Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuonane tena Epl mkuu. Mi ngoja niutafute usingizi kinyongePamoja sana kamanda, asante kwa time yako
Wote wamekosa, wawafutie uraia badala ya kuwalaumuThis is thing I don’t like. Sasa hivi wanawaingiza black players waende ku miss penalts iliwawalaumu weusi!
Pamoja sana mkuuTuonane tena Epl mkuu. Mi ngoja niutafute usingizi kinyonge
😂😂😂😂Kesho kuanzia breakfast ni pasta🍝 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wadau wangu wa hapa jukwaani, tumekuwa wote kwenye uzi huu kwa takribani mwezi mmoja sasa, dah kila lenye mwanzo halikosi mwisho!!!
Kufika mwisho kwa michuano hii, ndio mwisho wa uzi huu, tutaendelea kukutana katika nyuzi nyingine za michezo!!
Salute kwa wote tulioshirikiana hapa!
Naona wewe sasa ndo.umekufa..nashkr sana Mungu tusingeweza kuvumilia kelele za watu haina yenu kwa miaka takrbn 10 mnaongea kushinda Euro ya 2021Ukufe kabisa. Hahahaha
😂😂😂Tatizo kocha wa uingereza alikuja anajiamini,kavaa na suti kabisa,jamani tukumbuke na historia gatuso alitembea na chupi uwanjani ,unakuja na suti uwanjani unamtishia nani?
Lakini pia kuna takataka moja la chelsea lilisifika sana baada ya kubahatisha ile penalty nusu fainali, afadhali leo limekosa.Hahahah Bora Yale matakataka ya Man u yamekosa. Maana tusingelala leo Wala kesho
Wengine tuliianzia hapa kuitazama Italy.Nawaona italy piq safari hii wakifika mbali.