Eurocentric & Deterrent Criminal Court: Kama Burundi walijitoa, mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na uwepo wa Mahakama inayolenga viongozi wa Afrika?

Eurocentric & Deterrent Criminal Court: Kama Burundi walijitoa, mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na uwepo wa Mahakama inayolenga viongozi wa Afrika?

Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

Kama nchi ndogo za Rwanda na Burundi ambao ni jirani zetu walijitoa kutoka katika taasisi hii inayosemekana inafumbia macho uhalifu unaotendwa na mataifa ya Ulaya (Eurocentric), mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa mahakama inayoshutumiwa kutumika kama silaha ya kitisho (A Weapon of Deterrence) kwa kuwalenga zaidi viongozi kutoka katika nchi za bara la Afrika?

Was the ICC (International Criminal Court) made for Africa? Should it still be there so as to deter any future political misconducts in the so-called "dark continent"?


Uzinduzi wa mahakama ya kwanza ya jinai ya kimataifa ya aina yake iliyopewa jukumu kubwa la kushtaki, kuhukumu, na kuwaadhibu wale waliohusika na unyanyasaji mbaya sana uilisifiwa sana kama mafanikio makubwa ambayo yangesaidia kuhifadhi na kulinda amani na utulivu wa ulimwenguni kwa ujumla.

Wakati wa hafla ya kutiwa saini kwa Mkataba wa Mahakama (the Rome Statute), katibu mkuu wa wakati huo wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan, aliielezea mahakama hiyo kama "zawadi ya matumaini kwa vizazi vijavyo, na hatua kubwa mbele katika mapambano kuelekea upatikanaji wa haki za kibinadamu na utawala wa sheria ”.

Kati ya kesi 11 zilizokuwa zinachunguzwa na ICC mwaka huu wa 2020, 10 zinahusisha nchi za Kiafrika. Kati ya hizo 10, tano ni rufaa binafsi za nchi (self-referrals) - yaaani serikali inajielekeza kwa ICC kuchunguza hali fulani ya uhalifu ndani ya eneo lake kwa sababu haiwezi kushtaki wahusika wa uhalifu ambao uko ndani ya mamlaka ya ICC - mauaji ya kimbari, uhalifu wa kivita, na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Mpaka kufikia mwaka 2018, hati zote za kukamatwa na mashtaka yaliyotolewa na ICC ni za Waafrika, pamoja na wakuu wawili wa nchi kwa wakati huo - Omar Hassan al-Bashir wa Sudan na Uhuru Kenyatta wa Kenya.


Uelekeo huu wa kushangaza wa mahakama juu ya Afrika, haswa kesi dhidi ya al-Bashir na Kenyatta kwa wakati ule, ziliwakasirisha sana viongozi wa Afrika, na kusababisha kuibuka kwa lawama juu ya upendeleo wa kibaguzi.

Mnamo Oktoba 2013, Jumuiya ya Nchi za Afrika (AU) iliwataka mataifa ya Afrika kutoshirikiana na ICC, baada ya Baraza la Usalama kukataa kuahirisha kesi dhidi ya viongozi hao wawili (Kenyatta na Al-Bashir).

Waziri Mkuu wa zamani wa Ethiopia Hailemariam Desalegn aliwahi kuishutumu mahakama hiyo kuwa taasisi ya kibaguzi "ikiwawinda" Waafrika wakati Burundi, ambayo ilikuwa nchi ya kwanza kujiondoa uanachama wa ICC, iliikosoa kwa kuwa "chombo cha kisiasa kinachotumiwa na mamlaka [za kigeni] kumwondoa yeyote yule wanayemtaka kutoka madarakani katika bara hili pendwa la Afrika ”.

Kuna baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanadai ya kwamba, tuhuma za upendeleo na ubaguzi wa waziwazi zimetiwa chumvi zaidi. Wanasema ya kwamba, ni wazi kuwa ni sehemu ya ujanja wa wanasiasa na viongozi wanyanyasaji wa bara hili la Afrika ambao walishiriki ukatili mkubwa na wa kutisha na wanatafuta unafuu ya kutotupwa jela.


Je, Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa ICC mpaka sasa ilhali jirani zake Rwanda na Burundi walikwishajitoa zamani sana?

Should the East African Community (EAC) boycott the ICC with the same steady, resolute and unwavering stance?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Viongozi wa kiafrika ni "majanga".Unataka wafanye nini ili uone ubaya wa matendo yao dhidi ya wanyonge?
Wenzao wa Ulaya walishafikishwa huko (wa Croatia,Bosnia).Vitendo ndiyo kigezo cha kushitakiwa ama la,kamwe si rangi au asili. Unataka uhuni wanaofanya watawala wa kiafrika uendelee? Angalia DRC,CAR,Chad,Sudan,Somalia,n.k.Yanayotokea huko yanakupendeza?
Kuna faida kubwa kama nchi tunaipata.Bila hiyo mahakama "mhutu" wetu na genge lake angetufanya "kitu mbaya"sana 2020 kwani "zomea zomea" na "kataliwa kataliwa" aliyokumbana nayo wakati wa kampeni za uchaguzi zilimtia hofu na kiwewe.Angeweza "kupoteza wengi" kama alivyotamka kipindi kile cha "wajumbe" walivyosema wana imani na mtu fulani mbele ya m/kiti wa ccm aliyekuwa aki-smile 2015!
 
Viongozi wa kiafrika ni "majanga".Unataka wafanye nini ili uone ubaya wa matendo yao dhidi ya wanyonge?
Wenzao wa Ulaya walishafikishwa huko (wa Croatia,Bosnia).Vitendo ndiyo kigezo cha kushitakiwa ama la,kamwe si rangi au asili. Unataka uhuni wanaofanya watawala wa kiafrika uendelee? Angalia DRC,CAR,Chad,Sudan,Somalia,n.k.Yanayotokea huko yanakupendeza?
Mbona viongozi wa Marekani na Uingereza hawakupelekwa huko kwa jinai zilizofanyika Iraq na Afghanistan?...
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

Kama nchi ndogo za Rwanda na Burundi ambao ni jirani zetu walijitoa kutoka katika taasisi hii inayosemekana inafumbia macho uhalifu unaotendwa na mataifa ya Ulaya (Eurocentric), mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa mahakama inayoshutumiwa kutumika kama silaha ya kitisho (A Weapon of Deterrence) kwa kuwalenga zaidi viongozi kutoka katika nchi za bara la Afrika?

Was the ICC (International Criminal Court) made for Africa? Should it still be there so as to deter any future political misconducts in the so-called "dark continent"?


Uzinduzi wa mahakama ya kwanza ya jinai ya kimataifa ya aina yake iliyopewa jukumu kubwa la kushtaki, kuhukumu, na kuwaadhibu wale waliohusika na unyanyasaji mbaya sana uilisifiwa sana kama mafanikio makubwa ambayo yangesaidia kuhifadhi na kulinda amani na utulivu wa ulimwenguni kwa ujumla.

Wakati wa hafla ya kutiwa saini kwa Mkataba wa Mahakama (the Rome Statute), katibu mkuu wa wakati huo wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan, aliielezea mahakama hiyo kama "zawadi ya matumaini kwa vizazi vijavyo, na hatua kubwa mbele katika mapambano kuelekea upatikanaji wa haki za kibinadamu na utawala wa sheria ”.

Kati ya kesi 11 zilizokuwa zinachunguzwa na ICC mwaka huu wa 2020, 10 zinahusisha nchi za Kiafrika. Kati ya hizo 10, tano ni rufaa binafsi za nchi (self-referrals) - yaaani serikali inajielekeza kwa ICC kuchunguza hali fulani ya uhalifu ndani ya eneo lake kwa sababu haiwezi kushtaki wahusika wa uhalifu ambao uko ndani ya mamlaka ya ICC - mauaji ya kimbari, uhalifu wa kivita, na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Mpaka kufikia mwaka 2018, hati zote za kukamatwa na mashtaka yaliyotolewa na ICC ni za Waafrika, pamoja na wakuu wawili wa nchi kwa wakati huo - Omar Hassan al-Bashir wa Sudan na Uhuru Kenyatta wa Kenya.


Uelekeo huu wa kushangaza wa mahakama juu ya Afrika, haswa kesi dhidi ya al-Bashir na Kenyatta kwa wakati ule, ziliwakasirisha sana viongozi wa Afrika, na kusababisha kuibuka kwa lawama juu ya upendeleo wa kibaguzi.

Mnamo Oktoba 2013, Jumuiya ya Nchi za Afrika (AU) iliwataka mataifa ya Afrika kutoshirikiana na ICC, baada ya Baraza la Usalama kukataa kuahirisha kesi dhidi ya viongozi hao wawili (Kenyatta na Al-Bashir).

Waziri Mkuu wa zamani wa Ethiopia Hailemariam Desalegn aliwahi kuishutumu mahakama hiyo kuwa taasisi ya kibaguzi "ikiwawinda" Waafrika wakati Burundi, ambayo ilikuwa nchi ya kwanza kujiondoa uanachama wa ICC, iliikosoa kwa kuwa "chombo cha kisiasa kinachotumiwa na mamlaka [za kigeni] kumwondoa yeyote yule wanayemtaka kutoka madarakani katika bara hili pendwa la Afrika ”.

Kuna baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanadai ya kwamba, tuhuma za upendeleo na ubaguzi wa waziwazi zimetiwa chumvi zaidi. Wanasema ya kwamba, ni wazi kuwa ni sehemu ya ujanja wa wanasiasa na viongozi wanyanyasaji wa bara hili la Afrika ambao walishiriki ukatili mkubwa na wa kutisha na wanatafuta unafuu ya kutotupwa jela.


Je, Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa ICC mpaka sasa ilhali jirani zake Rwanda na Burundi walikwishajitoa zamani sana?

Should the East African Community (EAC) boycott the ICC with the same steady, resolute and unwavering stance?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kama hao viongozi wanafanya makosa dhidi ya haki za binadam ina maana waachwe?
 
Mkuu

Justifications za Nyerere kuvamia Uganda ni justifications za USA na UK kuvamia Iraq,full stop!

Unategemea unizungumzie vizuri tangu lini?Always utasema hoja zangu hovyo regardless hata kama ni nzuri,maana mimi na wewe ni maadui
Uadui gani tena mkuu? Mbona mimi sina enemy humu JF?...
 
We are enemies to each other kiitikadi

Mbona watu huo mnapenda kukwepa neno "maadui"?

Mlishaogopeshwa na dini zenu....hakuna kitu cha ajabu watu kua maadui au kuchukiana,ndio safi,dunia haiwezi kua all love ni us3ng3...

Uadui ndio sawa...love peaneni kwenye majumba yenu na familia zenu
Hujui kitu CHADEMA wewe kaa kimya
 
Ili uweze kueleweka kwamba ICC inanyanyasa waafrica inabid uwe na orodha ya baadhi ya mataifa ya Afria ambayo yanaonekana kwa kias frani kufata misingi ya democrasia. Mataifa kama Ghana, kama yatalalamika kuhusu mahakama hiyo nunaweza kukuelewa. Mtoa mada unenikwaza kuona unatumia viinchi kama Burundi, Rwanda,Sudani eti wamejitoa, hivi mfano Burudi ni nchi gani ambayo mauaji ndo kwao. Viongoz wa kiafrika ni watu waajabu wanaona mahakama inawabana hivo wanapiga kelele ili waweze pata uhuru wa kufinya raia wake vizur. Hata ombi lako la Tanzania kujiondoa utalipata mda si mrefu kwa mwenendo huu. Wanajiondoa ili watekeleze uharifu vizur. Mtu anajiwekea kinga kwa manufaa ya nani kama unajua ww ni mwadilifu kinga na kujitoa kwenye mahakama haifai. Mwisho Africa ilipaswa itawaliwe miongo mingine ili watu waweze kua sawa hatuwez kujitawala wenyewe.
 
Ili uweze kueleweka kwamba ICC inanyanyasa waafrica inabid uwe na orodha ya baadhi ya mataifa ya Afria ambayo yanaonekana kwa kias frani kufata misingi ya democrasia. Mataifa kama Ghana, kama yatalalamika kuhusu mahakama hiyo nunaweza kukuelewa. Mtoa mada unenikwaza kuona unatumia viinchi kama Burundi, Rwanda,Sudani eti wamejitoa, hivi mfano Burudi ni nchi gani ambayo mauaji ndo kwao. Viongoz wa kiafrika ni watu waajabu wanaona mahakama inawabana hivo wanapiga kelele ili waweze pata uhuru wa kufinya raia wake vizur. Hata ombi lako la Tanzania kujiondoa utalipata mda si mrefu kwa mwenendo huu. Wanajiondoa ili watekeleze uharifu vizur. Mtu anajiwekea kinga kwa manufaa ya nani kama unajua ww ni mwadilifu kinga na kujitoa kwenye mahakama haifai. Mwisho Africa ilipaswa itawaliwe miongo mingine ili watu waweze kua sawa hatuwez kujitawala wenyewe.
Umeandika melezo meeeeengi ambayo hayana mantiki. Kweli wewe CHADEMA
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

Kama nchi ndogo za Rwanda na Burundi ambao ni jirani zetu walijitoa kutoka katika taasisi hii inayosemekana inafumbia macho uhalifu unaotendwa na mataifa ya Ulaya (Eurocentric), mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa mahakama inayoshutumiwa kutumika kama silaha ya kitisho (A Weapon of Deterrence) kwa kuwalenga zaidi viongozi kutoka katika nchi za bara la Afrika?

Was the ICC (International Criminal Court) made for Africa? Should it still be there so as to deter any future political misconducts in the so-called "dark continent"?


Uzinduzi wa mahakama ya kwanza ya jinai ya kimataifa ya aina yake iliyopewa jukumu kubwa la kushtaki, kuhukumu, na kuwaadhibu wale waliohusika na unyanyasaji mbaya sana uilisifiwa sana kama mafanikio makubwa ambayo yangesaidia kuhifadhi na kulinda amani na utulivu wa ulimwenguni kwa ujumla.

Wakati wa hafla ya kutiwa saini kwa Mkataba wa Mahakama (the Rome Statute), katibu mkuu wa wakati huo wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan, aliielezea mahakama hiyo kama "zawadi ya matumaini kwa vizazi vijavyo, na hatua kubwa mbele katika mapambano kuelekea upatikanaji wa haki za kibinadamu na utawala wa sheria ”.

Kati ya kesi 11 zilizokuwa zinachunguzwa na ICC mwaka huu wa 2020, 10 zinahusisha nchi za Kiafrika. Kati ya hizo 10, tano ni rufaa binafsi za nchi (self-referrals) - yaaani serikali inajielekeza kwa ICC kuchunguza hali fulani ya uhalifu ndani ya eneo lake kwa sababu haiwezi kushtaki wahusika wa uhalifu ambao uko ndani ya mamlaka ya ICC - mauaji ya kimbari, uhalifu wa kivita, na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Mpaka kufikia mwaka 2018, hati zote za kukamatwa na mashtaka yaliyotolewa na ICC ni za Waafrika, pamoja na wakuu wawili wa nchi kwa wakati huo - Omar Hassan al-Bashir wa Sudan na Uhuru Kenyatta wa Kenya.


Uelekeo huu wa kushangaza wa mahakama juu ya Afrika, haswa kesi dhidi ya al-Bashir na Kenyatta kwa wakati ule, ziliwakasirisha sana viongozi wa Afrika, na kusababisha kuibuka kwa lawama juu ya upendeleo wa kibaguzi.

Mnamo Oktoba 2013, Jumuiya ya Nchi za Afrika (AU) iliwataka mataifa ya Afrika kutoshirikiana na ICC, baada ya Baraza la Usalama kukataa kuahirisha kesi dhidi ya viongozi hao wawili (Kenyatta na Al-Bashir).

Waziri Mkuu wa zamani wa Ethiopia Hailemariam Desalegn aliwahi kuishutumu mahakama hiyo kuwa taasisi ya kibaguzi "ikiwawinda" Waafrika wakati Burundi, ambayo ilikuwa nchi ya kwanza kujiondoa uanachama wa ICC, iliikosoa kwa kuwa "chombo cha kisiasa kinachotumiwa na mamlaka [za kigeni] kumwondoa yeyote yule wanayemtaka kutoka madarakani katika bara hili pendwa la Afrika ”.

Kuna baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanadai ya kwamba, tuhuma za upendeleo na ubaguzi wa waziwazi zimetiwa chumvi zaidi. Wanasema ya kwamba, ni wazi kuwa ni sehemu ya ujanja wa wanasiasa na viongozi wanyanyasaji wa bara hili la Afrika ambao walishiriki ukatili mkubwa na wa kutisha na wanatafuta unafuu ya kutotupwa jela.


Je, Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa ICC mpaka sasa ilhali jirani zake Rwanda na Burundi walikwishajitoa zamani sana?

Should the East African Community (EAC) boycott the ICC with the same steady, resolute and unwavering stance?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
[/QUOTE
Ustawi halisi lakini
 
Unakunywa Savannah?

Hao wanaokununuliaga duh!

Maana Savannah hua mwanamke hanunui,hununuliwa..sasa sijui itakuaje,halafu wewe ni mtetea maCCM!

I seee!

Moshi Mjini sehem gani maana ni kwetu hapo,unakaa mtaa gani?
Ninakatisha tiketi hapa stendi kuu ya mabasi
 
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania;

Kama nchi ndogo za Rwanda na Burundi ambao ni jirani zetu walijitoa kutoka katika taasisi hii inayosemekana inafumbia macho uhalifu unaotendwa na mataifa ya Ulaya (Eurocentric), mpaka sasa Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa mahakama inayoshutumiwa kutumika kama silaha ya kitisho (A Weapon of Deterrence) kwa kuwalenga zaidi viongozi kutoka katika nchi za bara la Afrika?

Was the ICC (International Criminal Court) made for Africa? Should it still be there so as to deter any future political misconducts in the so-called "dark continent"?


Uzinduzi wa mahakama ya kwanza ya jinai ya kimataifa ya aina yake iliyopewa jukumu kubwa la kushtaki, kuhukumu, na kuwaadhibu wale waliohusika na unyanyasaji mbaya sana uilisifiwa sana kama mafanikio makubwa ambayo yangesaidia kuhifadhi na kulinda amani na utulivu wa ulimwenguni kwa ujumla.

Wakati wa hafla ya kutiwa saini kwa Mkataba wa Mahakama (the Rome Statute), katibu mkuu wa wakati huo wa Umoja wa Mataifa, Kofi Annan, aliielezea mahakama hiyo kama "zawadi ya matumaini kwa vizazi vijavyo, na hatua kubwa mbele katika mapambano kuelekea upatikanaji wa haki za kibinadamu na utawala wa sheria ”.

Kati ya kesi 11 zilizokuwa zinachunguzwa na ICC mwaka huu wa 2020, 10 zinahusisha nchi za Kiafrika. Kati ya hizo 10, tano ni rufaa binafsi za nchi (self-referrals) - yaaani serikali inajielekeza kwa ICC kuchunguza hali fulani ya uhalifu ndani ya eneo lake kwa sababu haiwezi kushtaki wahusika wa uhalifu ambao uko ndani ya mamlaka ya ICC - mauaji ya kimbari, uhalifu wa kivita, na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Mpaka kufikia mwaka 2018, hati zote za kukamatwa na mashtaka yaliyotolewa na ICC ni za Waafrika, pamoja na wakuu wawili wa nchi kwa wakati huo - Omar Hassan al-Bashir wa Sudan na Uhuru Kenyatta wa Kenya.


Uelekeo huu wa kushangaza wa mahakama juu ya Afrika, haswa kesi dhidi ya al-Bashir na Kenyatta kwa wakati ule, ziliwakasirisha sana viongozi wa Afrika, na kusababisha kuibuka kwa lawama juu ya upendeleo wa kibaguzi.

Mnamo Oktoba 2013, Jumuiya ya Nchi za Afrika (AU) iliwataka mataifa ya Afrika kutoshirikiana na ICC, baada ya Baraza la Usalama kukataa kuahirisha kesi dhidi ya viongozi hao wawili (Kenyatta na Al-Bashir).

Waziri Mkuu wa zamani wa Ethiopia Hailemariam Desalegn aliwahi kuishutumu mahakama hiyo kuwa taasisi ya kibaguzi "ikiwawinda" Waafrika wakati Burundi, ambayo ilikuwa nchi ya kwanza kujiondoa uanachama wa ICC, iliikosoa kwa kuwa "chombo cha kisiasa kinachotumiwa na mamlaka [za kigeni] kumwondoa yeyote yule wanayemtaka kutoka madarakani katika bara hili pendwa la Afrika ”.

Kuna baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa wanadai ya kwamba, tuhuma za upendeleo na ubaguzi wa waziwazi zimetiwa chumvi zaidi. Wanasema ya kwamba, ni wazi kuwa ni sehemu ya ujanja wa wanasiasa na viongozi wanyanyasaji wa bara hili la Afrika ambao walishiriki ukatili mkubwa na wa kutisha na wanatafuta unafuu ya kutotupwa jela.


Je, Tanzania imenufaikaje na kuwa mwanachama wa ICC mpaka sasa ilhali jirani zake Rwanda na Burundi walikwishajitoa zamani sana?

Should the East African Community (EAC) boycott the ICC with the same steady, resolute and unwavering stance?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Of course hiyo mahakama imebuniwa na wenyewe kuendeleza utawala wao wa dunia. Umesahau pale mahakama ilipowajibika na kutaka kukubali kuwashtaki Askari wa Marekani kwa makosa waliyofanya nje ya Marekani! Na Marekani ikapiga mkwala kwamba itawawekea sanctions majaji wa ICC na wakaufyata!
 
Of course hiyo mahakama imebuniwa na wenyewe kuendeleza utawala wao wa dunia. Umesahau pale mahakama ilipowajibika na kutaka kukubali kuwashtaki Askari wa Marekani kwa makosa waliyofanya nje ya Marekani! Na Marekani ikapiga mkwala kwamba itawawekea sanctions majaji wa ICC na wakaufyata!
Wazungu wapuuzi sana
 
Ili uweze kueleweka kwamba ICC inanyanyasa waafrica inabid uwe na orodha ya baadhi ya mataifa ya Afria ambayo yanaonekana kwa kias frani kufata misingi ya democrasia. Mataifa kama Ghana, kama yatalalamika kuhusu mahakama hiyo nunaweza kukuelewa. Mtoa mada unenikwaza kuona unatumia viinchi kama Burundi, Rwanda,Sudani eti wamejitoa, hivi mfano Burudi ni nchi gani ambayo mauaji ndo kwao.
Alafu, kwanini nchi ambazo ni dola kamili kama Rwanda na Burundi unziita vinchi? Hauoni kama unawakosea heshima "kisiasa"?...
 
Back
Top Bottom