3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Marko :16:2
Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza.
Marko :16:12
Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.
Jumapili ni siku ya kazi wanafunzi walitambua hilo ndiyo maana walienda shambani kwa ajili ya kazi za kawaida
Siku ya ibada ni moja tu iliyoamriwa na Mungu siku ya saba ya juma
Basi, alfajiri na mapema siku ya Jumapili, walifika kaburini, jua lilipoanza kuchomoza.
Marko :16:12
Baadaye Yesu aliwatokea wanafunzi wawili akiwa na sura nyingine. Wanafunzi hao walikuwa wanakwenda shambani.
Jumapili ni siku ya kazi wanafunzi walitambua hilo ndiyo maana walienda shambani kwa ajili ya kazi za kawaida
Siku ya ibada ni moja tu iliyoamriwa na Mungu siku ya saba ya juma