technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kumbe Geita palikosa eneo?Ule uwanja ni kwa ajili ya mkoa wa Geita sio Chato. Hata Mwanza kama kuna emergency ndege inaweza kutua chato kwa muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Geita palikosa eneo?Ule uwanja ni kwa ajili ya mkoa wa Geita sio Chato. Hata Mwanza kama kuna emergency ndege inaweza kutua chato kwa muda.
Mwanza siyo hatimiliki yako pekee, hata mimi ni mtu wa mwanza na chato pia, sioni faida ya Chato international airport.Kwako wewe unaekariri maneno ya msomi uchwala Lissu. Kwetu sisi Geita na Mwanza una umuhimu.
Geita mjini unajua ilivyo topography yake?Kumbe Geita palikosa eneo?
1.Kujifunzia kuendesha bodaboda na baiskeli.Naomba unipe manufaa matano ya uwanja wa ndege wa chato kwa wanachato
Chato nzima wenye kumudu kupanda ndege awafiki wa 5 je Ni faida kwaoMkoa wa Geita ulikuwa nauwanja wa ndege?
Nipe namba ya TTCL nikutumie buku ten upate soda1.Kujifunzia kuendesha bodaboda na baiskeli.
.2.Kuanikia mahindi, unga, mihogo,
3.Kijiwe Cha kuvutia,
4.kuchungia
5.playground za watoto kuchezea.
Kwa uchache,hayo Ni matumizi mbadala pia.
Mpaka uzione au uambiwe? Mwanza ilikuwa ngome ya Chadema baada ya Uchagadema waliomletea Jakaya iko wapi Chadema?Mwanza siyo hatimiliki yako pekee, hata mimi ni mtu wa mwanza na chato pia, sioni faida ya Chato international airport.
Niambie ndege zilizotua chato ukiacha mseveni na kenyatta na bmbardier ya jiwe alipokimbia korona kapaki hapo
Hio topographic yake ni ngumu kuliko za japaniGeita mjini unajua ilivyo topography yake?
We mji wa Chato unaujua? Unajua wavuvi wa Mganza wanaweza kukulisha wewe na ukoo wenu. Acha dharau za kichaga.Chato nzima wenye kumudu kupanda ndege awafiki wa 5 je Ni faida kwao
You have no eligble points to defend your argumentsMpaka uzione au uambiwe? Mwanza ilikuwa ngome ya Chadema baada ya Uchagadema waliomletea Jakaya iko wapi Chadema?
Unaniuliza, nilishafika JapanHio topographic yake ni ngumu kuliko za japani
So what?You have no eligble points to defend your arguments
Niondolee uelewa mdogo wa mambo usoni pangu. Kwani watu kusema homeboy ndio kugawa watu?Kwani siyo kweli kwamba uwanja wa ndege umejengwa Chato nyumbani kwa Magufuli, kama ni suala la kuwagawa wananchi nafikri anayeongoza kuwa gawa wananchi ni mgombea wa CCM mwenyewe ambaye akiwa maeneo ya nyumbani kwao anasema kuwa wananchi wa huko wampigie kura kama mtoto wa nyumbani, na wengine anawaambia kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwao kwa kuwa walichagua upinzani na katika uchaguzi ujao wachague maendeleo au majuto kwa kipindi cha miaka5.
Ngoja aje Geita kuomba kura atatukuta.Lissu ni kiboko ya Magufuli!
Katufundisha tusimuogope dikteta uchwara huyu, tumseme waziwazi aache kutufanya watumwa kwenye nchi yetu!
Huoni agawe watu kweli, sio rais wako ndio anagawa watu kwa kuongea mpaka kisukuma...!?
Ngoja aje Geita kuomba kura atatukuta.