Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili?

Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,

Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli.

Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI.

Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili Kwa ibada takatifu?

Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?

Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 December?
Unalo andiko? Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?

NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.

ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.

Karibuni.🙏
Siku ya kwanza na siku ya saba zote ni takatifu..
👇
Mambo ya Walawi 23:
7: Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yo yote ya utumishi.

Mambo ya Walawi 23:
8: Lakini mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto siku saba; siku ya saba ni kusanyiko takatifu; msifanye kazi yo yote ya utumishi.

Ibada ya wafuasi wa Yesu wa Kanisa la kwanza..
👇
Matendo ya Mitume 20:
7: Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana ili kumega mkate, Paulo akawahutubu, akiazimu kusafiri siku ya pili yake, naye akafuliza maneno yake hata usiku wa manane.
 
(Mambo ya walawi 23:7) Si siku ya kwanza ya juma, ni siku ya kwanza ya mwezi wa pasaka.

Hivyo siku kuu ya kukusanyika wakristo Bado ni siku ya Saba ya juma hata sasa yaani Jumamosi.
Sabato ya siku ya kwanza ya Juma, maana yake ni Pumziko.
Hivyo Waisraeli waliamriwa kupumzika tu siku hiyo. Na kustarehe kabisa wao na wageni wao.

Kumbukumbu la Torati 5

12 Ishike siku ya Sabato uitakase, kama Bwana, Mungu wako, alivyokuamuru.

13 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

14 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako; siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwanao, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala ng'ombe wako, wala punda wako, wala mnyama wako ye yote, wala mgeni aliye ndani ya malango yako, ili mtumwa wako na mjakazi wako wapumzike vile vile kama wewe.

15 Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, na ya kuwa Bwana, Mungu wako, alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu, na mkono ulionyoshwa; kwa sababu hiyo Bwana, Mungu wako, alikuamuru uishike sabato.

(Hakuna Neno Ibada hapo)

Kutoka 20
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.

11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

(Hakuna Neno Ibada hapo)


Mambo ya Walawi 23
3 Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yo yote; ni Sabato kwa Bwana katika makao yenu yote.

( Hakuna Neno Ibada hapo)

Sabato maana yake ni kupumzika na kustarehe Kama maandiko yanavyosema.

Wewe kufanya Ibada siku ya Sabato ya mwanzo wa Juma umeambiwa wapi ?

Kama siku kuu za Makusanyiko Matakatifu za Bwana zipo nyingi na sio siku moja ya Sabato ya mwisho wa Juma pekee, kama unavyo sema.

Mambo ya Walawi 23

4 Sikukuu za Bwana ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayapigia mbiu kwa nyakati zake.
(endelea kuzisoma)

Nasubiri andiko linalosema ufanye Ibada siku moja tu, Siku ya saba ya Juma, Sabato)
 
Kumbuka siku ya 7 na kuitakasa,kuitakasa means kuitenga + msiache kukusanyika+ plus akawafanya wengine kuwa wachungaji,wainjilisti,maskofu nk[ikumbuke siku ya Saba na kuitakasa ,tangu Wana wa Israel walipopewa Iyo amri kule jangwa ilianza kufanya kazi ,walikuwa wanaita hema ya kukutania,walipofika kanaan ikaitwa hekalu na wahudumu wake walikuwa wanaitwa makuhani, lakin yesu akawabadili vyeo wakaitwa wengine wachungaji,wengine wainjilisti ,na maaskofu ,yesu akajua watakuja watu wenye Sera kama yakwako akasema msiache kukutanika } zile amri 10 zinasimama mpaka Leo maanake kama kipindi kile walikuwa wanakutanika siku ya Saba kwenye hema ya kukutania, hekaluni, kwa nini Leo ibadilike alijua technolojia itakuja na shetani atakuja na Sera zake kwamba watu wabaki nyumbani waangalie kwenye TV,Ndo maana alisema msiache kukutanika na vile hakutaja mahali bhasi tujue Sera yeyote au mpango wowote wa kutaka tusikutanike popote tunapotakiwa kukutanika kwa mambo ya mungu tusikubaliane nacho.
 
Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili?

Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,

Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli.

Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI.

Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili Kwa ibada takatifu?

Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?

Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 December?
Unalo andiko? Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?

NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.

ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.

Karibuni.🙏
Ibada na kuabudu ni Imani ya Mtu. Wewe Baki na Imani yako na Fanya unachaomini. Hata wakikusanyika Kila siku wewe inakuhusu Nini? Fanya Yako kivyako.
 
Waroma10:4 "Kwamaana Kristo ndiyo mwisho wa Sheria ili Kila mtu aliye na Imani awe na uasilifu". Wakolosai2:16,17 "Kwa hiyo,msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya au sabato,17 mambo hayo ni kivuli Cha mambo yanayokuja,bali uhalisia ni wa Kristo. Agano la zamani la Sheria ambalo Mungu aliwapa kupitia Musa lilifika mwisho wake wakati kifo Cha Yesu kilipotimiza agano Hilo.Waefeso2:15"Kupitia mwili wake alifuta uadui,ILE SHERIA ILIYOKUWA NA AMRI NA MAAGIZO ,ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya na kufanya amani. Kwa kuongezea wakristo hawapo chini ya SHERIA ya MuSa tena Bali chini ya SHERIA ya Kristo,wagalatia6:2.
 
Kumbuka siku ya 7 na kuitakasa,kuitakasa means kuitenga + msiache kukusanyika+ plus akawafanya wengine kuwa wachungaji,wainjilisti,maskofu nk[ikumbuke siku ya Saba na kuitakasa ,tangu Wana wa Israel walipopewa Iyo amri kule jangwa ilianza kufanya kazi ,walikuwa wanaita hema ya kukutania,walipofika kanaan ikaitwa hekalu na wahudumu wake walikuwa wanaitwa makuhani, lakin yesu akawabadili vyeo wakaitwa wengine wachungaji,wengine wainjilisti ,na maaskofu ,yesu akajua watakuja watu wenye Sera kama yakwako akasema msiache kukutanika } zile amri 10 zinasimama mpaka Leo maanake kama kipindi kile walikuwa wanakutanika siku ya Saba kwenye hema ya kukutania, hekaluni, kwa nini Leo ibadilike alijua technolojia itakuja na shetani atakuja na Sera zake kwamba watu wabaki nyumbani waangalie kwenye TV,Ndo maana alisema msiache kukutanika na vile hakutaja mahali bhasi tujue Sera yeyote au mpango wowote wa kutaka tusikutanike popote tunapotakiwa kukutanika kwa mambo ya mungu tusikubaliane nacho.
Weka Andiko Brother.
Namna ya kuishika Sabato na kuitakasa. Kumefafanuliwa kwa kina na Mungu mwenyewe katika Amri Kumi za Musa.

Katika
Kutoka 20
Kumbukumbu la Torati 5
Na Mambo ya Walawi 23:7
Wacha maneno yako mengi sana ya nje ya maandiko.
 
Matendo 20:7 . Hata siku ya kwanza ya juma, tulipokuwa tumekutana kumega mkate, Paulo akasema nao...
Kumega mkate, ni Ibada za nyumba Kwa nyumba,

Siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu Bado Iko pale pale!!
 
Waroma10:4 "Kwamaana Kristo ndiyo mwisho wa Sheria ili Kila mtu aliye na Imani awe na uasilifu". Wakolosai2:16,17 "Kwa hiyo,msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya au sabato,17 mambo hayo ni kivuli Cha mambo yanayokuja,bali uhalisia ni wa Kristo. Agano la zamani la Sheria ambalo Mungu aliwapa kupitia Musa lilifika mwisho wake wakati kifo Cha Yesu kilipotimiza agano Hilo.Waefeso2:15"Kupitia mwili wake alifuta uadui,ILE SHERIA ILIYOKUWA NA AMRI NA MAAGIZO ,ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya na kufanya amani. Kwa kuongezea wakristo hawapo chini ya SHERIA ya MuSa tena Bali chini ya SHERIA ya Kristo,wagalatia6:2.
Kutokufungwa na SHERIA ndo kubadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada Kutoka Siku ya Saba ya juma (Jumamosi) kwenda siku ya Kwanza ya juma (jumapili)?
 
S


Soma amri kumi za Mungu utaona Hilo agizo
Amri ipi imeandikwa siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu ni Jumapili?

Ni nani aliyempa Mrumi ruhusa ya kufuta Amri ya Sabato na kuipeleka Jumapili?

Turudi kwenye MSINGI wa Kanisa la kwanza!!
 
Kwa calenda ipi Sasa,
Hii tunayotumia kwa Sasa Duniani ilianzishwa na Wakatoliki
Kwamba hujui siku ya kwanza ya juma ni Jumapili?

Na siku ya Saba ya juma ni Jumamosi?

Nenda Israel uulize uelekezwe,
 
Siku zote ni za kumsifu na kumwabudu Mungu, Matendo2:46-47
Mungu anachotaka ni Kumwabudu katika Roho na Kweli, kwa maana Yeye ni Roho, Yohana4:23-24
Haijalishi Kanisa linakusanyika siku gani.

Nimalize kwa kukuliza sasa! Katika Agano Jipya ni Wapi ambapo Yesu aliliagiza Kanisa kukusanyika siku fulani?

Usisahau, Kusanyiko la kwanza la Kanisa, baada ya Yesu kupaa lilifanyika siku ya Jumapili, Matendo2:1-11.
 
Siku zote ni za kumsifu na kumwabudu Mungu, Matendo2:46-47
Mungu anachotaka ni Kumwabudu katika Roho na Kweli, kwa maana Yeye ni Roho, Yohana4:23-24
Haijalishi Kanisa linakusanyika siku gani.

Nimalize kwa kukuliza sasa! Katika Agano Jipya ni Wapi ambapo Yesu aliliagiza Kanisa kukusanyika siku fulani?

Usisahau, Kusanyiko la kwanza la Kanisa, baada ya Yesu kupaa lilifanyika siku ya Jumapili, Matendo2:1-11.
Umeongea sahihi, siku yoyote mnaweza kukusanyika,

Lakini siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu haikubadilishwa popote, Kutoka Siku ya Saba(Jumamosi) Hadi siku ya kwanza ya juma (jumapili)
 
Mwisho wa Dunia umefika rasmi !
Ni nani aliyebadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu Kutoka Siku ya Saba ya juma jumamosi kwenda siku ya kwanza ya juma (jumapili)?
 
Sabato ya siku ya kwanza ya Juma, maana yake ni Pumziko.
Hivyo Waisraeli waliamriwa kupumzika tu siku hiyo. Na kustarehe kabisa wao na wageni wao.

Kumbukumbu la Torati 5

12 Ishike siku ya Sabato uitakase, kama Bwana, Mungu wako, alivyokuamuru.

13 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

14 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako; siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwanao, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala ng'ombe wako, wala punda wako, wala mnyama wako ye yote, wala mgeni aliye ndani ya malango yako, ili mtumwa wako na mjakazi wako wapumzike vile vile kama wewe.

15 Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, na ya kuwa Bwana, Mungu wako, alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu, na mkono ulionyoshwa; kwa sababu hiyo Bwana, Mungu wako, alikuamuru uishike sabato.

(Hakuna Neno Ibada hapo)

Kutoka 20
8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

9 Siku sita fanya kazi, utende mambo yako yote;

10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.

11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.

(Hakuna Neno Ibada hapo)


Mambo ya Walawi 23
3 Mtafanya kazi siku sita; lakini siku ya saba ni Sabato ya kustarehe kabisa, kusanyiko takatifu; msifanye kazi ya namna yo yote; ni Sabato kwa Bwana katika makao yenu yote.

( Hakuna Neno Ibada hapo)

Sabato maana yake ni kupumzika na kustarehe Kama maandiko yanavyosema.

Wewe kufanya Ibada siku ya Sabato ya mwanzo wa Juma umeambiwa wapi ?

Kama siku kuu za Makusanyiko Matakatifu za Bwana zipo nyingi na sio siku moja ya Sabato ya mwisho wa Juma pekee, kama unavyo sema.

Mambo ya Walawi 23

4 Sikukuu za Bwana ni hizi, ni makusanyiko matakatifu, ambayo mtayapigia mbiu kwa nyakati zake.
(endelea kuzisoma)

Nasubiri andiko linalosema ufanye Ibada siku moja tu, Siku ya saba ya Juma, Sabato)
Ubarikiwe sana mkuu...yaani umetema point tupu
 
Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili kama siku kuu ya IBADA badala ya Jumamosi iliyovyokuwa awali?
Warumi 14:4-5
[4]Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.

Who art thou that judgest another man's servant? to his own master he standeth or falleth. Yea, he shall be holden up: for God is able to make him stand.

[5]Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.

One man esteemeth one day above another: another esteemeth every day alike. Let every man be fully persuaded in his own mind. HIVI HATA HILI ANDIKO HAMLIONAGI AU MNAJICHETUA AKILI NINYI WASABATO MNAPOTOSHA SANA WATU SIJUI SHIDA NININI? labda Mimi siko sahihi naomba hoja
 
Salam, Shalom!!

Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili kama siku kuu ya IBADA badala ya Jumamosi iliyovyokuwa awali?

Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,

Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli.

Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI.

Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili kama siku kuu ya ibada takatifu badala ya Jumamosi?

Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?

Ni nani aliyebadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada Kutoka Siku ya Saba ya juma, kwenda siku ya kwanza ya juma,jumapili?

Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 December?
Unalo andiko? Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?

NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.

ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.

Karibuni.🙏
Mtakufa na madini yenu ya kishetani
 
Back
Top Bottom