Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yAani wewe ndiye mbwehaTafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Na sasa wanaigawa Bagamoyo mazuzu humu yanakenua tu eti wanamkomoa MAGUFULIRasimali siyo zenu. Ccm walishawagawia Wazungu kitambo
Mnapanda watu juu ya vichwa na kuwafananisha na mbweha siyo? Kweli kila kwenye watu 4 mmoja mirembe day mimeamini
We jamaa ni mpumbavu.Tafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Nakuheshim sana ila huu ujinga ulioandika hapa usirudie tena kisewa weweTafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Poa tu wacha wapinzani waisome nambaMamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi
Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani
---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani
Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya
Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga
Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali
Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000
Na ya 53000 itauzwa 58000
Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx
Wananchi tupo tu tunaona ewala
Kuna wakati najilaumu
Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Poa tu wacha wapinzani waisome nambaMamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi
Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani
---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani
Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya
Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga
Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali
Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000
Na ya 53000 itauzwa 58000
Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx
Wananchi tupo tu tunaona ewala
Kuna wakati najilaumu
Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Unaye lia kama mbweha ni wewe unayeishi kwa shemeji yako.Tafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Hadi kupanda kwa sabuni napo sababu ni soko la dunia?"Tatizo soko la dunia"
Hiyo gesi tuliambiwa ilishauzwa sio ya kwetu, bado hamuelewi?!
Huyo ni sawa na mkuu wa vilaza wote wa lumumba.Kati yako na mtoa mada nani anaonekana mbweha zaidi mkuu?
Mbweha ni wajinga waliokuleta hapa dunianiMbweha ni wewe na mleta mada.
Hii elimu umepata wapi?Ukiona mfanyab8ashara amepandisha bei ya kitu na bado watu wananunua tu, ujue watu wanamudu.
Watu wakishindwa kununua kwasababu ya bei maana yake, itabidi wafanyabiashara washushe bei ili mzigo uende.
Hilo ndio soko huria.
Mkuu mtu kufanya makosa ya wazi haipi nafasi ya kumsafisha Jpm alifanya makosa na kuna sehemu alifanya vizuri ni kawaida ndio maana aliacha usemi mtanikumbuka kwa mazuri yangu sio mabayaWatu wa JF wengi ni wanafki sana!
Mlimtukana JPM humi kwa kusema kuwa anapambana kwaajili ya wanyonge wa nchi hii. Mkasema ninyi sio wanyonge leo mnalialia nini?
Tulieni dawa iwaingie 'mwendazake kaenda!
Msufuria gani huo mkuu namimi nika nunue,Mkuu wengine tunapikia UMEME gas ziada tu. Nilikuwa nikinunua gas NAONA hasara tu,nikatafuta msufuria wa umeme hautumii umeme mwingi, kila ninachotaka kupika nautumia huohuo Mkuu natumia 20 kwa mwezi
Huku Dodoma kuna bawa lilijengwa na Mjerumani tangu miaka ya 50 na bado mpk leo lipo na linatoa maji kwajili ya kilimo cha umwagiliaji na matumizi mengine na halijawahi kukaukaSiku wabunge wakianza ishi maisha kama yetu ndipo watakuwa serious.
Haiwezekani wafeel ugumu wa maisha kwa posho wanayopewa, mafta lita 1000 kwa mwezi. Never ever.
Kuna muda naona waziri anaongea vitu ambavyo kiuhalisia ni tofauti na hali ya mtaa ilivyo.
Maji hakuna halafu waziri anapita mtaani anashika bomba la maji anawajazia watu kwenye madumu eti ionekane ndo anachapa kazi na watz wanafurahi eti waziri huyu mchapakazi asilaumiwe ukame ni maamuzi ya Mungu.
Sasa si serikali ikae pembeni tuishi kwa kudra na maamuzi ya Mungu tu
Ukiendekeza hizi tabia utaanza kuwa mtu wa ajabu kwenye jamiiIla ni mzuri wa sura isee!
Siku za mwanzoni, watu kumshangilia sana mabarabarani kila akatizapo, ilinipa wakati mgumu sana nikijiuliza maswali bila kupata majibu... "ni nini kipya kaleta huyu mama?"
Limeendelea kunitafuna hilo swali hadi juzi nilipokuja kufafanuliwa na mama mmoja kwamba: asilimia kubwa ya binadamu(wanawake kwa wanaume) huvutiwa sana na mishepu ya wanawake ama wanawake wenzao.
Huburudika na kuona kama dhiki zao zinapungua kila waangaliapo mshepu wa adabu!
Na kama kiongozi ana mshepu sawasawa, basi watu hujaa pomoni, msioelewa mtadhani wamevutiwa na sera, kumbe watu wana burudani zao!
Nilipojichunguza, nami nikahisi nnao huo udhaifu. Ninapenda sana viongozi warembo.
Tena tukiwa ofisi moja, napenda awe ananiita ita kunituma kazi mara kwa mara, ama kunifanya chawa wake kabisa ili nipate muda wa kumuangalia na kuongea naye.
Mfano mwingine mi' si shabiki wala sielewi formation za mpira wa wanawake "netball", lakini hujikuta navutiwa na kwenda kwenye viwanja vya netball kila nikisikia kuna timu za kina mama zina cheza uwanjani, hiyo ni kwaajili ya kwenda kuona mishepu na si kuangalia mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app