anawaogopa. Hii ni hatari sana kama ndo mahakama zetu zimefikia hapa. Jana wamefika mahakamani saa 6 wanafanya wanavyotaka wao utadhani ni miungu watu. Pumbafu kabisa.Wanamuweka jaji kwenye wakati mgumu wa kutoa maamuzi.
Taahi.ra wewe ndo utaishi milele?Ni upumbavu tu kujisahau kwamba wanaona wataishi milele ipo siku wataoza na kunuka tabia ya maskini yeyote ni roho mbaya View attachment 2024286
Wale ni washamba Kama washamba wengine ,ila Serikali ndo imeifikisha mahakama ilipo,Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
Mkuu umepiga kwenye mshono kabisa ,huyu nae alikua anapigiwa masalute Kama yote Yani,order Kama zote Yani Sasa gwanda limeachana na mifupaNi upumbavu tu kujisahau kwamba wanaona wataishi milele ipo siku wataoza na kunuka tabia ya maskini yeyote ni roho mbaya View attachment 2024286
Kumbe!Wale ni washamba Kama washamba wengine ,ila Serikali ndo imeifikisha mahakama ilipo,
Yani hata nidham mbele ya jaji hawana, na jaji anawaangalia tu wanatoa mpaka maneno ya ovyo kabisa,wao ni taharabu tu kutaja vifungu hamna kitu, wako pale Sana
Eti ukisha kua wakili wa jamhuri ni PAMOJA na Mahakama,ebo kwamba hawaelewi ukiwa mbele ya mahakama Mawakili wote ni sawa,?
Sasa mchezo walioanza kuonesha mazalau mpaka kuchamba mama zetu ,na jaji yupo Kimia ,siku Mawakili wa utetezi wakianza tumia maneno makali tusisikie mtu ananyanyua mdomo, Ili Hali jaji ameshindwa kukemea leo
By the way hii kesi imekua kubwa kuliko uwezo wa jaji bora nae asome alama za nyakati ajitoe asisubili kukataliwa
Leo mkuu Mawakili wa Serikali wamelewa sifa nakuanza chamba mama zetu huko , Sasa sijui maana na Rais wetu ni mwanamama ana watoto ,wajukuu, aisee aibu kubwaKumbe!
Naomba mwenye picha za hawa mawakili wa Serikali kwenye kesi hii atuwekee tuwajue hawa maadui.Yaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
Naamini wewe huna taaluma ya sheria. Ungekuwa na taaluma hii usingewaza hiviWana viburi balaa lakini wakikamatwa wanakimbilia kwa mawakili wa kujitegemea
Taaluma ya sheria kitu GANI? Wale Ni empty , Kuna misingi mtu najenga bila kujali ni mwanasheria au la unaona hamna kitu,Naamini wewe huna taaluma ya sheria. Ungekuwa na taaluma hii usingewaza hivi
Taaluma ya sheria kitu GANI? Wale Ni empty , Kuna misingi mtu najenga bila kujali ni mwanasheria au la unaona hamna kitu,
Maisha ya duniani ni vita tu always, ukilegea inakula kwakoYaani Mawakili wa Serikali ni kujitutumua kama vile nchi hii ni ya kwao. Leo huyo Chakula sijui Chavula kawaambia Mawakili wa Utetezi baada ya kuonesha kuwa huwa wanaruhusiwa kwenda kuonana na wateja wao Magerezani kuwa eti wao wanaingia ndani na hata kukagua mahabusu. Yaani yote hiyo ni kuonesha tu kuwa wapo juu ya Sheria na kuwaonesha Mawakili wa Utetezi kwa "inferior". Yaani hawa watu hawa wamejaa roho mbaya ile mbaya wanasahau kuwa kuna maisha baada ya kesi na hata baada ya kustaafu kazi. Kesi hizi hutunzwa kama precedents - wanakomaa sana sana kwa kitu ambacho hakipo. Hapo hamna ugaidi - Chavula na Kidando kumbeni kuwa kila nafsi itaonja mauti na mtaacha tu watoto na wajukuu huku duniani!
Mkuu nalitambua ilo Wala sikupingi KWa lolote ,swala hapa wabishane KWa hoja za kisheria si kuleta mazalau na maneno yasiofaa Mbele ya mahakama ,mpaka kuchamba mama zetu ,tuna sema ipo mifano utaitoa kulingana na wapi upo ,mingine unaweza kuiacha lingana na mazingira uliopo , ndo utaratibu wa kitzMkuu, wale ni Mawakili wa serikali. Sasa unataka wafanye kazi ipi zaidi ya kuendesha mashitaka.
Katika taaluma ya uwakili, Mbowe na wenzie ni wateja wa akina Kibatala. Akina Kidando, mteja wao ni Jamhuri.
Katika kesi hiyo unatarajia akina Kidando waache kusimamia maslahi ya mteja wao kwenye hiyo kesi?
Asee!Taaluma ya sheria kitu GANI? Wale Ni empty , Kuna misingi mtu najenga bila kujali ni mwanasheria au la unaona hamna kitu,
Ila Leo nimamini wale jamaa wana roho mbaya sana. Mnooooo yaani.
Mtuhukiwa kujieleza tulikuwa tazara na si Central wao wanalazimisha isiwe hivyo na mapolisi. Dah, kweli ishi uyaone ya walimwengu.
Hv pale wangeacha tu Jaji aaamue kama ipo sawa au lah wao wanapoteza nini
Kweli kabisa, Unaweza ukapigana vita vyako vizuri ila baadaye watoto na wajukuu wako wakapigwa ile mbaya! Mahita Junior tunamwona, na umri wake yule sijui atastaafuje? Amwombe Mungu sana!Maisha ya duniani ni vita tu always, ukilegea inakula kwako