πππ Jamaa akaona bora amsaliti mzee tu kama Yuda Escariote awe JescarioteKuna jamaa baba alikuwa mchungaji kabisa akamuita mtoto wake Jesca.Shuleni alikuwa anakipata cha moto akajiongezea jina akaanza kujiita Jescariote .
Naaamππππππ Jamaa akaona bora amsaliti mzee tu kama Yuda Escariote awe Jescariote
Kuna mwana BAWACHA anaitwa CelestineWatoto wengi sana wanafanyiwa bullying kupitia majina yako na wanaishia kuyakataa au kutenda uhalifu.
Juzi hapa kitaa kuna dogo alimpiga dogo mwenzie jiwe la kichwa eti kisa ameitwa "sesi"
Yeye hataki kuitwa sesi ila anataka aitwe "Cecil" kwa madai kuwa sesi ni jina la kike.
Ewe mzazi think twice kabla ya kutenda..
Huenda wazazi wake wanatokea Makete maana kule mtu kuitwa Cassette, Antenna, Keyboard, Fanta, Saxaphone ni kawaidaJuzi hapa kitaa kuna dogo alimpiga dogo mwenzie jiwe la kichwa eti kisa ameitwa "sesi"
Yeye hataki kuitwa sesi ila anataka aitwe "Cecil" kwa madai kuwa sesi ni jina la kike.
Wazazi wangu waliwaza mbali kunipa jina linaoendana na mimi nilivyoEwe mzazi ukiwa unatafuta jina la kumpa mtoto wako punde baada ya kujitungua, kifiria kwanza hilo jina akifika muda wa balehe (ujana) ataweza kuishi nalo mbele ya vijana wenzake??
Watoto wengi sana wanafanyiwa bullying kupitia majina yako na wanaishia kuyakataa au kutenda uhalifu.
Juzi hapa kitaa kuna dogo alimpiga dogo mwenzie jiwe la kichwa eti kisa ameitwa "sesi"
Yeye hataki kuitwa sesi ila anataka aitwe "Cecil" kwa madai kuwa sesi ni jina la kike.
Ewe mzazi think twice kabla ya kutenda..
Huyu hata akiitwa Cele haina noma na sio kama ceci. Jamaani sesi??..Kuna mwana BAWACHA anaitwa Celestine
mtoto wa kikeUmewahi kufuatilia Joyce ina maana gani katika lugha yao?
Nimecheka sana.Junior...
60 years later...
Haruna HarunMtaani kwetu kuna mdada anaitwa " Dulah".
Ni jirani yetu she was something like 5 years older than me. She was married in 2004 nadhani baada ya kupata mtoto jina limekufa.
Kuna wanawake wanaitwa Haruna
Tumekusikia mwajumaUjinga kama huu utaukuta Afrika na hsa Tanzania tu. Watu wanaona ni kashfa kufananishwa na mwanamke! Mbaona kuna majina yanatumika kwenye jinsia zote?
Majina ya kihaya utacheka ,Wahaya wanatoaga wapi majina yao au asili yao ni italia ndani ndani huko
Kuna jamaa anaitwa ANAS Alfred tulisoma nae pia. huyu alipata shida sanaHuenda wazazi wake wanatokea Makete maana kule mtu kuitwa Cassette, Antenna, Keyboard, Fanta, Saxaphone ni kawaida
Bado na wale wa kuita "Omali", inakera sana mtu kukuharibia jina na usikae kimya msahishe mara moja anapolikoseaMimi ishu ilikuwa ni kwenye kuliandika na kulitaja jina langu "Umar" shule niliyosoma primary kulikuwa na ticha mmoja kila tukifanya hzi test za mwezi unakuta kabadilisha kwenye "U" kaweka "O" anahisi nimekosea
Siku moja akaja kuniita ananiambia niwe naandika vizuri jina nikamwambia jina langu ndo linaandikwa hivyo. Na kwenye kutaja kuna wengine waliita "yumari" wengine "Uma". Nikawa nawaacha tu kila mtu aite anavyotaka
π πKuna jamaa anaitwa ANAS Alfred tulisoma nae pia. huyu alipata shida sana
πππJunior...
60 years later...
Haha North zone kuna kina Elineema telee afu wa kiume, sio shida zaoKuna rafikiang alikuwa anaitwa pendo alafu ni mwanaume eti.
Zawadi, furaha, eliupendo,elieza haya yote hayampendezi mtoto wa kiume piaw
Hao ni kuwapiga kwenzi za utosi tu ππBado na wale wa kuita "Omali", inakera sana mtu kukuharibia jina na usikae kimya msahishe mara moja anapolikosea
Mi wangu nataka nimuite Sunny/SunnieKuna jamaa yangu yeye alisema hataki irabu kwenye jina la mtoto na liwe na konnsonanti tatu tu akaibuka na na jina la mtoto anaitwa NYX alipolitoa anajua yeye.