Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
😂😂😂😂😂Huwa siwezi kuhama timu
Hahahha Euro haijaisha lakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahha Euro haijaisha lakini
Dogo Yuko vizuri bonge la goli, alikuwa Chelsea kwa Sasa Yuko wapi?Belgium 1st goal. Thorgan hazardView attachment 1832796
Hujamuona Denmark mkuuNarudia kusema, Ubelgiji ndie bingwa euro
Kwa Belgium Italy katu katu hawezi kutona salama, mark my words.Belgium atakufa mapema sana. Italy wanaupiga mwingi balaa. Wanapanda na kushuka kwa speed ya bombadear.
Hahahahahaha nimefurahi Sana hili timu kutolewa maana toka hatua ya makundi hamuna kitu. Kwanza limefuzu kibahati bahati tu. Hata Ile game yake na France Kama siyo zile penalti mbili basi lingeshaaga mashindano. Hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji108]
Kwa Belgium Italy katu katu hawezi kutona salama, mark my words.Belgium atakufa mapema sana. Italy wanaupiga mwingi balaa. Wanapanda na kushuka kwa speed ya bombadear.
HahahahahaNampa nafasi Portugal.
Kweli nimeamini dunian kuna raia wenye low thinking capacity.Rudi walau uje kutusabahi [emoji23][emoji23]
Austria wamewatoa jasho sembuse Hawa watoto wa mbwa Ubelgiji??? Hii game tutarajie Italia akitoka mapema ..zile game za makundi alikutana na vibondeBelgium atakufa mapema sana. Italy wanaupiga mwingi balaa. Wanapanda na kushuka kwa speed ya bombadear.
Dogo Yuko vizuri bonge la goli, alikuwa Chelsea kwa Sasa Yuko wapi?
Hapana Denmark alikuwa ni underdog pia mkuu, angalia hata kwenye makundi walivyofuzuCzech peke yake ndio aloyeshinda kama underdog. Denmark, Italy na Belgium wote walikuwa favorites kufika robo.
Acha kumetetea huyu con artist hakuna kitu amefanya Jana.Mbona Bruno amecheza vizuri sana Leo? Apart na mashuti yake ya kulenga mnazi ametengeneza chance za kutosha, dribble na pasi zenye macho. Na vyote hivyo akiwa out of position.
Huyu kocha tu ana small team mentality, kumchezesha Bruno/silva/Felix kama mawinga na wote ni top playmakers kunatia mashaka.
Aha Yuko ligi ya ujerumani aise anajitahidi sana.Thorgan Hazard ni mchezaji wa soka wa Ubelgiji ambaye kwa sasa anacheza kama kiungo wa kushambulia au kama winga wa klabu ya Ujerumani iitwayo Borussia Mönchengladbach iiliyopo ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga na timu ya taifa ya Ubelgiji. Yeye ni ndugu mdogo kwa Eden Hazard na kaka wa Kylian Hazard. Wikipedia
Denmark bado sanaHujamuona Denmark mkuu
Timu imejaa wachezaji wachanga sana ndiyo maana bado haijakaa sawa.Netherlands Wamepigwa 2 - 0 nafikiri kikosi chao bado hakijasimama sawia yani kinakosa wachezaji bora eneo la kiungo na ushambuliaji mtu kama de jong (aliestaafu) angewasaidia sana pia 9 yap sio nzuri waliochezq 9 leo depay na hata promes alieingia sub aio natural strikers ......
pili maturity ni ndogo refer red card na maamuzi ya kimpira bado wanachanfamoto.....pia hata mfumo wao wa 5 - 3- 2 sio mzuri
Italy wakiboresha safu yao ya ushambuliaji basi fainali hii hapa. Wana upiga mwingi mno wanaenda wote mbele na kurudi wote na pia wanakasi piaBado Italia na Spain hizi nazo zikitolewa nitafurahi Sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
#Team Denmark
Mkuu Denmark wanaupiga mwingi Sana. Hujamuona Poulsen Yusuph..Denmark bado sana