Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Mimi nimeshajibu!!

Ikiwa hujaridhika au hujaelewa majibu yangu, basi!!
Hujaniambia popote kuhusu wakati unapokusanyika na kwa Andiko gani.

Ndio maana nakuuliza wewe unakusanyika lini na kwa andiko gani ?

Tuwekee hapa ili tujifunze na sisi siku ya kukusanyika
 
Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili?

Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,

Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli.

Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI.

Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili Kwa ibada takatifu?

Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?

Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 December?
Unalo andiko? Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?

NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.

ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.

Karibuni.🙏
Luka 4:16,Akaenda Nazareti mahali alipolelewa na siku ya Sabato akaingia kwenye Sinagogi kama desturi yake . Jumamosi ndioSabato ya kupumzika na kustarehe kanisa.Sio Mimi ni maaandiko yanasema.Kutoka 20:---yote soma.Nakutakia siku NJEMA.
 
Hujaniambia popote kuhusu wakati unapokusanyika na kwa Andiko gani.

Ndio maana nakuuliza wewe unakusanyika lini na kwa andiko gani ?

Tuwekee hapa ili tujifunze na sisi siku ya kukusanyika
Kukusanyika ni muda wowote kulingana na shughuli na Ibada mtakazoamua,

Lakini, siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada ni siku ya Saba ya juma.

Na haikuwahi kubadilika.
 
Luka 4:16,Akaenda Nazareti mahali alipolelewa na siku ya Sabato akaingia kwenye Sinagogi kama desturi yake . Jumamosi ndioSabato ya kupumzika na kustarehe kanisa.Sio Mimi ni maaandiko yanasema.Kutoka 20:---yote soma.Nakutakia siku NJEMA.
Mimi pia nimekulia katika kuabudu jumapili,

Lakini now nimetafuta na kuuliza Kwa Kila namna kuhusu Yesu kubadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada,

Sijaona popote.

Turudi katika msingi wa Kanisa la kwanza!!

Ubarikiwe.
 
Weka andiko kutokana na maelezo yako.
Andiko lililopo ni siku ya Saba ya juma,

Weka wewe andiko uloruhusiwa kubadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada Kutoka Siku ya Saba ya juma yaani Jumamosi kwenda siku ya Kwanza ya juma yaani Jumapili.
 
Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili?

Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,

Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli.

Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI.

Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili Kwa ibada takatifu?

Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?

Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 December?
Unalo andiko? Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?

NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.

ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.

Karibuni.[emoji120]
Wakristu hawasherehekei tarehe, bali tukio la kuzaliwa kwa mwokozi wao Yesu Kristu

Catholic na madhehebu mengine wanasherekea tukio hilo 25 Dec

Orthodox wanasherekea tukio hilo 7 januari
 
Weka andiko kutokana na maelezo yako.
(Mambo ya walawi 23:7) Si siku ya kwanza ya juma, ni siku ya kwanza ya mwezi wa pasaka.

Hivyo siku kuu ya kukusanyika wakristo Bado ni siku ya Saba ya juma hata sasa yaani Jumamosi.
 
Nasubiri andiko linalosema

1.Kukusanyika ni muda wowote kulingana na shughuli na Ibada mtakazoamua,

2. Lakini, siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada ni siku ya Saba ya juma

Mfano
Neno Ibada sijaliona popote pale kwenye Kukusanyika kwa Ibada Biblia, ndio kwanza nakusikia wewe.
Hebu weka hayo maandiko mawili uliyo yaongelea niyasome.
 
Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili?

Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,

Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli.

Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI.

Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili Kwa ibada takatifu?

Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?

Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 December?
Unalo andiko? Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?

NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.

ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.

Karibuni.🙏
Msingi mkuu wa Imani ya kikristo ni UFUFUKO WA YESU; na kimsingi Shetani amejitahidi sana kuaminisha watu kwamba hakufufuka. Maana imeandikwa, kama Kristo asingalifufuka IMANI yetu ingalikuwa bure!

Keywords hapo ni FUFUKA na IMANI. Wakristo wanakusanyika lini? Jumapili! Ili? KUAMINI! Nini? UFUFUKO! Wa nani? YESU! Kwanini! WAMEKOMBOLEWA!

Lakini je, ROHO MTAKATAIFU hakuliunda Kanisa lake siku ile ya PENTECOSTE? Nayo ni Jumapili? Siku ile hawakamwabudu Mungu katika KWELI na ROHO?

Kama unasubiri andiko likuambie kaabudu Jumapili utasubiri sana!
 
Msingi mkuu wa Imani ya kikristo ni UFUFUKO WA YESU; na kimsingi Shetani amejitahidi sana kuaminisha watu kwamba hakufufuka. Maana imeandikwa, kama Kristo asingalifufuka IMANI yetu ingalikuwa bure!

Keywords hapo ni FUFUKA na IMANI. Wakristo wanakusanyika lini? Jumapili! Ili? KUAMINI! Nini? UFUFUKO! Wa nani? YESU! Kwanini! WAMEKOMBOLEWA!

Lakini je, ROHO MTAKATAIFU hakuliunda Kanisa lake siku ile ya PENTECOSTE? Nayo ni Jumapili? Siku ile hawakamwabudu Mungu katika KWELI na ROHO?

Kama unasubiri andiko likuambie kaabudu Jumapili utasubiri sana!
Kwa hiyo ibada zilianza baada ya kufufuka kwa Yesu kabla ya hilo tukio hapakuwa na makusanyiko ya ibada?
 
Waebrania10:24,25 Na acheni tufikiriane ili kuchocheana katika upendo na matendo mazuri 25 BILA KUACHA KUKUTANA PAMOJA kama wengine walivyo na desturi,Bali tutiane moyo na kufanya hivyo zaidi kwa kadiri mnavyoona siku Ile ikikaribia. Hapo nilitaka nikukumbushe kuwa kwenda ibadani ni lazima yani takwa sio ombi kwa mkristo.
 
PAULO KATIKA MOJA YA NYARAKA ZAKE ALISISITIZA WATU KUKUSANYIKA SIKU YA KWANZA YA JUMA, KUFANYA MATOLEO.SIKU HIYO NI JUMAPILI.WASABATO KUKUSANYIKA SIKU YA SABA YA JUMA NI UTAPELI.
Matendo ya Mitume 20:7
Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana ili kumega mkate, Paulo akawahutubu, akiazimu kusafiri siku ya pili yake, naye akafuliza maneno yake hata usiku wa manane.
 
1 Kor 16:2
Siku ya kwanza ya juma kila mtu kwenu na aweke akiba kwake, kwa kadiri ya kufanikiwa kwake; ili kwamba michango isifanyike hapo nitakapokuja
 
Ibada zipo toka enzi na enzi! Mada hapa ni ibada za kikristo.
 
Back
Top Bottom