Evelyn wa chumvi...

Evelyn wa chumvi...

Giza na mwanga wa mbalamwezi viliambatana na kushindana kutawala vichaka hivi,sauti za chura na wadudu mbalimbali ziliendelea kuhubiri huku mara hii zikiongezeka sauti zetu za hatua na mihemo kutokana na mbio za kumkimbia adui yetu!.
Alitangulia eve nikafuata mimi na kisha anitha alieonekana kuzidiwa na riadha hizi!,Kuna muda alionekana kukata tamaa na kuinama huku akihema kwa pupa,sikusita kumrejea na kumshika ili tuendelee na safari yetu ambayo hatukuijua mwisho wake..
Kwa mbali kiasi tuliweza kuona mianga ya tochi kadhaa za adui zikija kwa kasi kutufuata,muda mwengine walipeana maelekezo fulani ambayo sikuweza kuyasikia vyema kutokana na mbio tulizotimka!.
Eve alionekana kuwa bado imara katika kuzichukua hatua zake vilivyo!,nyuma yake tulijikongoja huku akitutupia jicho mara kadhaa na kuhimiza tumfuate.. penye vijito tuliruka,penye mawe tulipita pia. Ilifika hatua hata nami nguvu zilianza kuniishia,miguu ikaanza kuchoka riadha hii lakini kukimbia ndio ilikuwa nafasi yetu ya mwisho katika kuziponya nafsi zetu,kusimama na kuwasubiria adui hawa wasio na huruma ilikuwa kama kumkaribisha yule malaika mtoa roho ndani ya chumba chako!.

"Siwezi Tena" ilisikika sauti ya anitha nyuma yangu,niligeuka na kusimama.
alikuwa pale akitweta na kutojiweza huku amejiinamia.. niligeuza macho yangu tena kumuangalia eve nae alisimama akitutazama.
Nilipoangalia nyuma ya anitha kwa mbali sikuweza kuziona tena zile tochi zikitufuata bali ukimya ulitawala!,nilimkaribia nakumshika mkono wake wa kushoto nakumnyanyua lakini aligoma hata kufanya hivyo huku akionyesha ishara kwa mkono wake ya kuwa nimuache.
Eve alirudi na kutufikia nae akihema,alimtizama anitha kisha akanitazama mimi ndipo tukasikia sauti tena ya anitha ikiomba maji ya kunywa!,punde hiyohiyo kabla sentensi yake haijamalizika vyema ulisikika mlio wa risasi kutuelekea!.
Ilipita patupu bila madhara yoyote japo ilikuwa kama ishara nyengine ya kuziendeleza mbio zetu.. kwa spidi eve aliichomoa bastora yake nakujibu mapigo kule kuliposikika mlio wa risasi ulipotokea,Kisha akajibanza nyuma ya mti mkubwa uliokuwepo karibu.
Nami bila kungoja mara hiyohiyo nilimvuta anitha kwa mkono wake wa kushoto kisha nikamuweka mkabala nami nakuanza kumkokota tukielekea mbele, ulisikika mlio mwengine wa risasi ambao nao ulipita patupu ila ukiniacha mapigo ya moyo yakidunda zaidi!,nilihisi kama cheche zikipita kwenye mwili wangu na nguvu kunijaa zaidi.. nilivuta pumzi na kumkokota zaidi anitha,niliuhisi uzito wake wa miguu kwa kushindwa hata kukimbia,nilimvuta na kukaza mikono yangu katika mwili wake nakuanza kupiga hatua kubwakubwa. Niligeuza shingo yangu nyuma nakumuona eve akijibu risasi nyengine mbili kisha nae akatimka kutufuata.. alipotufikia alijibanza tena kwenye mti nakutuacha sisi tukizidi kujikokota.
Ilikuwa ni picha ambayo ilinihuzunisha na muda huohuo kunipa tumaini baada ya kuona eve akitimiza wajibu wake wa kuhakikisha usalama wetu japo nilimpoteza rafiki yangu kipenzi Jeff!,mara hii hata ule uhalali wa maneno yake walau nilianza kuuona.

Ghafla eve aliniita nami nikasimama na kugueka.. "jitahidini kuna gari hapo mbele!" Alinena huku akihema.
Sentensi yake ilikuwa kama ushindi mwengine uliotangazwa pasipo kutarajia!,hata nguvu na hali vikanivaa tena nakujikuta nikimeza funda la mate ambalo hata halikuwepo nakujikuta nikimeza hewa!..
Kabla sijachukua hatua yoyote nilijisachi katika mifuko yangu nakutoa magazine mbili zilizojaa risasi kisha nikamrushia eve,niliirejesha sura yangu kwa anitha na kumuangalia alivyokuwa akitweta huku akikunja sura yake kama mtu mwenye maumivu fulani.. sikujali hilo hata ile haja ya kumkokota sikuiona tena bali niliinama na kum'betua nikam'beba kama mtoto!. Miguu yangu ilizichukua tambo kubwakubwa na spidi kiasi huku nikihema na macho yangu mbele yakiangalia kwa umakini.
Huku nyuma kuliendelea kusikika milio ya risasi ambayo sikujua ipi ilikuwa ya upinzani ama ya eve.

Baada ya kutimka kama mita mia hivi niliweza kuliona barabara la vumbi huku upande wangu wa kushoto nikiliona gari jeupe likiwa limepaki pembeni,haraka nililifikia na kufungua mlango wa nyuma na kumuweka anitha kisha nikauendea mlango wa dereva na kuufungua huku nikiiikalia siti tayari kwa safari!, sikusubiri nilibetua mara kadhaa funguo za gari nalo likakubali kuwaka.. hatua niliyokuwa nikisubiri ni kuiona sura ya eve tu nami nizisurubishe tairi kwa kukanyaga ardhi!.
Milio ya risasi iliendelea kusikika ila mara hii ilisikika zaidi ikitusogelea,nilimtizama anitha nyuma ya siti akiwa amelala hovyo akihema taratibu huku akiyatumbua macho yake. Niliyahamishia macho yangu nje nakumuona eve akija kwa spidi nami hapohapo nilitia gia huku nikisubiri tu autie mwili wake ndani.
Punde hii alikuwa ndani ya gari nami nikaziamrisha tairi za gari ziichimbue ardhi na kuwaachia vumbi adui zetu waliobaki waking'aa macho katika kiza hichi amacho kulianza kukucha!.
Tulipita vilima na mabonde hatimae tukaifikia rami ambayo kwa kufuata maelekezo ya eve nilipinda usukani vile ilivyohitajika mpaka pale tulipofika mbele ya nyumba moja yenye isiyo na uzio.

Nilipaki na kutelemka,akafata eve na kisha anitha..
"Vipi hali yako..?" Nilimuuliza anitha,
Alinitazama kwa jicho legevu lililoonyesha hali zote za kuhitaji huduma katika tumbo lake!.
"Angalau sahivi" alijibu anitha.
Nilimsogelea nakumkagua kwa macho nikijaribu kutafuta tofauti yoyote katika mwili wake,lakini sikuona tofauti yoyote zaidi ya uchovu ambao sahivi ulianza kushuka.
Nilishusha pumzi zangu na kuhamishia macho yangu kwa eve,nae alinitazama pasipo kusema chochote Kisha nikamuona akiusogelea mlango wa nyumba ile nakutoa funguo alizozitumia kufungulia mlango.
Baada ya kufungua alitutazama mimi na anitha tuliokuwa tumesimama nasi tukimtazama,kwa macho yake tu ilitosha kufahamu kuwa alitutaka tuingie ndani,nasi pasipo hiana tulifanya hivyo.

Ilikuwa ni nyumba ya vyumba vitatu na sebule moja kubwa ambayo ilipakana na jiko huku likitenganishwa na ukuta uliokuwa na mlango wa kuingilia jikoni huko.. marumaru kadhaa na thamani zilizopatikana katika jengo hili zilitupokea kwa husda!. Sofa seti tatu zilizopangiliwa vizuri ziliizunguka meza ya kioo huku chini kukiwekwa zuria la manyoya na kufanya sebule hii kupendeza vilivyo..
Meza ya runinga ilituangalia huku ikiwa imejidhatiti kwa kubeba vitu vilivyohitajika kukaa hapo..
Eve alitukabidhi kila mtu chumba chake,nami nikazama kwenye chumba hicho kilichopambwa vyema kwa kuwepo kwa kitanda kikubwa kilichotandikwa vizuri huku kabati lenye kioo kikubwa likiwa pembeni likinitazama kama lililohitaji nilitazame ndani yake kulikuwa na nini,nililisogelea na kufungua!.
Lahaula! Nilipokelewa na nguo nzuri za kiume zilizopangwa vilivyo.
Pembeni kulikuwa na mlango nilivyofungua nilikutana na bafu yenye choo ndani yake ambayo ilipendezeshwa kwa vigau kuanzia sakafuni mpaka kwenye kuta zake.
Sikuwa na subira hapohapo nikavua nguo zangu nakutopea bafuni kujimwagia maji!.

Nilichukua takribani dakika 20 kukoga na kuutakatisha mwili wangu kisha nikalifuata taulo jeupe lililokuwa limening'inizwa nakuanza kujifuta maji,wakati nikifanya hivyo taratibu nikakisogelea kioo kilichokuwa kwenye kabati nakusimama mbele yake.
Nikiwa uchi wa mnyama nilianza kuudalizi mwili wangu,nilianza kuyatazama macho yangu yaliyojawa na uchovu Kisha nikafuata nywele zangu ambazo zilikuwa wastani tu huku zimenyolewa kwa mtindo wa panki. Nililitazama paji langu la uso ambapo kwa pembeni yake kulikuwa na mchubuko mdogo.. kilifuata kifua changu ambacho kilijitutumua kwa kuwa na manyoya hafifu kana kwamba yaliweka mgomo wa kuchomoza zaidi,tumbo langu nalo lilianza kufifia nakukisahau kile kitambi ambacho kilianza kujijenga ndani ya wiki kadhaa tu!. Nilijikuta naguna
"Mh!"
Kisha nikaongeza
"Siku tatu tu za dhoruba zimetosha kuupukutisha mwili wangu!".

Mawazo yakabadili mkondo na kuukumbuka ule usemi wazamani
"Dunia duara".
Nilikiri kweli kuwa ni duara kwani sikuwahi kufikiri kama leo hii mimi Jonas ningekuwa katika changamoto hii iliyonikuta!.
Changamoto ambayo ilinikuta kiajabu pasipo kutarajia,punde hiyohiyo nikamkumbuka rafiki yangu kipenzi Jeff!!.
Huzuni kwa mara nyengine ikanitawala,hasira nazo zikanitamalaki.
Maisha ya rafiki yangu niliyapoteza kizembe sana!,nilijiona nastahili lawama juu yake.
Kumbukumbu zikanivuta mpaka ile siku tulipokutana kule machimboni,hulka yake ya upole ndio zaidi iliwavutia wengi,ucheshi wake pia ulikuwa bayana kwa kila mtu.

Nani hakumjua Jeff gozabi!,
Uchapa kazi wake ndio haswa ulinivuta kuwa rafiki yake wa karibu. Niliikumbuka hata ile siku yakwanza tuliyoshirikiana katika uchimbaji nakutoka na chochote kitu.
Machozi ya uchungu yalinibubujika hata kuambaa katika mashavu yangu na hatimae kuanguka chini.
Nilijikuta nikiikunja ngumi yangu ya kulia na kujiapiza kulipiza kisasi kwa wale wote waliotiririsha damu ya rafiki yangu kipenzi!.

Taratibu huku nikitawaliwa na huzuni nilijivuta hadi kitandani nakujikuta nikitopea kwenye lindi la usingizi isivyo kifani.

**

"Hodi"

"Hodi"

Mlango ukafunguliwa na mgonga hodi pasipo ruhusa!.

Nilisikia sauti yake kwa mbali huku nikihisi viganja laini vikinigusa mashavuni kwa kunipigapiga!.
"Jonas"
"Jonas"

Niligutuka nakukutuna na sura ya eve ikiniangalia huku ikichanua tabasam zito!.
"Amka" alihizima eve huku akiendelea kunitazama!.
Ndipo fahamu zikanirudi nakutahamaki kumbe nilipitiwa usingizi huku nikiwa uchi!
Sikumuonea haya bali nilijivuta na kukaa sawia huku nikimtizama na macho yangu ya usingizi!
Nilipiga mwayo wa sekunde tano kisha nikapikicha macho yangu na kumtizama huku nikingoja aseme kile kilichomfunya aje anikatishe lepe langu la usingizi nililokuwa nikilitungua!.
Wala hakusema kitu!,ndo kwanza alijigeuza na kulielekea kabati la nguo akatafuta alichotafuta akachomoka na kaushi nyeupe pamoja na pensi iliyochorwa picha kubwa ya marijuana!.
Akaniletea na kunihimiza nivae mara, "ooh sorry,nimesahau boxer!" Akalirudia tena kabati nakutoka na boxer ambayo nayo hivyohivyo ilitamalaki picha ndogondogo za ule mmea wa Marijuana!.
Nilimuangalia na kumtupia swali la utani.
"Mwenye nazo alikuwa anatumia sana haya majani..?"

Akacheka kisha akajibu "hakuna mwenye nacho isipokuwa ni wewe,nimeyafanya haya kwaajili yako!" Aliyasema hayo huku uso wake mzuri ukiwa umejawa na tabasam ambalo sikuwahi kuliona hapo kabla!.

Eve alinisaidia kuvaa huku akinipigisha stori za uchokozi
"Sangapi sahivi..?" Nilimuuliza
"Nane na nusu mchana" alijibu huku akiiweka vyema kaushi yangu akiyomalizia kunivisha.
"Tumbo langu linamadeni!" Niliongezea.
"Ndicho nilichokufuatia"...........


Tutaendelea usiku wakuu.
 
Giza na mwanga wa mbalamwezi viliambatana na kushindana kutawala vichaka hivi,sauti za chura na wadudu mbalimbali ziliendelea kuhubiri huku mara hii zikiongezeka sauti zetu za hatua na mihemo kutokana na mbio za kumkimbia adui yetu!.
Alitangulia eve nikafuata mimi na kisha anitha alieonekana kuzidiwa na riadha hizi!,Kuna muda alionekana kukata tamaa na kuinama huku akihema
Usiku huu au wa kesho?
 
Tulitoka chumbani na kuelekea sebuleni,mezani kuliweka hotpot kubwa tatu pamoja na juisi ya embe kwa pembeni.
Tulimkuta anitha akiwa ameshatutangulia huku sahani yaki akiijaza wali pamoja na mboga zamajani, pembeni kukiwa na matunda mawili matatu.
Niliikaribia meza na kuchukua siti eve akinipatia sahani huku akinikaribisha na kunitupia jicho fulani la uchokozi!,sote tukaangua tabasam hafifu huku nikinena "ahsante" nakuipokea sahani ambayo niliijaza wali uliounda kilima.. tulikula na kunywa hatimae nikaisikia sauti ya anitha.

"Pole Jonas"
Niliinua shingo yangu nakumtazama,nilikuta macho yake yote yakiniangazia mimi huku sura yake ikiwa imetawaliwa na huruma!.

"Ahsante" niliitika kwa sauti ya upole.

"Jeff alikuwa rafiki mzuri kwako..?"
Mara hii aliuliza eve.
Sikuiinua sura yangu kumtizama eve, niliendelea kuiangalia sahani yangu ya chakula niliyokuwa nimeishusha na kubakiza tambarare tu!.
Kabla sijajibu chochote niliupeleka mkono wangu wa kulia nakuishika glass yangu ya juisi niliyoiduguda funda moja zito,Kisha nikairejesha.

"Alikuwa ni zaidi ya rafiki" nilijibu kwa ufupi.
"Pole" alinena eve huku nae akinitazama kwa huruma!.

Kilipita kimya huku ikisikika sauti ya vijiko vikigonga sahani. Punde hiyohiyo eve akaongeza,
"Nilipokuwa nikiandaa chakula niliona taarifa ya habari polisi walifika kwenye jengo lile"
Sote mimi na Anitha tulimtizama huku tukitaka kujua zaidi.
Eve alituangalia kwa zamu kisha akaendelea.. "Hakukuwa na chaziada kama kawaida yao walisingizia wao ndo waliwauwa zile maiti walizozikuta ikiwemo na ya Jeff!"

"Mh!" Niliguna na kisha eve akaendelea.
"Kawaida ni michezo yao".

Jambo hili lilinihuzunisha zaidi baada ya kusikia kuwa maiti ya rafiki yangu kipenzi ilihusishwa na ujambazi!. Hasira hafifu zililiparamia tena koo langu nakujikuta nikishindwa kuendelea kula!. Nilivuta jagi la maji nakuweka kwenye glass kisha nikayanywa kwa pupa,nilipomaliza niliitua glass na kutoka kitini nakwenda kujituliza katika moja ya sofa.

Nilitulia nikiwaza kwa dakika kadhaa,punde baada ya Anitha kutoa vyombo alikuja karibu nami nae akaichukua nafasi yake nakuketi.
Hakuchukua muda mrefu Eve nae alijumuika nasi ambapo macho yetu sote yalikuwa yakikodolea runinga iliyombele yetu,mziki mwepesi uliendelea kutumbuiza japo hatukua makini sana katika kuufatilia.
Muimbaji wakike alijinengua kwa kufuata milindimo ya ala za muziki huku akiimba,muda mwengine kwa kupaza sauti ama kupunguza,walitokea watu wengine nao wakajumuika nae kulisakata.

Ndani ya muda huohuo ilisikika sauti ya Anitha ikilia kwa chini,Mimi na eve tuligeuka na kumtizama nakugundua kuwa alikuwa akiangua kilio!.
Eve alijinasua toka kwenye siti yake na kumwendea Anitha alipokuwa ameketi.. aliketi pembeni yake na kumkumbatia huku akimsihi asilie.
Anitha hakuweza kujizuia machozi bado yaliendelea kuyasabahi mashavu yake ambayo ni eve tu ndie aliyeyafuta huku akimsihi zaidi asiendelee kulia!.
Punde kwa sauti ya kilio cha chinichini Anitha alisikika akisema
"Lameki alikuwa akiupenda huu wimbo!" Alitulia na kisha taratibu Anitha akajitoa kwenye kumbatio la eve huku macho yake yenye machozi yakituama kuitazama runinga!.
Mara hii alitulia na kuinua mikono kisha akajifuta machozi ktk macho yake.

"Nimekuwa nikimkumbuka sana lameki" aliendelea Anitha.

Mimi na eve tulitulia tukimtizama Anitha ambae mara hii alimtizama eve Kisha akanigeukia mimi na kutizama tena runinga.
Punde hii anitha alianza kusimulia.

"Ilikuwa ni siku nzuri kwetu,siku ambayo asubuhi tu tuliipokea tukiwa kitandani kwetu. Lameki aliniamsha kwa busu zito ambapo nilipoamka tu nilikumbana na sura yake yenye bashasha huku akitamka maneno "sorry honey"
Niliyapikicha macho yangu kabla ya kusema chochote,hata hivyo lameki hakuniruhusu niseme chochote kwani muda huohuo alinirukia na kunikumbatia kwa mikono yake huku akiuleta mwili wake wote kwangu!.
Nami bila hiana nilimpokea nakuchanua tabasam lililochangamana na usingizi."

Anitha alitulia kidogo kisha akaendelea.
"Mwili wake ulipokutana na wangu liliibuka tamanio jengine ambapo muda huohuo mvua ya mabusu toka kwa lameki yaliulaki mwili wangu!,mabusu yake yalikuwa siraha tosha ya kuinua vilivyolala.
Tulijikuta tukisaula nguo zetu za kulalia na kutumbukia penzini lililoisha vilivyo.

Baada ya kufanya tuliyofanya tulioga na kupata kifungua kinywa,Kisha tukaamua kuzifuata ratiba zetu nyengine ambapo tulipanga kwenda shopping,nasi tulifanya hivyo.
Hata baadae tulizisukuma tairi za gari letu mpaka maeneo ya fukwe napo tukapata upepo mwanana wa bahari.."

Anitha alitulia tena na kuvuta pumzi ndefu nakuitoa,Kisha akaendelea.

"Ni wakati huu tulipokuwa tukilirejea gari letu katika hifadhi za magari huku lameki akiwa amenishika mkono wangu wa kulia na kunipa stori mbili tatu zilizonifanya niangue kicheko,ndipo kulitokea kundi la watu wanne wakatuzunguka kwa haraka!.
Nakututaka tuache kufata gari letu tukaingie kwenye gari lao ambalo lilikuwa wazi mbele yetu!,lameki aliukamata mkono wangu kwa nguvu hata nilipomuangalia niliona badiliko katika sura yake!.
Mapigo yangu ya moyo yakanijaa kwa pupa!.

Kulitokea mabishano kati ya watu wale na lameki hata mipazo ya sauti ikazidi ndipo pasipo kutarajia zilianza fujo huku nikijikuta nikibebwa na watu wawili!.. Lameki alijitahidi nakuweza kuwaangusha watu wale wawili waliokuwa wamemshikilia yeye.
Aliwafuata watu wale wawili waliokuwa wamenibebelea lakini kabla hajanifikia alikuja mtu tokea nyuma yake na kumuwekea puani kitambaa cheupe!.

Pingamizi la lameki halikufua dafu punde hiyohiyo nguvu zilimuishia nakujikuta akiregea nakuzolewa mzimamzima mpaka garini ambapo watu wale wawili walikuwa wameshaniingiza!.. watu wa karibu walioshuhudia tukio hilo hakuna alietoa msaada zaidi ya wengi kukimbia na wengine kubaki wakishangaa pasipo kufanya chochote!.
Walilitoa gari kwa spidi kali nakushika rami,kelele zangu garini zilitishwa kwa mtutu wa bunduki ulioelekezwa kichwani pangu!,baada ya kona mbili tatu hatimae pasipo kutarajia nami kitambaa cheupe kilitua kwenye uso wangu, fahamu zikaniyoyoma na kupotelea pasipofahamika!."

Anitha alitulia nakuvuta glass ya maji iliyokuwa juu ya meza nakupigia funda kadhaa,alipoirudisha aliendelea.

"Fahamu zilikuja kunirejea nakumkuta lameki akiwa amefungwa kwenye kiti huku mimi nikiwa chini namtizama nikiwa nimefungwa miguuni na mikononi,nilipomtizama lameki vizuri usoni katika jicho lake la kulia alikuwa anaalama ya kuvilia damu!.
Lameki aliinua kichwa chake na kunitazama nilipokuwa pale chini.. uso wake ulionyesha huruma na mfadhaiko,pasipo utambuzi yakinifu nilijikuta nikimuuliza lameki
"Tupo wapi..?"

Lameki hakunijibu kwa wakati huo,alitulia akaniangalia kwa kunikazia macho kisha machozi yakamtoka na kusema tu
"Nisamehe mpenzi".
Mara mlango ulifunguliwa nakuingia watu wawili wenye vifua haswa nakumbebelea lameki kwa fujo!. Nilipiga kelele kuwaomba watu wale wasimfanye chochote mpenzi lakini masikioni pao ni kama walikuwa wamezishindilia pamba na wasisikie!."

Anitha alitulia kidogo akiwa kama mtu aliekumbuka kitu Kisha machoni pake nikaona malengelenge yaachozi yakianza tena!.

"Kilichofuata zilikuwa ni kelele za maumivu toka katika kinywa cha mpenzi wangu lameki!. Sauti yake ya uchungu ilikita katika ngoma za masikio yangu hata katika moyo wangu!,niliweza kuhisi maumivu aliyopitia. Nilijikuta nikilia kwa sauti huku nikiipaza sauti yangu nikiwasihi watu wale wamuachie mpenzi wangu.

Kuna muda nilisikia wakimuhoji
"Fedha zetu ziko wapi..?"
Lameki hakujibu chochote,kipigo kilitua katika viungo vyake vya mwili ikifuatiwa na kilio cha maumivu toka kwa lameki.
Huo ndio muda niliotamani nipate nguvu nifyatuke kambani na kwenda kuwararua watu wale lakini sikuweza kufanya hivyo!.
Mahojiano yao yalinitafakarisha kitu kilichofanya nione watu wale waliopotea njia mpaka kufikia hatua ya kutukamata sisi!, Nilijikuta nikitamka kwa sauti nikiwajibu watu wale
"Hatuna fedha zenu, muacheni mpenzi wangu!"

Hakuna aliejali,kipigo nacho kiliendelea kumkumba lameki hata kufika hatua ya kukaa kimya asijibu hata kwa maumivu yoyote aliyopitia!. Niliendelea kung'aka kwa sauti zaidi huku nikiusogelea mlango wa chumba kile kidogo nakuanza kugongagonga kwa kutumia miguu.
Nilisikia hatua zikisogelea chumba nilichokuwemo,kikafunguliwa na kuingia jitu la miraba minne ambalo lilivalia nguo nyeusi pekee huku mkono wake wakuume akishikilia bastora ndogo.. sauti yake ya muungurumo ilipenya katika masikio yangu

"Kimyaaaa"
Nami sikusikia ndio kwanza niling'aka zaidi.
Niliona hasira zikimjaa mtu yule, alinisogelea na kunipa makofi mawili yalitonitetemesha vilivyo!
Hapohapo niliisikia sauti ya lameki ikijitutumua ikiomba nisiguswe!.

Niligugumia kwa maumivu huku nikiangua kilio kikali.
Punde mtu Yule kwa kutumia kitako cha bastora yake alinipiga nyuma ya kichwa changu nakuzipoteza fahamu zangu ambapo nilipokuja kushituka nilijikuta garini nikiwa nawe Jonas!".

Anitha alimalizia simulizi yake huku akinitazama mimi,nami nilimtizama kwa huruma baada ya kugundua masahibu yaliyomfika yeye na mpenzi wake lameki..
Anitha aliinama nakuanza Tena kuangua kilio upya,baada ya kilio tena cha kama dakika moja anitha aliyarejesha macho yake kwangu Kisha akanena.

"Ahsante Jonas kwa kuyaokoa maisha yangu!"

Huzuni ilinitapakaa kwa mara nyengine hata kumkaribia anitha na kumkumbatia huku nikimwambia kuwa asijali.
Nilijitoa katika mwili wa anitha kisha nikamsikia akiongeza.

"Mwili wangu uliniisha ganzi pale uliponiambia kuwa mwili wa lameki ulikuwa wabaridi!"
Baada ya maneno hayo aliangua kilio zaidi hata kushindwa kujizuia!. Eve alimkumbatia Tena anitha nakumbembeleza lakini hakufua dafu,kilio chake kiliendelea pasipo koma!.
Eve aliamua amtwae Anitha katika chumba chake ambako alienda kupumzika.

Nilibaki pekee katika sebule nikiitumbulia macho runinga,nikaigeuza shingo yangu na kuangalia ukutani nikakutana na saa ambayo mishale yake ilisoma mida ya saa kumi za jioni.
Nusu saa tu ilitosha kunirudisha kwenye lindi lengine la usingizi nikiwa palepale kwenye kochi.


********

Kelele finyu za harakati zilinigutua toka katika usingizi,nilimuona anitha akipita na kuelekea jikoni.
Nikajikuta nikipiga mwayo mrefu hadi kusababisha macho yangu kupata vilengelenge vya machozi,nilijinyoosha mwili nikiwa palepale kochini huku tena nikiongeza miayo myengine midogo.. macho yangu yakalifika dirisha nakuhamaki nilipoliona giza likiwa limetanda tayari!,nikayarudisha macho yangu mpaka ukutani kulipopatikana saa ambayo ilisomeka saa mbili kasoro robo!. Nikiwa nashangaa ulalaji wangu huu nikagundua hata kibofu changu cha mkojo kilinizodoa nakutaka niione maliwatoni!.
Nilijinyanyua kiuchovu mpaka chumbani kwangu nakwenda kukishushia mzigo kibofu changu. Ahueni ilipatikana nakujikuta nikiliangua tabasam hafifu.

Nilirejea sebuleni nakumkuta anitha akiaendelea kuhangaika na harakati zake za jikoni.

"Za mapumzuko..?" Aliniuliza anitha huku akiendelea na shughuli zake pale jikoni.
"Nzuri" nilijibu huku nikiisogelea fridge nakutoa kopo la maji niliyoyaduguda,baada ya kumaliza nilishusha pumzi nakuurudishia mlango wa fridge.
Nikamtimaza anitha nakumtupia swali
"Eve yuko wapi..?"

"Eve ametoka kuna vitu ameendea mahali"
Alijibu anitha huku akitumbukiza viungo katika sufuria iliyokuwa jikoni.

Nilitoka na kwenda kutulia zangu sebuleni huku macho yangu yakitulia kwenye runinga iliyokuwa ikionyesha kipindi cha wanyama,punde mawazo yakanibadili na kufikia kuanza kuikumbuka simu yangu iliyopotelea mikononi mwa watesi katika kile kinyumba mwituni!.
Nilianza kuyakumbuka maisha yangu ya awali jinsi yalivyokuwa huru na yenye kila aina ya starehe.
Punde nilikatishwa baada ya mlango wa kuingilia ndani kugongwa,nilisogea na kuuliza
"Nani..?"

"Ni mimi eve" alijibu eve huku sauti yake ikisikika vyema pasipo mashaka. Niliufungua mlango nakukuta amebebelea mivinyo ya wine.. nilimpokea nakuitwaa mezani. Alinisabahi nami nikafanya vivyohivyo kisha akaelekea jikoni alipokuwa anitha!.
Walisaidizana kupika huku wakipiga stori mbili tatu zikiambatana na vicheko hafifu..

Ilipita saa zima chakula kikatua mezani nasi tukakifinya huku tukidungua stori kadhaa ambazo kila mmoja wapo alipitia katika maisha yake,mvinyo nao ulitungoja katika meza ya kioo iliyozungukwa na sofa seti.. baada ya kupata chakula tuliukaribia mvinyo nakuanza kutupia glass kadhaa..

Dah! Wakuu nimechoka naomba niishie hapa kwa leo kichwa kimestuck nisijeandika matango pori..😂
Tuonane kesho nikiwa na akili tulivu tuisakate hadithi yetu.
 
Tulitoka chumbani na kuelekea sebuleni,mezani kuliweka hotpot kubwa tatu pamoja na juisi ya embe kwa pembeni.
Tulimkuta anitha akiwa ameshatutangulia huku sahani yaki akiijaza wali pamoja na mboga zamajani, pembeni kukiwa na matunda mawili matatu.
Niliikaribia meza na kuchukua siti eve akinipatia sahani huku akinikaribisha na kunitupia jicho fulani la uchokozi!,sote tukaangua tabasam hafifu huku nikinena "ahsante" nakuipokea sahani ambayo niliijaza wali uliounda kilima.. tulikula na kunywa hatimae nikaisikia sauti ya anitha.

"Pole Jonas"
Asante mkuu
 
Tulitoka chumbani na kuelekea sebuleni,mezani kuliweka hotpot kubwa tatu pamoja na juisi ya embe kwa pembeni.
Tulimkuta anitha akiwa ameshatutangulia huku sahani yaki akiijaza wali pamoja na mboga zamajani, pembeni kukiwa na matunda mawili matatu.
Niliikaribia meza na kuchukua siti eve akinipatia sahani huku akinikaribisha na kunitupia jicho fulani la uchokozi!,sote tukaangua tabasam hafifu huku

Kazi nzuri, tunasubiri muendelezo
 
Niliichukua glass yangu ya mviyo nakukaa pembeni nikipiga funda mojamoja huku nikitulia macho yangu nikiyaelekezea runingani..

Ni wakati kama huu ile kiu ilinipanda tena!,kiu ambayo imekuwa ikiurarua moyo wangu pamoja na akili,kiu hii ingetoa uelekeo wa kile ambacho kimetukuta na kitakachotukuta hapo baadae.
Nilimtizama eve kwa tuo,wakati huu aliishusha glass yake ya mvinyo huku akiniangalia,nilikutana na macho yake malegevu ambayo yalianza kusawajika kutokana mvinyo kutamalaki kwenye mwili wake.. aliyatoa macho yake kwangu na kuielekea runinga.

"Eve" nilimuita kwa sauti ya chini nae bila hiana aliyarudisha macho yake kwangu.. nilimtizama binti huyu kwa tuo tena huku kichwani pake akiwa na msuko wa nywele za rasta zilizofungwa juu ya kichwa chake kiustadi,nguo yake ya kulalia iliyomuishia mapajani ilionekana Kama ua ambalo limeufutika uzuri wa mrembo huyu,eve hakuwa mwanamke unaeweza kudhania kama ni mjuzi ktk maswala ya mapigano!. Urembo wake ulitosha kufunika yote hayo.

"Kwanini yote haya..?" Nilimuuliza eve huku nikimuangalia usoni kwa umakini.

Kabla hajajibu chochote alijiweka vizuri nakurekebisha koo lake,Kisha akainyanyua glass yake iliyokuwa mkononi pake nakugida funda moja.
"Jonas sioni haja ya wewe kuyafahamu haya,nishakuambia ni swala la usalama wenu!" Alijibu kiufupi kisha akairudisha shingo yake kutazama runinga.

Sikuwa pekee niliemshangaa eve kwa jibu lake bali hata anitha alimtumbulia macho eve kwa takribani sekunde thelathini!.
"Usalama wetu lazima uendane na fahamu zetu tujue adui zetu wanatutafutia nini!" Niliongeza.

Pasipo hata kusema chochote eve aliinua tena glass yake na kunywa mvinyo kwa mara nyengine!.
Maswali yangu kuhusiana na hili jambo yalikuwa yakimchukiza sana eve!,aliona kana kwamba nitakwenda kufahamu kile kilicho nyuma ya mapazia!.
Nami kiu changu cha kutaka kuufahamu ukweli kiliendelea kunishika zaidi, sikupenda kuendelea kuishi katika upofu huu.
Nilichoka mbio nilizokimbia ambazo sikujua nilikimbilia nini!.

"Eve"
Kwa sauti ya juu kiasi nilimuita tena huku nikimuangalia kwa tuo!.
"Usiponipa majibu juu ya maswali yangu naweza kufanya maamuzi yoyote!" Nilimwambia eve maneno haya ambayo hakuonesha kuyajari!.
Alikaa kimya kwa dakika moja kisha akajibu..
"Waweza fanya chochote ila sifikirii kukwambia chochote zaidi ya haya unayoyafahamu!"

Hasira zikanijaa kwa jibu lake,anitha aliekuwa amekaa pembeni yangu aliliona hilo akaushika mkono wangu wa kushoto uliokuwa pembeni. Anitha aliniangalia kwa chati,kisha akamuangali eve aliekuwa ameketi kwenye sofa la mbele kutizama meza.

"Lakini eve kwanini usitupe majibu ya maswali yetu..?" Alinena anitha.
"Hakuna haja ya kufanya hivyo!"
Alijibu eve huku akinyanyuka.
Punde hiyohiyo nami nilinyanyuka kwa spidi nakumshika mkono wake wakushoto.

"Usitutie upofu angali tunaona,sisi sio watoto sasa utautema ukweli wote!" Niling'aka kwa hasira huku nikijidhatiti mbele za eve!.
Alijitoa kwenye mkono wangu huku akitumia mkono wake mwengine,ndipo pasipo kutarajia nilijikuta nikiuamrisha mkono wangu wakulia na kumzaba kofi eve katika shavu lake lakushoto!..

Alibaki akinishangaa kwa kunikazia macho,hata Anitha nae alinitizama kwa tuo baada ya kuona uamuzi wangu huo wa kumtia kofi eve!.
Anitha aliinuka ghafla na kusimama katikati yetu huku akihimiza kuwa tusifike huko!. Aliuachanisha mkono wangu uliokuwa umemshikilia eve.

Pasipo kusema chochote eve aliondoka nakuelekea chumbani kwake huku akionyesha kuwa na hasira!. Anitha alimfuata eve lakini alichelewa kwani tayari eve aliufunga mlango wa chumba chake na hakutaka kuufungua tena!.

Nilitulia kitini nakumimina mvinyo katika glass yangu.. anitha alirejea nakusimama kwa kuegamia ukuta huku akionekana kujawa na mawazo asijue chakufanya!. Alinitazama nakusema
"Hukupaswa kufanya hivyo"
Sikumjibu chochote bali ndo kwanza niligida mvinyo wangu,mawazo yangu yalibadili mkondo kila namna ndio maana hata sikuona ulazima wowote wa kujibu hoja za anitha,hata hivyo tayari akili yangu ilikuwa imeshaanza kubadilika kutokana na mvinyo!.

Anitha alitulia nakunitupia macho tena,alipoona kuwa simzingatii aliamua kuondoka huku akinitakia usiku mwema,nilimjibu kwa ishara ya kuinua glass yangu ya mvinyo kumuelekea.

Nilitulia sebuleni pale nikiwa mwenyewe huku nikigida mvinyo pasipokuchoka, runinga nayo iliendelea kutoa burudani kwa vionjo vya muziki huku muda mwengine nikihamisha channel za vichekesho ambavyo vilinifanya nicheke mara kadhaa..
Niliitupia macho saa yaukutani nakugundua ilikuwa yapata mida ya saa tano za usiku,uchovu ulianza kunitamalaki nikajikuta nikizima runinga nakuelekea chumbani kwangu.. kitanda chenye godoro laini kilinipokea mzimamzima kama nilivyojitupa,nilifikiri kwa kulewa kule ingelikuwa rahisi kwangu kutumbukia kwenye lindi la usingizi lakini hali ilikuwa tofauti.
Kila pozi nililolala lilikuwa bure tupu,hakuna punje hata moja ya usingizi niliyoiambulia!.
Mara hii niliamua nilale chali huku macho yangu yakiielekea taa iliyokuwa ikiwaka kwa mwanga hafifu juu ya dari..
Mawazo mawili matatu yakapita kichwani kwangu ndipo nikalikumbuka tukio lile la kumnasa eve kofi!,nilijilaumu kwa kufanya hivyo japo upande wapili niliona kama alistahili adhabu hiyo.. nikiwa katika lindi hilo la usingizi ndipo mlango wangu niliuona ukifunguliwa taratibu.
Macho yangu yalimakinika na kutazama ugeni huo ambao sikuutarajia!..

Aliingia huku akiwa amevalia vilevile
Nguo ya kulaliailiyomfika magotini! Eve alinitazama kwa huruma nilipokuwa nimejilaza kitandani pale nikionyesha kutomjali na ugeni wake ktk chumba changu!.
"Hujalala bado..?"
Aliuliza huku akiingia chumbani na kuurejesha mlango.
Mimi ndo kwanza sikujali uwepo wake hata kujibu swali lake lenye majibu anayoyaona niliona tabu tupu.
Niligeuza macho yangu nakuangalia pembeni,eve alikuja kukaa kitandani nilipokuwa nimelala.. kilipita kimya kabla hajasema chochote ndipo.

"Jonas" aliniita eve kwa sauti ya huruma huku mara hii akiushika mkono wangu wakulia. Sikuitika wala sikugeuka bali niliendelea kuangalia pembeni ambapo macho yangu yalitua kwenye ukuta!.

"Niangalie jonas" aliongea eve huku akiambulia upinzani toka kwangu bila hata ya kumjibu chochote.

"Jonas najua sifanyi vyema kutokukueleza msingi wa haya yote" alitulia kwa tuo Kisha akaendelea.
"Nimeamua nikueleze ili nikate kiu yako!"
Alitulia tena.
Mara hii nikairuhusu shingo yangu imgeukie Kisha nikamtizama kwa tuo,nakuona kile ambacho sikukitarajia.
Eve alikuwa akitoa machozi yaliyomfika mpaka mashavuni pake,kwa ujasili alionao mwanamke huyu sikuwahi kufikiri kama angeweza kutoa chozi lake mbele yangu,sikuwahi kufikiri kuliona chozi lake.
Huruma iliniingia hata alipotaka kusema chochote nilimkatisha!

"Itakuwa vyema kama utaniambia kukikucha tukiwa sote watatu eve" nilinena hayo huku nikimshika mkono wake uliokuwa umemshikilia mkono wangu.
Alitulia kwa sekunde kadhaa na kuniangalia kisha..
"Ahsante jonas"

Maneno yake hayo yalienda sambamba na kumbatio lake nililolipokea huku nikiwa nimejilaza kitandani hapo!.
Tuliendelea kukumbatiana kwa muda hata kuanza kulihisi joto la mwili wake lililonijia mpaka katika viunga vya mwili wangu,nayo ngozi yake laini iliugusa mwili wangu nakuusisimua.
Eve alikuwa amenikaribia sana hata kuzihisi pumzi zake vilivyo,kifua changu nacho kilihamasika kwa mguso wa chuchu zake laini zilizokuwa zimeniegamia.. kwa mbali niliweza kuhisi hata mapigo yake ya moyo yakidunda "putu putu putu".
Punde hiyohiyo tulijikuta tukikutanisha midomo yetu nakuzama kwenye denda zito hata tusijielewe majinuni!. Mipapaso na miguso haikuwa mbali nasi kila mmoja alimpapasa mwenzake vile alivyohitaji..
Nilijikuta nikihamishia mashambulizi ya mabusu kwenye shingo ya eve nae aliyapokea vyema huku akiachia miguno hafifu iliyoambatana na maneno ya mahaba!, taratibu nilishuka mpaka kwenye chuchu zake zilizojazia haswa,pasipo hata kumvua ngua yake ya kulalia nililichomoa titi lake la kulia nakuanza kulichezea kwa kulamba chuchu yake kiumaridadi.. kitendo hicho kiliendana na mikono yangu ikiwa nyuma ya kiuno chake ikipapasa kwa ustadi maeneo yale yaliyotuna na pengine kubonyea na Kisha kutuna tena!.
Nilikipapasa kiuno chake huku muda mwengine nikikibonyeza taratibu.. mdomo wangu nao ulishughulikia titi zake laini huku muda mwengine nikifanya kama nikiuma chuchu zake kwa taratibu na kuibiaibia.. eve alizidi kunisogezea kifua chake huku akionyesha kutojiweza zaidi,pumzi zake Kuna muda hazikuwa tulivu mara zikate ama apumue kwa tuo!.
Hata miguu yake nayo haikutulia ilicheza kwa umahili mkubwa huku ikifinyana na miguu yangu,joto la mapaja yake lilitua mpaka kwenye mapaja yangu nayo sauti yake ya miguno ilinihamasisha nakujikuta nikianza kutoa kigauni chake chepesi chakulalia nakukirushia mbali huko!.

Ulibaki mwili wake mtupu ukiwa umenilalia juu yangu!,niliiona ngozi yake nzuri ikazidi kunipa hamasa la kutaka kujua ndani ya huyu binti kulijificha nini!,ndipo nilipotaka kuupenyeza mkono wake hadi kwenye hazina yake.. lakini sikubahatika kufanya hivyo bali aliniwahi kwa mkono wake nakunitazama kwa macho yake malegevu Kisha akaninong'oneza usiwe na haraka!.
Alijiinua toka kifuani kwangu nakubaki akiwa amenikalia kwenye kiuno changu.. alibaki akijipalaza katika kile alichokihisi kimetuna kwenye kiuna changu.. manjonjo yake yalianza kunipagawisha ndipo alipogundua hilo aliamua anivue kaushi yangu nakuitupilia mbali,Kisha ikafuata ile pensi nayo ikatupiliwa mbali.
Mikono yake ilikipapasa kifua changu huku kiuno chake kikiongeza mashambulizi pale kilipokalia jambia.. mateso hayo yalishindwa kuhimiliwa na bwana nyoka!..
Eve alimtoa pangoni nakuanza kucheza nae vile alivyotaka.. ufundi uliotukuka niliuona kwa binti huyu maridadi mipapaso ya mikono yake kwa nyoka wangu kulifanya nilegee hata macho yangu yakaanza kuangalia Kama vile hayaoni.

Niwakati huu eve alinirukia nakuamua kumkalia nyoka aliekuwa ametuna vilivyo,kwa kiuno chake alibiringika mara kulia ama kushoto Kuna muda alikuja juu nakushuka chini huku akigugumia kwa sauti laini iliyonitia hamasa ya mimi kuipitisha mikono yangu mpaka kwenye kiuno cha eve kilichokuwa hakitulii!.
Upo muda alinilalia na kukazana kulisakata kana kwamba alikuwa akicheza wimbo aina ya bolingo!.

Sote tulihema kwa pupa huku pumzi zetu zikichangamka zaidi,hakuwa yeye sikuwa mimi mapigo yetu ya moyo yalitembea kwa spidi kali
Hata tukijikuta tukikutana katika ungwe hii ya kwanza!.. nyoka wangu nae akiwa pangoni aliachia sumu yake huku nikiuhisi mwili wangu ukilandwa na cheche za utamu zilizofanya nitoe mguno usiolezeka!.

Tukiwa hivyohivyo tumetulia tulibaki tukiangaliana kwa tuo Kisha eve akatabasam na kusema "ahsante" nami nikaliachia tabasam huku nikizichezea nywele zake.
Zilifuata stori mbili tatu kisha tukatumbukia kwenye ungwe ya pili ambayo nayo tuliimaliza kwa mibinuko ya kila namna!.

***********

Kulipopambazuka nilishituka nakukuta kichwa cha eve kikiwa juu ya kifua changu!. Bado aliyafumba macho yake akionyesha kuzama kwenye lindi la usingizi!
Nilivuta pumzi ndefu nakuziachia kitanda nacho bado kilitubeba huku miili yetu ikiwa mitupu kama tulivyozaliwa. Niliitupia macho kuzunguka chumbani,nguo zetu zilitapakaa zikiwa zimetupwa huku na huko. Nilijikuta nikiangua tabasam tupu,shuka nazo zilijikunja na kujivuta huku zikiwa bayana kuelemewa na miili yetu mizito.
Nilipoyarudisha macho yangu nilikuta eve akiniangalia pia,sote tukajikuta tukiangua tabasam tena kisha eve akanishika pua yangu kwa kuibinya na kuiachia.

"Umeamkaje kipenzi..?" Nilimsabahi eve.
Kwa sauti ya usingizini na uchovu alinijibu "Kama wewe laaziz"
Nikaguna "mh!" Kisha "Mi nimeamka miguu chini kichwa juu!" Nilimtania huku nikimtizama
Akaangua kicheko hafifu Kisha akanena
"Nami nimeamka hivyohivyo!"
Nilitabasam na kuanza kuzichezea nywele zake huku tukipiga stori kadhaa kabla ya kuamka na kwenda kujitupa bafuni kukoga.

Tulikoga sote wawili huku tukichezeana na kurushiana maji ndipo eve akanisogelea nami nikamkumbatia huku tumesimama na bomba la maji likiyatiririsha maji.
"Sikuwahi kuwa katika furaha ya mapenzi Kama hivi!" Alinena eve huku akiniangalia kwa macho legevu kana kwamba binti wakitanga alietafuna kungwi siku nzima!.
Nilipotaka kusema kitu aliniziba mdomo kwa kutumia kidole chake kimoja akikisimamisha kwenye midomo yangu huku akinena "shhhhhh".
Alibaki akinitazama kisha kwa sauti ya upole na deko ndani yake akanena
"Nakupenda Jonas!"

Sikushangaa ujumbe huo kwani nililiona hilo tangu siku za awali nilipokutana na eve!.. mara hii tena nilipotaka kunena kitu alinizuia kisha akaongeza
"Leo sio siku yako ya kunena bali kusikiliza" aliyasema hayo huku akitabasam.. nami nikatabasam na kubetua mabega yangu na mikono Kama ishara ya kutokujua yajayo.
Eve alinituliza na busu zito tena kisha taratibu akashuka kwa kuchuchumaa mpaka chini ambako alimfikia nyoka alikuwa amekwishatuna nakuanza kucheza nae kwa midomo yake...
Yalifanyika ya kufanyika kisha tukaisafisha miili yetu nakuamua kuelekea sebuleni!.

Tulimkuta anitha akiwa ameshaandaa kifungua kinywa,ndo kwanza alikuwa akiitenga chupa ya chai huku akituangalia kwa bashasha na tabasam zito!.
Mi na eve tulibaki tukimshangaa anitha alieliangua tabasam zito kiasi kile, Kisha tukamsikia akinena
"Ama kweli wapiganao ndio wapatanao!"

Mi na eve tulijifanya kama hatukumsikia vizuri!. Anitha akaendelea lea "Natumai usiku wenu uliongozwa na malaika watamu!"
Tulijikuta tukicheka huku mara hiyo anitha alituacha mezani nakuelekea jikoni ambako alirudi na sahani mbili zikiwa na silesi za mikate pamoja na matunda.. alipokuwa akiziweka mezani alimgeukia eve na kumtizama huku akiwa mwingi wa tabasam akanena
"Shoga yangu nawe kelele ulizidi!!"

Nilishindwa kujizuia nakujikuta nikicheka huku macho yangu yakiwa kwa eve ambae mara hii tabasam lake liliingiwa na haya iliyomtanda baada ya maneno ya anitha!.
Kicheko changu kilimfanya eve anune kwamaringo fulani yakudeka.

Anitha aliniangalia kwa kuibia huku akinikonyeza nakurudi tena jikoni!.
Aliporudi tena akatupia utani mwengine huku akininena kwa kunikaribisha
"Shem karibu chakula" kisha akamtizama eve na kunena "shoga yangu karibu chakula!".

Sote tulijikuta tukiangua kicheko huku eve akiona haya zaidi..

**
Tulipomaliza kupata kifungua kinywa niliamua nijitulize kidogo runingani ndipo punde hiyohiyo nikasikia mtu akibisha hodi!..
Eve hakuwa sebuleni lakini nae aliisikia sauti ya mtu yule wakiume akibisha hodi,nilipotaka kunyanyuka eve alifika haraka na kunitupia jicho kali ambalo ilitosha kulielewa kuwa lilikuwa ni katazo la kuufikia mlango!.

Eve aliukaribia mlango kwa umakini nakushika funguo nakuizungusha katika kitasa cha mlango nacho kikaitika kisha akaufungua mlango taratibu!.. uwazi mdogo uliopatikana pasipo kusubiria mtu mgeni yule alirusha pigo zito la teke ambalo lilikwepa vyema na eve!.
Nilipomuona eve akiruka kwa kukwepa pigo lile nami niliinuka kwa pupa..
Eve alirudi nyuma nakumpa nafasi mtu yule kuingia ndani ndipo nami nikapata wasaa wakumuona vyema alivyokuwa amevalia.
Alionekana mtu mrefu mweusi,kichwani pake akivalia kepu nyeusi na mkoti mweusi huku ndani yake kukiwa na tisheti nyekundu iliyomkaa vilivyo.. aliipiga hatua yake moja mbele kumsogelea eve
Suruari yake ya jeans nyeusi iliambatana na raba za brown zilizokuwa zimemkaa vyema.

Mtu Yule alirusha pigo la teke ambalo lilikwepwa vyema na eve,yalifuata mapigo mengine ya mchanganyiko ambayo eve alijitahidi kutazuia lakini ngumi moja ya tumbo ilimpata eve nakumrudisha nyuma alikoparamia meza ya kulia ambapo alitawanya vyombo kadhaa nakuleta kelele zilizomshitua anitha nakuja moja kwa moja mpaka kwenye ukumbi wa sebule!.
Sikusubiri nami kwa kujihami nilimsogelea mtu yule huku nikiruka mateke ambayo niliambulia patupu kutokana na ukwepaji wa mtu yule!.
Nilipojipanga tena ilikuwa zamu yangu kukwepa mapigo ya mtu yule ambae alizileta ngumi zake nzitonzito zilizoishia kwenye mikono yangu nakushindwa kufikia lengo.. punde hiyohiyo eve alinivuta kwa nyuma nakuachia pigo la teke lililompata mtu yule tumboni hata kuanguka chini!.
Nami hapohapo nilimvagaa japo bahati haikuwa upande wangu baada ya kurudishwa na teke zito lililonikosakosa sehemu zangu za siri nakutulia chini kidogo ya tumbo langu!.
Alisimama mtu yule huku eve akiwa tayari amenitangulia mbele yangu kumkabili mtu yule.

Eve mara hii alitupia mapigo mengine ya haraka haraka ambayo yalimzidia mtu Yule nakujikuta akikutana na makonde mazito ya uso na tumbo hata kupelekea kapelo yake ikianguka chini.. alipepesuka mara ya kwanza akakutana na pigo la round kick lililompeleka ukutani kabla ya kuisalimia sakafu!.
Eve alitua huku adui nae akitua chini baada ya kipigo kile.

Kwa haraka mtu yule alinyanyuka huku akikichomoa kisu chake kiunoni,kisu chake kilichoshiba kilionyesha kuwa na makali kote kuwili!.. nilipotaka kwenda kumvagaa mtu yule eve alinizuia na punde hiyohiyo mtu Yule akaona hiyo ndio ilikuwa nafasi pekee kukileta kisu chake katika mwili wa eve.
Lakini eve alijibetua nakukikwepa kwa Kisha akamvagaa mtu Yule kwa pigo la goti lililotua kwenye kifua cha mtu yule alieangua mguno wa maumivu.. katika punde hiyohiyo tulishangaa kusikia mlio wa kitu kama mbao ikigonga katika mwili wa mtu
"Puuu"

Tuligeuka nakumuona anitha akiwa ameshikilia kipande cha mbao ambacho kilitua juu ya kichwa cha mtu yule nakufanya azirahi pale chini
"Kazi nzuri"alinena eve huku akimtizama anitha chini!



.. mihemo hafifu ilitawala huku eve akikiondoa kisu cha mtu yule pale sakafuni na kwenda kuufunga mlango kwa haraka!.

Eve aliingia chumbani kwake nakutoka na kamba ngumu alizomfunga yule mtu mikononi na miguuni.. wakati akifanya hivyo eve aliitupa maelekezo kuwa huyu ni mmoja ya wapelelezi wa adui zetu,hivyo tujiandae kutoka hili eneo haraka iwezekanavyo.

Niliingia chumbani nakuvalia vilivyo suruari ya jeans,tisheti nyeupe pamoja na buti nyeusi. Anitha nae alivalia vyema sambamba na eve alievalia suruari ya kubana yenye rangi ya kaki pamoja na tisheti kubwa lililomkaa vyema.. tulitoka kwa haraka huku tukimbeba mtu Yule alietuvamia ambae bado alikuwa amepoteza fahamu nakumtipia nyuma ya buti Kisha eve akakalia usukani nakuanza kuiramba rami.

Gari liliendeshwa kwa spidi huku baada ya kupata upenyo wa barabara iliyokuwa haina magari mengi.. tulichukua takribani dakika tano ndipo tukafikia makutano mengine ya barabara ambapo napo kulikuwa na msangamano wa magari.. tukiwa tumesimama tukingoja magari ya mbele yetu yaanze kusonga mbele ndipo pasipo kutaraji lilitokea gari moja aina ya Noah lililokuja spidi nakuigonga gari yetu kwa pembeni.....


Tutaendelea kesho wakuu..
 
Ishakuwa hadithi sasa itaisha tu mkuu badobado..[emoji23]
Mkuu mbona hurudi? Ila niwe mkweli japo kila mtu na haki ya kuchagua ideology apendayo ila sikujua kama uko team ya yule mtesaji, anyway tuendelee japo nimeumia sana.
 
Mkuu mbona hurudi? Ila niwe mkweli japo kila mtu na haki ya kuchagua ideology apendayo ila sikujua kama uko team ya yule mtesaji, anyway tuendelee japo nimeumia sana.
Mkuu leo muda ulikaba sana nikabahatika kuandika robo tu kesho nitaandika kwamarefu na mapana siwezi watupa!.

Mtesaji nani huyo..😂
 
Maji yabaridi yalinigutua nakunirudisha katika ufahamu!.
Ndo kwanza nikazirudia fahamu zangu huku nikifumbua macho yangu kwa tabu!.

Kwa mbele ilionekana taswira ya mtu mwanaume alishikilia ndoo ndogo mikononi pake kisha nikasikia tena
"Ongeza"
Punde ikaletwa ndoo nyengine ndogo ikiwa na maji tele!.

"Waaaaa"
Nilimwagiwa maji mengine na yote yakaishia kwenye mwili wangu!.
Ndo kwanza nikatahamaki kuwa mikono yangu ilikuwa imefungwa kwa kamba ngumu iliyotokea juu,miguu yangu pia ilikuwa imefungwa kiasi cha kusikia maumivi!.

Matone ya maji yaliendelea kunidondoka toka katika mwili wangu,nguo zangu nazo zililowa chepechepe!.
Twasira ya mtu yule aliekuwa ananimwagia maji alinisogelea na kunikaribia kisha akanitazama kwa tuo Kama akinidadisi ndipo akainua mkono wake wakushoto uliokiwa umeshikilia chupa ndogo ya pombe ambayo sikuweza kuitambua jina,isipokuwa kimiminika chake kilikuwa kama maji mepesi!.
Aligida nakushusha mkono na kuendelea kunitazama.

"Yaonyesha mtu huyu si mwenyeji katika hizi kazi"
Aliongea mtu huyu huku akiwageukia watu watatu waliokuwa wamesimama nyuma yake.
Aliniacha nakwenda kujiunga na watu wale watatu kisha wakafungua mlango nakutokomea nje.

Harufu nzito zilinifikia katika pua zangu!,kwa mara ya kwanza sikuweza kugundua kuwa ilikuwa ni harufu yanini lakini kadri muda ulivyozidi kwenda niligundua ilikuwa ni harufu ya mafuta ya mashine maarufu kama oil.
Niliyazungusha macho yangu huku na huko nakuambulia kiza hafifu.. kwa pembeni Kama hatua tano hivi niliona machuma mazito ya magari yakitapakaa pasipo mpangilio!.
Upande wapili napo niliona pipa kubwa jeusi likiwa limesimamishwa,huku chini yake kukiwa na makorokoro ya chuma ambayo sikuyaelewa kazi yake..

Niligundua nilikuwa nimetekwa nakuletwa kwenye chumba hichi kikubwa kilichoonekana kama sehemu ya matengenezo ya magari (garage).
Si eve wala Anitha wote hawakuwa nami!.. kwenye chumba hichi nilijikuta peke yangu nisijue hata nilifikaje.. kumbukumbu zangu zilinijia nakukumbuka mara ya mwisho nilikuwa kwenye gari mimi,eve,anitha na yule mtu tuliemuweka nyuma ya buti.. Kisha mshindo mzito ulisikika wa gari letu kugongwa baada ya hapo sikukumbuka chochote zaidi ya kujikuta kwenye chumba hiki chenye makorokoro!.

Maswali lukuki yakaivaa akili yangu..
"Eve na anitha wako wapi..?"
"Ama walikufa kwenye ajali..?"
"Na hawa walionishika ni wakina nani..?"

Hakuna swali hata moja nililotoka na majibu yake!. Nani angenijibu katika chumba hichi kilichotulia na chenye makorokoro ya chuma kila mahali!.
Niliinua kichwa changu nakuitazama kamba ile iliyoifunga mikono yangu kwa kuikutanisha!,juu zaidi niliona dari la mabati likinizodoa kwa kutoa joto kutokana na mwanga wa jua huko nje!.

Maumivu ya kamba katika mikono na miguu yangu nayo ilizidi kunifukuta,kiu nacho kilikuwa bayana katika koo langu.
Nilizoea kulisema neno "mateso" mdomoni mwangu lakini mara hii nilikuwa nikiliishi vilivyo!,hata zile filamu za utekaji nilizoziona runingani leo hii mimi ndo nilikuwa nikiyaishi mateso hayo!.
Kuna muda nilitamani iwe ni ndoto lakini haikuwa.. hata kazi yangu ya dereva taksi niliyoiona haifai leo hii niliiona heri yenyewe kuliko Mambo haya nayopitia huku nisijue chanzo chake!.
Kutokana na maumivu nikaamua kujivuta na kusimama japo miguu na mikono iliongeza maumivu zaidi, dakika mbili tu za kusimama zilitosha nijisikie ahueni lakini katika wakati huohuo mlango ulifunguliwa nakusababisha macho yangu kulakiwa na mwanga ulioniumiza macho!..

Nilianza kuona vivuli vyao vikiwa tayari vimenifikia,Kisha taswira za watu zikajengeka mbele yangu na hatimae watu wale niliwaona vilivyo.
Mara hii hawakuwa wanne tena bali aliongezeka mmoja ambae alikuwa ni yule mzungu mwenye pua ndefu!.
Walinisogelea nakunizunguka huku yule mzungu akiwa mbele yangu akiniangalia pasipo kusema chochote isipokuwa aliendelea kuvuta sigara yake kubwa huku akinitazama!.

Alinisogelea zaidi kisha akanipulizia moshi wake wa sigara ulionifanya nikohoe.. aliniendelea kunitazama huku akinizunguka,punde akamshika begani yule mtu wa awali aliekuwa akinimwagia maji!.
Sikujua haraka ishara ile ilikuwa na maana gani lakini punde hiyohiyo mtu Yule alinisogelea mbele yangu nakuanza kukita ngumi zake kwenye tumbo langu!.

Ngumi yake ya kwanza ilitua upande wakulia wa tumbo langu, yapili nayo haikuchelewa ikatua katikati ya tumbo langu huku ngumi yake yatatu ikitua upande wakushoto wa tumbo langu!.. ngumi zake zilinipepesua nakufanya nigugumie kwa maumivu huku nikitoe ukelele!.
Alitulia nakulirudia zoezi lake kwa mara nyengine!,mapigo yake kadhaa katika mwili wangu yaliirudisha miguu yangu nakupiga magoti huku maumivi nayo yakinikabili vilivyo!.

Nilitulia kwa sekunde kadhaa kisha sauti ya mtu yule ikakita katika maskio yangu!.
"Usiposema fedha zetu zipo wapi yatakuja mafuriko ya ngumi zaidi!"

Akili yangu ndo kwanza ilikumbwa na taharuki kutokana na taarifa hiyo niliyoisikia!.. nilijiuliza "fedha zipi mimi Jonas kileo nimezichukua??"
Nikiwa katika tafakuri hiyo ghafla nilipokea pigo la teke lililokita katika kifua changu nakufanya nirudi nyuma huku nikizuiwa na kamba za mikononi!..
Nikiwa katika maumivu bado ndipo nikahisi mtu mwengine nyuma yangu akininyanyua nakuniweka sawa tayari kwa mtu yule mbele yangu aendelee kutoa mapigo!.
Hakuchelewa,ngumi zake tena ziliulaki mwili wangu kwa fujo huku zikiwa hazichagui mahala pakutua!..
Mfululiza wa mapigo yake uliendelea mpaka nilipomsikia mzungu Yule akisema

"Tosha"

Alitulia mtu yule kwa kutii amri,hata aliekuwa nyuma yangu nae akaniachia nikitapatapa kwa maumivu ya kipigo!. Nikiwa bado natapatapa mzungu na sigara yake alinisogelea na kwazarau akanipulizia moshi wake mfululizo!.

"Sina pesa zenu na wala sijui chochote kuhusu fedha hizo!"
Nilijibu kwa uchungu huku nikimuangalia mzungu yule kwa tabu!

Alicheka kidogo na kunitazama kwa dharau kisha akaongea kwa kubahatisha maneno!.
"Wapi mke zako..?"

Nilijua swali aliwaulizia eve na anitha lakini sikujua aliniuniliza kwasababu gani!,kwani alifahamu fika kuwa sikujua walikuwa wapi!.

"Sifahamu" nilijibu huku nikikohoa na kuhema kidogo!
Kwa mara nyengine mzungu yule akanipulizia moshi wake huku akicheka kwa kebehi na kunyanyuka akirudi nyuma kwenda mbali nami!.
Kikohozi kidogo kikanitoka tena kutokana na moshi ule ulionivagaa kwa pupa!.

"Hufahamu walipo..? Usiposema fedha zetu ziko wapi utaenda kuzungumza nao kwa mwili wa roho!"
Aliendelea mzungu yule huku maneno yake yakinijaza taharuki!.

Nilimtizama kwa umakini sura yake ilionyesha dhamira ya kile alichokisema!
Simanzi ikanijaa huku tafakuri zikinitawala juu ya eve na anitha ambao wakati huu hawakuwa karibu nami,nikagutuliwa tena kwa konde la shavu huku nikipewa maneno ya vitisho na mtu yule mtesaji..
Punde waliondoka nakufunga mlango.

******

THE BITE

Harakati nje ya jengo hili ziliendelea huku kila mmoja akionekana kuwa na shauku kwa kile ambacho muda mfupi kingetokea,suti zilizonyooshwa ipasavyo ziliisitiri miili ya watu hawa mashuhuri huku wengine wakijazwa na vitambi vyastarehe!.
Vinywaji mezani vilisheheni na kila alikamatilia kile kilichomfaa,mziki nao haukukosa uliendelea kutumbuiza huku kukiwa na wadada walioumbika vilivyo wakinengua kufuata mapigo ya mziki ule.

Mambo yote haya yalifanyika katika uwanja wa nje wa jengo hili lililopakana na majengo mengine machache yaliyokuwa pembezoni!.

Walionekana pale huku mshehereshaji wa sherehe akishika kipaza sauti nakuanza kutangaza watu wajiandae kwaaji ya kumpokea mkurugenzi wa kampuni hii ya THE BITE.
Kampuni hii ilijihusisha nakutengeneza vitafunwa mbalimbali vya mkate lakini leo hii walikusanyika hapa ili kuzindua kitu chengine ambacho kingeleta tija na kuongeza wigo wa kampuni kibiashara.. hawakutaka tena kujihusisha pekee na vitafunwa bali pia wigo wao mara hii ulijipanua katika vinywaji!.
Hawakuishia hapo katika tafrija hii walidhamiria pia kulibadirisha jina la kampuni ambapo mara hii wangejiita IDOLA COMPANY.

Makofi na vifijo vilishamiri pale mkurugenzi wa kampuni hii aliposogea katika viwanja hivi huku akiwa amevalia suti nyeusi na moka zilizomkaa kisawasawa.. umri wake ulikuwa katikati akiwa kama akielekea katika uzee na kuanza kuuvua ujana,ndevu zake kidevuni alizichonga vyema huku akiliachia tabasam la mafanikio alipokuwa akisalimiana na wageni waalikwa kabla ya kuendea kiti chake alichoandaliwa kama mkurugenzi wa kampuni hii.

Aliketi kisha mshehereshaji akaendelea na ratiba nyengine kama zilivyopangwa.

Jengo hili lilielekeana na moja kati ya jengo la ghorofa tatu ambalo lilikuwa bado katika ujenzi,majengo haya mawili yalitenganishwa na barabara ya rami iliyokuwa ikikatisha.. na humu ndimo alikuwepo mgeni mwengine ambae yeye hakupenda kwenda kujionyesha ktk tafrija hii!..
Kwa hadubini yake aliweza kuchungulia nakufatila matukio yote yaliyoendelea kwenye tafrija hii..
Alipomuona mzee huyu akiwasili katika viwanja hivi alijikuta akilitaja jina lake

"Godwin masimba!"

Aliendelea kutazama kwa hadubini yake huku akiwa kama akisubiri kitu.


"Bila kupoteza muda ningependa tumkaribishe mkurugenzi wetu ili aseme machache kisha akatuzindulie kampuni yetu,mheshimiwa Godwin karibu"
Maneno hayo yalisemwa na mshehereshaji huku akiwa mwenye bashasha. Punde tu aliposema maneno hayo makofi yalipigwa kwa wingi yakimkaribisha Godwin.

Kwa tabasam la tashtiti Godwin aliikaribia steji nakushika kipaza sauti,kabla ya kusema chochote aliirekebisha sauti yake Kisha akaanza kuushukuru umma ule wa watu uliojitokeza katika tafrija ile!..

"Sema baba sema baba!" Ilisikika sauti moja ikimhamasisha godwin aseme yale ambayo walitaka kuyasikia. Vicheko hafifu viliwatoka watu nae Mr Godwin aliendelea.

Ulikuwa ni wakati kama huu ambao mtu huyu aliusubiria,mgeni huyu aliejialika pasipo kualikwa aliiweka hadubini yake pembeni na kisha kuchukua bunduki kubwa ya kudungua iliyokuwa pembeni yake!.
Akiwa amelala chini katika floor hii ya tatu ya jengo hili,mtu huyu alilitupa jicho lake mpaka katika lenzi ya bunduki hii.. kitu chakwanza kukiona ilikuwa ni jina la THE BITE ambalo liliandikwa mbele ya jengo hili kulipofanyika tafrija!.

Taratibu aliihamisha uelekeo wa bunduki yake mpaka alipolifikia steji nakumuona yule aliemuhitaji..
Bwana Godwin bado aliendelea kutamba katika steji hii huku akionekana kuwa mtulivu na mwenye bashasha zaidi.

Kipimo cha lenzi kiliwekwa vyema Kisha mdunguaji huyu aliivuta pumzi ndefu nakuitoa huku bado akiendelea kumuangalia bwana huyu akinena katika steji hii,makofi machache yalipigwa Kisha Godwin akaendelea tena..

"Hivyo kamati ya kurugenzi yetu ikaamua itafute jina jipya na hata kuongeza wigo wa biashara yetu" alitulia nakuvuta pumzi kidogo..

Mtu huyu aliendelea kumtizama Mr Godwin kupitia lenzi ya bunduki yake,huku midomo yake ikichezacheza kwa kutafuna jojo!.

Alilala pale huku umakini wake wote akiuhamishia alipo mtu aliemwekea tageti,kwa Mara ya pili tena alizivuta pumzi zake na kutulia pasipo kuzishusha ndio hapohapo kidole chake kilichokuwa kimeshikilia tufe la bunduki hii kiliibonyeza pasipo kusita!.

Ulitokea mwanga hafifu kama cheche ndipo punde hiyohiyo bwana Godwin alijikuta akisukumwa nakitu asichokijua kilitokea wapi!.. Kama furushi la mzigo alitupwa nyuma ya steji huku damu chache zikipaa nakutua chini,mike ilitupwa kwele hata spika nazo zikakita kwa mike ile kudondoka..
Kelele zilisikika huku watu wakitawanyika wasijue chakufanya! Vitu vyote vilivyokuwa vimewekwa kwa mpangilio vilitupwa hovyo.

Aliendelea kutazama lenzi yake nakuona kile kilichojili eneo lile!,mwili wa Godwin ulikuwa chini huku ukiwa bado umevalia nadhifu lakini katika sekunde hizi chache damu ilikuwa ikimtiririka na kutapakaa hata katika steji.

Kwa haraka mtu huyu baada yakuona kazi yake ilikwenda sawia alishuka katika jengo hili nakutokomea pasipo julikana!.

******

Maumivu ya kipigo yaliendelea kuukumbatia mwili wangu!.. njaa na kiu navyo vilikuwa mlangoni kwangu vikiniadhibu!.
Mikono yangu ilichoka kifungo hichi kisichokuwa na majibu ya ukomo wake,miguu yangu nayo iliendelea kuuma huku ikikosa ganzi!.

Mlango ulifunguliwa ndipo nilipogundua giza lilikuwa limeshatawala!,tochi yenye mwanga mkali ilitua usoni kwangu nakusababisha macho yangu kuugulia maumivu.
Nilisikia hatua zikinisogelea huku bado mwanga wa tochi ukiendelea kunimulika!..
Kwa tabu niliyafumbua macho yangu nakukutanisha sura yangu na Yule mtesaji aliekuwa akinirushia ngumi mchana!..
Akiniangalia huku akicheka pasipo kutoa sauti kisha..

"Bado hujui fedha zetu zilipo..?" Aliniuliza kwa dharau kisha akatulia kwa sekunde chache nakuendelea
"Si useme tu tukuachie ukaendelee na maisha yako kuliko kupitia haya mateso!"
Niliinua kichwa changu nakumuangalia tena usoni pake!,nilipokelewa na macho yake makundu ambayo hayakuonekana kuwa na huruma!.
Alinyanyuka nakumulika pande nyengine mwa chumba hiki!.

"Nafikiri mimi sio mtu sahihi!,Sina fedha zenu na wala sijui mnachokizungumza" nilisema kwa tabu.

Kicheko kikubwa kikamtoka huku akiurudisha mwanga wa tochi yake kunimulika!.. baada ya kicheko chake hakuzungumza kitu bali tochi niliiona ikianguka chini na hapohapo alinivagaa nakuanza kunitia ngumi mfululizo!.
Yale maumivu yaliyoanza kutulia yaliamshwa tena!
Kipigo cha mara hii kilichanganywa mateke na ngumi pasipo kutulia huku nikitweta kwa maumivu!.
Hakika cha mtema kuni nilikiona hata damu nayo ikaanza kunibubujika mdomoni!.

Alitulia nakuniangalia nilivyozamia katika lindi la maumivu huku nikipiga kelele ambazo hazikuwa na msaada!.
Punde akaingia mtu mwengine nakumpa taarifa mtesaji wangu!.

"Gari tayari" alisema mtu yule huku akiondoka!
"Okay nakuja" alijibu mtesaji wangu huku akitoa shingo yake kwa mgeni Yule nakunigeuzia mimi!.



Coming back...
 
Maji yabaridi yalinigutua nakunirudisha katika ufahamu!.
Ndo kwanza nikazirudia fahamu zangu huku nikifumbua macho yangu kwa tabu!.

Kwa mbele ilionekana taswira ya mtu mwanaume alishikilia ndoo ndogo mikononi pake kisha nikasikia tena
"Ongeza"
Punde ikaletwa ndoo nyengine ndogo ikiwa na maji tele!.

"Waaaaa"
Nilimwagiwa maji mengine na yote yakaishia kwenye mwili wangu!.
Ndo kwanza nikatahamaki kuwa mikono yangu ilikuwa imefungwa kwa kamba ngumu iliyotokea juu,miguu yangu pia ilikuwa imefungwa kiasi cha kusikia maumivi!.

Matone ya maji yaliendelea kunidondoka toka katika mwili wangu,nguo zangu nazo zililowa chepechepe!.
Twasira ya mtu yule aliekuwa ananimwagia maji alinisogelea na kunikaribia kisha akanitazama kwa tuo Kama akinidadisi ndipo akainua mkono wake wakushoto uliokiwa umeshikilia chupa ndogo ya pombe ambayo sikuweza kuitambua jina,isipokuwa kimiminika chake kilikuwa kama maji mepesi!.
Aligida nakushusha mkono na kuendelea kunitazama.

"Yaonyesha mtu huyu si mwenyeji katika hizi kazi"
Aliongea mtu huyu huku akiwageukia watu watatu waliokuwa wamesimama nyuma yake.
Aliniacha nakwenda kujiunga na watu wale watatu kisha wakafungua mlango nakutokomea nje.

Harufu nzito zilinifikia katika pua zangu!,kwa mara ya kwanza sikuweza kugundua kuwa ilikuwa ni harufu yanini lakini kadri muda ulivyozidi kwenda niligundua ilikuwa ni harufu ya mafuta ya mashine maarufu kama oil.
Niliyazungusha macho yangu huku na huko nakuambulia kiza hafifu.. kwa pembeni Kama hatua tano hivi niliona machuma mazito ya magari yakitapakaa pasipo mpangilio!.
Upande wapili napo niliona pipa kubwa jeusi likiwa limesimamishwa,huku chini yake kukiwa na makorokoro ya chuma ambayo sikuyaelewa kazi yake..

Niligundua nilikuwa nimetekwa nakuletwa kwenye chumba hichi kikubwa kilichoonekana kama sehemu ya matengenezo ya magari (garage).
Si eve wala Anitha wote hawakuwa nami!.. kwenye chumba hichi nilijikuta peke yangu nisijue hata nilifikaje.. kumbukumbu zangu zilinijia nakukumbuka mara ya mwisho nilikuwa kwenye gari mimi,eve,anitha na yule mtu tuliemuweka nyuma ya buti.. Kisha mshindo mzito ulisikika wa gari letu kugongwa baada ya hapo sikukumbuka chochote zaidi ya kujikuta kwenye chumba hiki chenye makorokoro!.

Maswali lukuki yakaivaa akili yangu..
"Eve na anitha wako wapi..?"
"Ama walikufa kwenye ajali..?"
"Na hawa walionishika ni wakina nani..?"

Hakuna swali hata moja nililotoka na majibu yake!. Nani angenijibu katika chumba hichi kilichotulia na chenye makorokoro ya chuma kila mahali!.
Niliinua kichwa changu nakuitazama kamba ile iliyoifunga mikono yangu kwa kuikutanisha!,juu zaidi niliona dari la mabati likinizodoa kwa kutoa joto kutokana na mwanga wa jua huko nje!.

Maumivu ya kamba katika mikono na miguu yangu nayo ilizidi kunifukuta,kiu nacho kilikuwa bayana katika koo langu.
Nilizoea kulisema neno "mateso" mdomoni mwangu lakini mara hii nilikuwa nikiliishi vilivyo!,hata zile filamu za utekaji nilizoziona runingani leo hii mimi ndo nilikuwa nikiyaishi mateso hayo!.
Kuna muda nilitamani iwe ni ndoto lakini haikuwa.. hata kazi yangu ya dereva taksi niliyoiona haifai leo hii niliiona heri yenyewe kuliko Mambo haya nayopitia huku nisijue chanzo chake!.
Kutokana na maumivu nikaamua kujivuta na kusimama japo miguu na mikono iliongeza maumivu zaidi, dakika mbili tu za kusimama zilitosha nijisikie ahueni lakini katika wakati huohuo mlango ulifunguliwa nakusababisha macho yangu kulakiwa na mwanga ulioniumiza macho!..

Nilianza kuona vivuli vyao vikiwa tayari vimenifikia,Kisha taswira za watu zikajengeka mbele yangu na hatimae watu wale niliwaona vilivyo.
Mara hii hawakuwa wanne tena bali aliongezeka mmoja ambae alikuwa ni yule mzungu mwenye pua ndefu!.
Walinisogelea nakunizunguka huku yule mzungu akiwa mbele yangu akiniangalia pasipo kusema chochote isipokuwa aliendelea kuvuta sigara yake kubwa huku akinitazama!.

Alinisogelea zaidi kisha akanipulizia moshi wake wa sigara ulionifanya nikohoe.. aliniendelea kunitazama huku akinizunguka,punde akamshika begani yule mtu wa awali aliekuwa akinimwagia maji!.
Sikujua haraka ishara ile ilikuwa na maana gani lakini punde hiyohiyo mtu Yule alinisogelea mbele yangu nakuanza kukita ngumi zake kwenye tumbo langu!.

Ngumi yake ya kwanza ilitua upande wakulia wa tumbo langu, yapili nayo haikuchelewa ikatua katikati ya tumbo langu huku ngumi yake yatatu ikitua upande wakushoto wa tumbo langu!.. ngumi zake zilinipepesua nakufanya nigugumie kwa maumivu huku nikitoe ukelele!.
Alitulia nakulirudia zoezi lake kwa mara nyengine!,mapigo yake kadhaa katika mwili wangu yaliirudisha miguu yangu nakupiga magoti huku maumivi nayo yakinikabili vilivyo!.

Nilitulia kwa sekunde kadhaa kisha sauti ya mtu yule ikakita katika maskio yangu!.
"Usiposema fedha zetu zipo wapi yatakuja mafuriko ya ngumi zaidi!"

Akili yangu ndo kwanza ilikumbwa na taharuki kutokana na taarifa hiyo niliyoisikia!.. nilijiuliza "fedha zipi mimi Jonas kileo nimezichukua??"
Nikiwa katika tafakuri hiyo ghafla nilipokea pigo la teke lililokita katika kifua changu nakufanya nirudi nyuma huku nikizuiwa na kamba za mikononi!..
Nikiwa katika maumivu bado ndipo nikahisi mtu mwengine nyuma yangu akininyanyua nakuniweka sawa tayari kwa mtu yule mbele yangu aendelee kutoa mapigo!.
Hakuchelewa,ngumi zake tena ziliulaki mwili wangu kwa fujo huku zikiwa hazichagui mahala pakutua!..
Mfululiza wa mapigo yake uliendelea mpaka nilipomsikia mzungu Yule akisema

"Tosha"

Alitulia mtu yule kwa kutii amri,hata aliekuwa nyuma yangu nae akaniachia nikitapatapa kwa maumivu ya kipigo!. Nikiwa bado natapatapa mzungu na sigara yake alinisogelea na kwazarau akanipulizia moshi wake mfululizo!.

"Sina pesa zenu na wala sijui chochote kuhusu fedha hizo!"
Nilijibu kwa uchungu huku nikimuangalia mzungu yule kwa tabu!

Alicheka kidogo na kunitazama kwa dharau kisha akaongea kwa kubahatisha maneno!.
"Wapi mke zako..?"

Nilijua swali aliwaulizia eve na anitha lakini sikujua aliniuniliza kwasababu gani!,kwani alifahamu fika kuwa sikujua walikuwa wapi!.

"Sifahamu" nilijibu huku nikikohoa na kuhema kidogo!
Kwa mara nyengine mzungu yule akanipulizia moshi wake huku akicheka kwa kebehi na kunyanyuka akirudi nyuma kwenda mbali nami!.
Kikohozi kidogo kikanitoka tena kutokana na moshi ule ulionivagaa kwa pupa!.

"Hufahamu walipo..? Usiposema fedha zetu ziko wapi utaenda kuzungumza nao kwa mwili wa roho!"
Aliendelea mzungu yule huku maneno yake yakinijaza taharuki!.

Nilimtizama kwa umakini sura yake ilionyesha dhamira ya kile alichokisema!
Simanzi ikanijaa huku tafakuri zikinitawala juu ya eve na anitha ambao wakati huu hawakuwa karibu nami,nikagutuliwa tena kwa konde la shavu huku nikipewa maneno ya vitisho na mtu yule mtesaji..
Punde waliondoka nakufunga mlango.

******

THE BITE

Harakati nje ya jengo hili ziliendelea huku kila mmoja akionekana kuwa na shauku kwa kile ambacho muda mfupi kingetokea,suti zilizonyooshwa ipasavyo ziliisitiri miili ya watu hawa mashuhuri huku wengine wakijazwa na vitambi vyastarehe!.
Vinywaji mezani vilisheheni na kila alikamatilia kile kilichomfaa,mziki nao haukukosa uliendelea kutumbuiza huku kukiwa na wadada walioumbika vilivyo wakinengua kufuata mapigo ya mziki ule.

Mambo yote haya yalifanyika katika uwanja wa nje wa jengo hili lililopakana na majengo mengine machache yaliyokuwa pembezoni!.

Walionekana pale huku mshehereshaji wa sherehe akishika kipaza sauti nakuanza kutangaza watu wajiandae kwaaji ya kumpokea mkurugenzi wa kampuni hii ya THE BITE.
Kampuni hii ilijihusisha nakutengeneza vitafunwa mbalimbali vya mkate lakini leo hii walikusanyika hapa ili kuzindua kitu chengine ambacho kingeleta tija na kuongeza wigo wa kampuni kibiashara.. hawakutaka tena kujihusisha pekee na vitafunwa bali pia wigo wao mara hii ulijipanua katika vinywaji!.
Hawakuishia hapo katika tafrija hii walidhamiria pia kulibadirisha jina la kampuni ambapo mara hii wangejiita IDOLA COMPANY.

Makofi na vifijo vilishamiri pale mkurugenzi wa kampuni hii aliposogea katika viwanja hivi huku akiwa amevalia suti nyeusi na moka zilizomkaa kisawasawa.. umri wake ulikuwa katikati akiwa kama akielekea katika uzee na kuanza kuuvua ujana,ndevu zake kidevuni alizichonga vyema huku akiliachia tabasam la mafanikio alipokuwa akisalimiana na wageni waalikwa kabla ya kuendea kiti chake alichoandaliwa kama mkurugenzi wa kampuni hii.

Aliketi kisha mshehereshaji akaendelea na ratiba nyengine kama zilivyopangwa.

Jengo hili lilielekeana na moja kati ya jengo la ghorofa tatu ambalo lilikuwa bado katika ujenzi,majengo haya mawili yalitenganishwa na barabara ya rami iliyokuwa ikikatisha.. na humu ndimo alikuwepo mgeni mwengine ambae yeye hakupenda kwenda kujionyesha ktk tafrija hii!..
Kwa hadubini yake aliweza kuchungulia nakufatila matukio yote yaliyoendelea kwenye tafrija hii..
Alipomuona mzee huyu akiwasili katika viwanja hivi alijikuta akilitaja jina lake

"Godwin masimba!"

Aliendelea kutazama kwa hadubini yake huku akiwa kama akisubiri kitu.


"Bila kupoteza muda ningependa tumkaribishe mkurugenzi wetu ili aseme machache kisha akatuzindulie kampuni yetu,mheshimiwa Godwin karibu"
Maneno hayo yalisemwa na mshehereshaji huku akiwa mwenye bashasha. Punde tu aliposema maneno hayo makofi yalipigwa kwa wingi yakimkaribisha Godwin.

Kwa tabasam la tashtiti Godwin aliikaribia steji nakushika kipaza sauti,kabla ya kusema chochote aliirekebisha sauti yake Kisha akaanza kuushukuru umma ule wa watu uliojitokeza katika tafrija ile!..

"Sema baba sema baba!" Ilisikika sauti moja ikimhamasisha godwin aseme yale ambayo walitaka kuyasikia. Vicheko hafifu viliwatoka watu nae Mr Godwin aliendelea.

Ulikuwa ni wakati kama huu ambao mtu huyu aliusubiria,mgeni huyu aliejialika pasipo kualikwa aliiweka hadubini yake pembeni na kisha kuchukua bunduki kubwa ya kudungua iliyokuwa pembeni yake!.
Akiwa amelala chini katika floor hii ya tatu ya jengo hili,mtu huyu alilitupa jicho lake mpaka katika lenzi ya bunduki hii.. kitu chakwanza kukiona ilikuwa ni jina la THE BITE ambalo liliandikwa mbele ya jengo hili kulipofanyika tafrija!.

Taratibu aliihamisha uelekeo wa bunduki yake mpaka alipolifikia steji nakumuona yule aliemuhitaji..
Bwana Godwin bado aliendelea kutamba katika steji hii huku akionekana kuwa mtulivu na mwenye bashasha zaidi.

Kipimo cha lenzi kiliwekwa vyema Kisha mdunguaji huyu aliivuta pumzi ndefu nakuitoa huku bado akiendelea kumuangalia bwana huyu akinena katika steji hii,makofi machache yalipigwa Kisha Godwin akaendelea tena..

"Hivyo kamati ya kurugenzi yetu ikaamua itafute jina jipya na hata kuongeza wigo wa biashara yetu" alitulia nakuvuta pumzi kidogo..

Mtu huyu aliendelea kumtizama Mr Godwin kupitia lenzi ya bunduki yake,huku midomo yake ikichezacheza kwa kutafuna jojo!.

Alilala pale huku umakini wake wote akiuhamishia alipo mtu aliemwekea tageti,kwa Mara ya pili tena alizivuta pumzi zake na kutulia pasipo kuzishusha ndio hapohapo kidole chake kilichokuwa kimeshikilia tufe la bunduki hii kiliibonyeza pasipo kusita!.

Ulitokea mwanga hafifu kama cheche ndipo punde hiyohiyo bwana Godwin alijikuta akisukumwa nakitu asichokijua kilitokea wapi!.. Kama furushi la mzigo alitupwa nyuma ya steji huku damu chache zikipaa nakutua chini,mike ilitupwa kwele hata spika nazo zikakita kwa mike ile kudondoka..
Kelele zilisikika huku watu wakitawanyika wasijue chakufanya! Vitu vyote vilivyokuwa vimewekwa kwa mpangilio vilitupwa hovyo.

Aliendelea kutazama lenzi yake nakuona kile kilichojili eneo lile!,mwili wa Godwin ulikuwa chini huku ukiwa bado umevalia nadhifu lakini katika sekunde hizi chache damu ilikuwa ikimtiririka na kutapakaa hata katika steji.

Kwa haraka mtu huyu baada yakuona kazi yake ilikwenda sawia alishuka katika jengo hili nakutokomea pasipo julikana!.

******

Maumivu ya kipigo yaliendelea kuukumbatia mwili wangu!.. njaa na kiu navyo vilikuwa mlangoni kwangu vikiniadhibu!.
Mikono yangu ilichoka kifungo hichi kisichokuwa na majibu ya ukomo wake,miguu yangu nayo iliendelea kuuma huku ikikosa ganzi!.

Mlango ulifunguliwa ndipo nilipogundua giza lilikuwa limeshatawala!,tochi yenye mwanga mkali ilitua usoni kwangu nakusababisha macho yangu kuugulia maumivu.
Nilisikia hatua zikinisogelea huku bado mwanga wa tochi ukiendelea kunimulika!..
Kwa tabu niliyafumbua macho yangu nakukutanisha sura yangu na Yule mtesaji aliekuwa akinirushia ngumi mchana!..
Akiniangalia huku akicheka pasipo kutoa sauti kisha..

"Bado hujui fedha zetu zilipo..?" Aliniuliza kwa dharau kisha akatulia kwa sekunde chache nakuendelea
"Si useme tu tukuachie ukaendelee na maisha yako kuliko kupitia haya mateso!"
Niliinua kichwa changu nakumuangalia tena usoni pake!,nilipokelewa na macho yake makundu ambayo hayakuonekana kuwa na huruma!.
Alinyanyuka nakumulika pande nyengine mwa chumba hiki!.

"Nafikiri mimi sio mtu sahihi!,Sina fedha zenu na wala sijui mnachokizungumza" nilisema kwa tabu.

Kicheko kikubwa kikamtoka huku akiurudisha mwanga wa tochi yake kunimulika!.. baada ya kicheko chake hakuzungumza kitu bali tochi niliiona ikianguka chini na hapohapo alinivagaa nakuanza kunitia ngumi mfululizo!.
Yale maumivu yaliyoanza kutulia yaliamshwa tena!
Kipigo cha mara hii kilichanganywa mateke na ngumi pasipo kutulia huku nikitweta kwa maumivu!.
Hakika cha mtema kuni nilikiona hata damu nayo ikaanza kunibubujika mdomoni!.

Alitulia nakuniangalia nilivyozamia katika lindi la maumivu huku nikipiga kelele ambazo hazikuwa na msaada!.
Punde akaingia mtu mwengine nakumpa taarifa mtesaji wangu!.

"Gari tayari" alisema mtu yule huku akiondoka!
"Okay nakuja" alijibu mtesaji wangu huku akitoa shingo yake kwa mgeni Yule nakunigeuzia mimi!.



Coming back...

Eve na Anitha sijui wako wapi maskini
 
Back
Top Bottom