Sio anafoka lengo lake ni majirani wajue kuwa yupo salama na mumewe ni kidume anayejitambua anafundisha majirani Kwa njia ya sauti wawasisitize waume zao kutumia zana๐๐๐๐Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli?
Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia.
Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
Ataambiwa "ungerudi nayo kwenye mkoba hapo sawa kwa sababu Mimi sikurudi nayo nikiwa nimevaa bali mfukoni". Ndoa za Bora liende hizi๐คฃNgoja na yeye siku aje condom imebaki kwenye papuchi tuone utakavyompongeza
Alitaka uipige kavukavuHivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea maradhi au?
Angezimia Kwa ninavyomuona muogaVipi wewe ungefungua Mkoba wa mkeo ukakuta condom! Ungemfokea au ungempiga na talaka juu?
Natamani duniani wanawake wote wangekuwa kama wewe .ubarikiwe dadaKama ningekuwa mm napotezea then najisemea kimoyo moyo ,,mume nimepata.
Mbona mnapenda kushindana na wanaume ? . Inabidi warudishe unyago kwenu hasa nyie gen ZNgoja na yeye siku aje condom imebaki kwenye papuchi tuone utakavyompongeza
kiongozi mbona km unaleta uchocheziNatumaini ndiyo ingekuwa mwisho wa ndoa
Ukweli ndo huo! Japo unauma.Natamani duniani wanawake wote wangekuwa kama wewe .ubarikiwe dada
Natamani duniani wanawake wote wangekuwa kama wewe .ubarikiwe dada
The earlier you accept, the less chest pains you'll haveUkweli ndo huo! Japo unauma.
Ameen . Wanawake wenye busara kama huyu walikuwa wengi enzi za babu zetu sahivi ni wachache mnoaisee huyu ajengewe sanamu kabisa huyu na mola amjalie hitaji la moyo wake
kabisa kiongozi. hawa watu baadhi yao wabinafsi sana utafikiri wao ndo wamewaumba hao waume walionao๐ฎ๐ฎAmeen . Wanawake wenye busara kama huyu walikuwa wengi enzi za babu zetu sahivi ni wachache mno
Wanawake wa sahivi wanataka kushindana na wanaume . Unyago uingizwe kwenye Mitala ya elimu
๐ค๐คBraza Kede mbona kama unajitetea sana? Basi tunakuunga mkono mkuu wetu ujengewe sanamu
๐๐๐๐Ngoja na yeye siku aje condom imebaki kwenye papuchi tuone utakavyompongeza
The earlier you accept, the less chest pains you'll have
swadakta kiongozikitalamu tunaita makosa ya kibinadamu nafikiri
si ndo apo sasa!Alitaka uipige kavukavu