Eti wanaume wengi wataozea jela Kama Hili zoezi likifanyika

Dada mkubwa kabisa Aaliyyah 😂😂😂😂
 
Pole sana kama huwa unawasikiliza wanawake...hao ukiwazingatia unaweza ukajikuta umekuwa shoga yao..we kamata kojoa baada ya hapo mbelee hiyo akutafute yeye asipokutafuta kamata ingine kojoa..mi nakojoaga tu mwingine goli moja,mwingine mawili halafu sijali potelea pote na pisi zinanielewa kama kawa
 
Nakumbuka juzi nikiwa huko mkoani nilishuhudia Beberu likimpanda mbuzi jike siku nzima.

Kila likimaliza linashuka linapiga kelele na kisha linampanda tena.
 
[emoji23][emoji23]
 
Ukielewa maana ya refractory period hauwezi kusema mtu ana matatizo ya nguvu ya kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume na uwezo wa kupiga bao tatu ni vitu viwili tafauti.

Ukishapiga bao kuna kitu kinaitwa refractory period ,ni muda ambao "Dudu la Yuyu" linaamka na kuanza tena shughuli ,RP inategemea mtu na mtu ,wengine dakika 5 ,wengine 15,wengine 30,wengine 60 ,wengine 90 ,wengin 120 ,wengine 4hrs,wengine 24hrs etc,

Upungufu wa nguvu za kiume ni kuwa na uume legelege ,kusinyaa ndani ya uke ,kuchukua muda mrefu kunyanyuka etc lakini uume unanyanyuka halafu ndani ya dakika umepiga bao then unachukua muda mwingine kutafuta la pili depends on your Refractory perios hiyo siyo upungufu wa nguvu za kiume.
 
Nimekuelewa Sana mkuu
 
Waende Mars wakatormbweee na MA ALIEN wanaume wa Duniani hatutawaweza.

Sasa mtu ashazoea kushinda na Dildo zaidi ya masaa mawili huyo kweli ataridhishwa na binadamu labda PUNDA.
 
Acha kukaa kwenye vikao vya kina mama
 
Ndio maana wanaliwa [emoji344][emoji344]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…