Aende man city vinginevyo ataimba mapambio sana.Tromphyless kane kazi anayo. [emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]
Nilimuona tu[emoji23].[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu mda ule ulikua unaongelea kuhusu saka nilikua sijakuelewa vzr asee huyu dg ni viazi kbs tena viazi vya ovyo.
Hakika walimaanisha RomeHiyo HOME itakuwa typing error walimaanisha ROME nadhani[emoji1]
[emoji3525][emoji3525]England watanikumbuka[emoji26][emoji3516]Wameamia upande wa Bukayo
Hii sub ya Bukayo itawagharimu Sana England.
Anastahili mno. Grazie to him πGianluigi Donnarumma mchezaji bora wa mashindano
π₯π₯π₯π₯Anastahili mno. Grazie to him π
[emoji3525][emoji26][emoji3516]Uyu Bukayo saka Ni uchochoro
[emoji3525][emoji26][emoji3516]Bukayo saka ni mchezaji levo za VPL
HahahaaaKwani mimi Muingereza. Mimi Mtanzania halisi.
Huyo mkoloni namchukia sana. Bora leo kapigwa. πππ
Wazungu watapata sababu za kuwatukana Hawa wamatumbi wennzetuumBlacks watatu wamekosa, wawili waliingizwa kwa ajili ya penalty but....
Kalale huko.Hahahaaa
Imekuja kuwaje tena? Umeanza kumchukia baada ya penalties au kabla?
Mjomba ake na Rashford... Compaford bana
Malizia kinywaji ukalale π it's a game, either to fail, win or draw you've to accept both.