hahahahahahah acha ujinga wewe tanzania ya leo sio ya miaka ya 60. tunahoji ni utaratibu upi umetumika kujenga huo uwanja? kwanini muswada haukupelekwa bungeni?Yaani umuhimu wa uwanja wa ndege mpaka utajiwe? Kuna ndege kibao zinashuka Geita kupitia huu uwanja.
Lissu kapata nyomi ambalo halikutegemewa geita!Duuuh hadi nyumbani kwa Magufuli?Sikutegemea!Lissu ni habari nyingine aisee!Leo Lisu umefika Geita umekiona cha mtema kuni
Ibadakuli ipoUle uwanja ni kwa ajili ya mkoa wa Geita sio Chato. Hata Mwanza kama kuna emergency ndege inaweza kutua chato kwa muda.
Tulikuwepo na mpango wenu wa kupiga mawe nao umebumaLeo Lisu umefika Geita umekiona cha mtema kuni
Leo Lisu umefika Geita umekiona cha mtema kuni
Naona unajitekenya pumbu na kucheka mwenyewe [emoji2957]Leo Lisu umefika Geita umekiona cha mtema kuni
Vipi umeona nyomiTusubiri tuone kama Lisu atadiriki kupita Chato na kuomba kura.
Nyomi gani hiyo?Vipi umeona nyomi
Hii video hapa inaonesha Lissu alipoingia katoro kilometa 2 kutoka chato cheki raia walivyo mlaki na kulikataa JIWE.Leo Lisu umefika Geita umekiona cha mtema kuni
Hiyo ulioonaNyomi gani hiyo?
Chato ni runway ya kimataifa ndege kubwa zinatua.Ibadakuli ipo
Ipi?Hiyo ulioona
Hiyo ingejengwa Geita wala isingekuwa kashfa au hata ule uwanja wa Cogifar pale Ushirombo ungepanuliwa tuChato ni runway ya kimataifa ndege kubwa zinatua.
HiyoIpi?
Tungebakia na uporaji ardhi Karagwe na Dotto james na mtoto wa DadaGeita milima mingi, ungejengwa Nyamboge bado mngelilalamika. Mngesema amewasogezea ndugu zake.
Mbona hazipanguliwi?Hizi ni porojo za uongo tu.
Mimi jana Geita nilikuwa namsikiliza Lissu kwa makini sana baadae ndio nikamtuma shemeji yako Konyagi huku nikizitafakari sera ile Sera ya HAKI niliipenda sanaPolepole yupo live,tulia anapangua moja baada ya moja. Nipo Segese nakunywa Balimi huku namsikiliza.
KumbeHaki gani? Kwani Tanzania hamna haki?