Evidence is now appearing indicating that the Iran Presidential Helicopter crash was an assassination

Wataalam wa vita vya kwenye keyboard huwa mnajua kukichafua sana kuliko hao walio ground. Sijui wao huwa wanafeli wapi hadi washindwe kukinukisha kama ninyi!
Huhitaji kuwa na Phd kutambua hilo ubalozi tu ulipigwa watu wakalipiza na missile na madrone 300 sasa ikigundulika ni hivyo unategemea nini ??kama huna think tank jiwekee basi hata think kibakuli ili uweze kuanalyse mambo ya ulimwengu.
 
Ukweli huu unapingwa na watu walioiona Israeli kuwa si lolote machoni pao. Israeli hawafai......
Airforce one ni ya israel acheni ujinga basi, mmekuwa vipofu kwa mtu ambae anapigana na mgambo kwa mwaka mzima na kushindwa kuokoa mateka kwenye kieneo kama kijiji ataweza nini kweli kwenye ulimwengu wa vita?
Ashukuru tu nchi za magharibi zinaficha madhaifu yake
 
Kwenye hii vita walikufa Waisraeli 165 na Walebanon 1,300.Watu gani walikufa zaidi? 🤔
Kwa hiyo israel alipoona raia 165 akaenda mbio UN kuomba cease fire na waziri Olmert akajiuzulu kwa kuwa vita imeua raia 165 ,kacheki documentary failure of merkava tank , inazungumzia vizuri ,nenda kacheki kasome" the battle of bint jabel 2006 uone 5000 israel troops dhidi ya 100 people na bado wakashindwa, Jiulize hii piga nikupige yote ya Gaza marekani anamsisitiza mwanaee sana dont start war with hizbullah wako more powerful than 2006.
 
Sure
 
An earthworm can never metamorphose into a python. Iran equates itself to the likes of US and other big nations, but in actual sense, its nothing but a small nation that needs to come together and respect the gang leaders.
 
Mkuu zote nadharia embu wacha tuone mwishowe itakuaje.
 
Kwenye hii vita walikufa Waisraeli 165 na Walebanon 1,300.Watu gani walikufa zaidi? 🤔
Vita ushindwi haitizamwi by number of casualties.
Bali hutizamwa kwa ukamilikaji wa operation.
Leo hii Tanzania tukapigana na Malawi kuchukua maeneo yote ya Ziwa Nyasa,hata kama Tanzania tukapoteza askari na wakabaki kumi,lakini Malawi wakakimbia na kuiachia Nyasa hata kama wamepoteza askari kumi tu.
Tanzania tutahesabika washindi kwasababu operation ilotupeleka ya kuichukua Nyasa imefanikiwa,na Malawi operation ya kuilinda Nyasa kwao imefeli.
Hizbollah walikua na mission mbili katika vita ya 2006,kwanza kumrudisha mfuasi wao ambae alikua na cheo,pili kuikomboa Bint jubeir.
Mfuasi alirudi kwa negotiations baada ya vita na Bint jubeir ililindwa kwa mtutu wa bunduki.
IDF kusini mwa Lebanon walikimbia na kuacha hadi vifaru.
Walipoteza makamanda wa juu sio askari wa kawaida bali makamanda wa juu takriban 78.
Waka retreat mpaka kufika shebah farm ambapo wakaweka pale buffer.
Kiufupi IDF alishindwa hii vita.
 
An earthworm can never metamorphose into a python. Iran equates itself to the likes of US and other big nations, but in actual sense, its nothing but a small nation that needs to come together and respect the gang leaders.
That is according to your thoughts.
But Iran is a cold poison which brings about unrest in someone's body if he dare taste it(USA and allies).
 
Pale ambapo unakuja na online assumption zisizo na maana. Subiris vyombo vya uchunguzi kutoka iran wafanye kazi yao, wao ndio watatoa results
 
Pale ambapo unakuja na online assumption zisizo na maana. Subiris vyombo vya uchunguzi kutoka iran wafanye kazi yao, wao ndio watatoa results
Nadharia na dhana zimekua nyingi mno.
Ilhali Israel wao wamekaa kimyaa hata kutikisika hawajatikisika.
Tusibiri uchunguzi ukamilike.
Ila kama ikabainika Israel/USA wametia mkono aisee,USA aondoe kambi zake middle east na Israel aweke ADS kila pembe ya Israel.
Maana kama kuuawa kwa askari tu ubalozi wa Syria karusha makombora yale sijui kifo cha kiongozi atafanya nini.
 
An earthworm can never metamorphose into a python. Iran equates itself to the likes of US and other big nations, but in actual sense, its nothing but a small nation that needs to come together and respect the gang leaders.
Ni kweli ila ni msumari ndio hutoboa na kutoa upepo wote kwenye airship na pia wakati mwingine sisimizi akiingia sikioni basi humuangusha tembo.
Rejea stori ya siafu waliotoa joka pangoni na kulimaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…