Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Hii ikoje? magoli yote mawili Portugal wamejifunga na kuwabeba wajerumani! Ingekuwa ni bongo mechi ya Simba na Yanga nadhani hawa wangepewa ulinzi na polisi!!! Lakini kwa wenzetu wanampetipeti wakimfariji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…