Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

Soma hii taarifa yao
262186165_181296897475056_1380221153643612513_n.jpeg
262186165_181296897475056_1380221153643612513_n.jpeg
262186165_181296897475056_1380221153643612513_n.jpeg
 
Ewura imetangaza kupanda kwa bei ya gesi za kupikia kulikosababishwa na ongezeko la bei kwenye soko la dunia.

Bei itaongezeka kwa Tsh 2000 hadi 5000 kulingana na ujazo wa mtungi.
Samahani kwa usumbufu utakaojitokeza.

Chanzo: Swahili Times

Maendeleo hayana vyama!

----------------

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani.
Tatizo ni kwamba wafanyabishara wakubwa wa nishati wako madarakani, tutakoma
 
Tutanyanyaswa mpaka lini?

Tuamke watanzania, gesi ipo Mtwara tena ya kumwaga, hayo mambo ya kutangazia kuwa bei imepanda wawatangazie mabeberu
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani

---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani

Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya

Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga

Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000

Na ya 53000 itauzwa 58000

Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala

Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Itauzwa lini wakati tayari tunanunua hiyo Bei uliyoiweka hapo? Mkuu hawa EWURA ni janga jingine kwa sisi raia.
 
Bidhaa ya gesi haina perfect substitute .... Hizo kanuni zina apply kama bidhaa ina perfect substitute.

Mfano. Mkate ukipanda bei kuna maandazi, chapati, keki na vitumbua.

Pepsi ikipanda bei kuna coca-cola etc

Maji ya Kilimanjaro yakipanda bei kuna hillwater na mengineyo.

So ni ngumu sana bidhaa ambayo haina mbadala timilifu kukosa wateja inapopanda bei.

Ndio maana tunasisitiza sana kuwe na ushindani wa wachimbaji wa gesi yaani isiwe from a single source. Na umeme pia kuwe na producer wa umeme cheap zaidi ya huu wa tanesco. Ili tumfunze adabu tanesco ashushe bei.




Unapigia mbuzi gitaa... nzi za kijani hazielewi kabisa
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani

---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani

Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya

Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga

Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000

Na ya 53000 itauzwa 58000

Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala

Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali

792CE796-9439-4DA1-869E-F2FC0A300CC0.jpeg
 
Tafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Mnapanda watu juu ya vichwa na kuwafananisha na mbweha siyo? Kweli kila kwenye watu 4 mmoja mirembe day mimeamini
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani

---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani

Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya

Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga

Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000

Na ya 53000 itauzwa 58000

Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala

Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Mungu wangu kwanini wasishushe kodi ili bei isipande
 
"Tatizo soko la dunia"

Hiyo gesi tuliambiwa ilishauzwa sio ya kwetu, bado hamuelewi?!
 
Back
Top Bottom