Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Ewe Mkristo, nani alikwambia kukusanyika kila Jumapili kwa ajili ya Ibada?

Msabato ni mtumwa wa torati.
Ni watu wanalolitumikia andiko na sio Neno na kweli ya Mungu.

Andiko huua bali Neno la Mungu huponya
Wanaiabudu Jumamosi.
Jumamosi ni sanamu kwao.

Mtu wa Mungu haishi kwa kutegemea Majungu na Chuki.

Ndio maana, nikasema, Mungu hana Dini, wala Ukabila, wala Chawa flani.

Mungu anawapenda watu wote, hata wasio mwelewa, alishuka katika Jina la Yesu, ili kuongea na watu wake kama alivyoshuka kwa Binadamu katika Mwanzo 18:1.….

Mungu anasikia Lugha zote na Yeye ndio alizo ziasisi.
 
Tumeamua na huna la kufanya. Tumekuwa tukifanya miaka yote ata kabla ya kahaba Ellen G White, na freemason Joseph Smith kupotosha. Sabato ya kristo sio sawa na sabato ya watesi wake wayahudi. Hamna akili. Karibu kitimoto roast na ndizi mbili, then Bata wa kushoto.
Wewe Sio Msabato, wala Mkristo.

Wewe ni Mwislamu.
Wasalimie ndugu zako wa Kijini utakapo enda kuswali Msikitini pale unapo Swali.

Allah aliyaumba Majini ili yamwabudu.
 
Wewe Sio Msabato, wala Mkristo.

Wewe ni Mwislamu.
Wasalimie ndugu zako wa Kijini utakapo enda kuswali Msikitini pale unapo Swali.

Allah aliyaumba Majini ili yamwabudu.
Wasabato hamna akili. Fuatilia historia yenu utagundua ni just a cult.
 
Wasabato hamna akili. Fuatilia historia yenu utagundua ni just a cult.
Mimi sio Msabato.
Mimi ni Mkristo
Karibu uwe mwanafunzi wa Yesu Kristo.
Yeye ndiye Njia, Kweli na Uzima.

Mathayo (Mat) 28:19
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

Matendo ya Mitume 11
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.

Marko (Mar) 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.
Ni Mtu wa Kristo.
 
Mimi sio Msabato.
Mimi ni Mkristo
Karibu uwe mwanafunzi wa Yesu Kristo.
Yeye ndiye Njia, Kweli na Uzima.

Mathayo (Mat) 28:19
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

Matendo ya Mitume 11
26 hata alipokwisha kumwona akamleta Antiokia. Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia.

Marko (Mar) 9:41
Kwa kuwa ye yote atakayewanywesha ninyi kikombe cha maji, kwa kuwa ninyi ni watu wa Kristo, amin, nawaambia, hatakosa thawabu yake.
Ni Mtu wa Kristo.
Hizo zote hazina uhusiano na wasabato, ni hivi ili uwe mkristo hasa, lazima utokee kwenye apostolic succession. Nyie hamna. Ni wakatoliki pekee wanaweza kuclaim na kuprove hiyo kitu, na wanafanya kila kitu kama early church fathers katika maandishi yao walivyokuwa wanafanya. Nyie wengine ni wasindikizaji tu. Biblia ni mapokeo ya kanisa katoliki. Na sio chanzo pekee cha habari ya Mungu, mmeinvent mafundisho ya uongo mfano, sola scriptura au scriptures only, hicho kitu hakuna kwenye biblia! Biblia original imepatikana miaka 400 baadae huko, hao wakristo walikuwa wana sali vipi? Hamjiulizi? Sacred tradition! Na biblia ina vitabu 72 sio hiyo kipande chenye 66 cha kwanzia karne ya 16. Yani miaka yote zaidi ya 1000 watu wana vitabu 72 leo eti mna 66 alafu wajuaji nyinyi, tunawachora tu.
 
Hizo zote hazina uhusiano na wasabato, ni hivi ili uwe mkristo hasa, lazima utokee kwenye apostolic succession. Nyie hamna. Ni wakatoliki pekee wanaweza kuclaim na kuprove hiyo kitu, na wanafanya kila kitu kama early church fathers katika maandishi yao walivyokuwa wanafanya. Nyie wengine ni wasindikizaji tu. Biblia ni mapokeo ya kanisa katoliki. Na sio chanzo pekee cha habari ya Mungu, mmeinvent mafundisho ya uongo mfano, sola scriptura au scriptures only, hicho kitu hakuna kwenye biblia! Biblia original imepatikana miaka 400 baadae huko, hao wakristo walikuwa wana sali vipi? Hamjiulizi? Sacred tradition! Na biblia ina vitabu 72 sio hiyo kipande chenye 66 cha kwanzia karne ya 16. Yani miaka yote zaidi ya 1000 watu wana vitabu 72 leo eti mna 66 alafu wajuaji nyinyi, tunawachora tu.
Mimi sio Kanisa la Roman Katoriki la Rumi la huko Itaria.
Mimi ni Mkristo.
 
Mimi sio Kanisa la Roman Katoriki la Rumi la huko Itaria.
Mimi ni Mkristo.
Kwanza hakuna kanisa linaloitwa Romani catholic. Fuatilia. Alafu r na l mgogoro, huwezi kuelewa makubwa. Itaria? Katoriki?🤣
 
Lipo hapa kwetu igome njo ulione mkuu
Kanisa linaitwa katoliki tu. Roman ni neno limepewa umaarufu na waingereza miaka ya 1800! Ili kujitofautisha na anglican. Lakini hakuna document official ya kanisa ina hilo neno Roman. Sababu kanisa ni la ulimwengu.
 
Kumbe Constantine ndiye aliyeanzisha IBADA ya jumapili mwaka wa 300 AD.

Turudi katika msingi.
 
Kesho ni Jumapili,

Wakristo mnaulizwa hivi,

Ni nani aliyewambia kubadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu Kutoka Siku ya Saba ya juma yaani Jumamosi kwenda siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili?
 
Kesho ni Jumapili,

Wakristo mnaulizwa hivi,

Ni nani aliyewambia kubadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada takatifu Kutoka Siku ya Saba ya juma yaani Jumamosi kwenda siku ya kwanza ya juma yaani Jumapili?
Mungu hakusema popote kuwa Jumamosi ndio siku ya Saba au sabato

Kasome kitabu cha Mwanzo Mungu akipumzika siku ya Saba Amri.za Mungu zinasema fanya kazi siku sita ya saba pumzika.Siku ya saba yaweza kuwa yeyote kwenye mzunguko wa kazi zako yaweza kuwa ijumaa,jumamosi,jumapili,jumatatu jumanne ,jumatano au alhamisi cha kuzingatia ni fanya kazi siku sita ya saba ni sabato. Wakristo wanaosali jumapili who sahihi hufanya kazi siku sita ya saba jumapili hupumzika na wasabato wako sahihi hufanya kazi siku sita ya saba hupumzika na wengineo wako.sahihi hufanya kazi siku sita ijumaa hupumzika nk
Siku ipi wapumzike ni uamuzi wa jamii husika wanavyokubaliana walipo

Cha kushikilia ni hapo tu pa fanya kazi siku sita ya saba ni sabato
 
Unawauliza Wakristo tena.
Kwani Wasabato sio Wakristo?

Sisi huku Dubai tunakutana na kufanya ibada siku Ijumaa.

Kwakuwa ni siku ya mapumziko ya Serikali ya huku.

Ila ibada za kijumuiya na kifamilia zinafanyika siku yoyote Kanisani au Nyumbani kwa mwanajumuiya panapotokea nafasi ya muda,
Pamoja na Jumamosi.
Uko sahihi Siku ya Saba ni yeyote mfano hapo Dubai mnafanya kazi siku sita ijumaa ndio.mnapumzika ni siku ya sabato hiyo wala hamjavunja sabato sababu Biblia ilichoagiza fanya kazi siku sita ya saba sabato Mko sahihi
 
Mungu hakusema popote kuwa Jumamosi ndio siku ya Saba au sabato

Kasome kitabu cha Mwanzo Mungu akipumzika siku ya Saba Amri.za Mungu zinasema fanya kazi siku sita ya saba pumzika.Siku ya saba yaweza kuwa yeyote kwenye mzunguko wa kazi zako yaweza kuwa ijumaa,jumamosi,jumapili,jumatatu jumanne ,jumatano au alhamisi cha kuzingatia ni fanya kazi siku sita ya saba ni sabato. Wakristo wanaosali jumapili who sahihi hufanya kazi siku sita ya saba jumapili hupumzika na wasabato wako sahihi hufanya kazi siku sita ya saba hupumzika na wengineo wako.sahihi hufanya kazi siku sita ijumaa hupumzika nk
Siku ipi wapumzike ni uamuzi wa jamii husika wanavyokubaliana walipo

Cha kushikilia ni hapo tu pa fanya kazi siku sita ya saba ni sabato
Siku ya Saba ya juma ni Jumamosi,

Iko hivyo tangu zamani hata sasa haijabadilika,

Aliyebadili ni Constantino alipoingiza upagani wao,

nenda Israel utaona.
 
Siku ya Saba ya juma ni Jumamosi,

Iko hivyo tangu zamani hata sasa haijabadilika,

Aliyebadili ni Constantino alipoingiza upagani wao,

nenda Israel utaona.
Calendar zimekuja miaka ya karibuni tu wakati wa Kitabu cha Mwanzo hakukuweko hizi kalenda za Leo

Na Hata Mungu alipompa Musa amri.kumi akiagiza tu kuwa fanya kazi siku sita ya saba sabato hakutaja siku sababu hizi calendar za leo hazikuwepo

Wayahudi wakaanza mzunguko wai wa kikazi waanze lini na sabato ilwe lini

Jumuiya ya Mahali ndio mwamuzi mfano masaa duniani tunafautiana wengine wakianza sabato wengine wanakuwa mashambani na makazini wengine wanapomaliza sabato na kuendelea na kazi zao wengine wanakuwa kwenye sabato kutokana na tofauti za masaa kama ulisoma geography utaelewa

Ndio maana cha msingi fanya kazi siku sita ya saba pumzika uwepo eneo lolote la dunia lenye tofauti zozote za masaa zingatia hilo tu

Ndio maana Mungu hakusema hiyo siku ni Jumamosi au Jumapili alielewa kuna tofauti za masaa nk

Usikariri Jumamosi elewa siku ya saba .Siku ya Saba ndio inaitwa Sabato .Usije jiumiza nafsi na roho popote ulipo angakia ratiba tu ya kazi ya hapo ukikuta mfano nchi hupumzika alhamisi huna haja ya kutangaza vita za kijinga kuwa sabato lazima iwe jumamosi uwe na amani fanya kazi siku sita Alhamisi Sabato waambie na wasabato wenzio kuwa hapa siku ya sabato itakuwa Alhamisi

Mungu aliongea straight lugha rahisi ya kueleweka vizuri tu kuwa fanya kazi sita ya saba sabato Short and clear
 
Back
Top Bottom