Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

KILA kitu bei leo bati moja reject eti ni 22000,mpya 35 Bandari laki 4 na nusu,huyu mama na mwigulu udhani watz wote wanamiliki iphone
 
Poa tu wacha wapinzani waisome namba
 
Poa tu wacha wapinzani waisome namba
 
Tafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Unaye lia kama mbweha ni wewe unayeishi kwa shemeji yako.

Hujui sembe inapatikana vipi wala shuka ya kujifunika.
 
"Tatizo soko la dunia"

Hiyo gesi tuliambiwa ilishauzwa sio ya kwetu, bado hamuelewi?!
Hadi kupanda kwa sabuni napo sababu ni soko la dunia?
Kuna issue nyingine kabisa kwenye huu upandaji wa bidhaa
 
Huyo ni kula kulala tena kwa shemeji yake unategemea atajuaje ugumu wa maisha?
 
Ukiona mfanyab8ashara amepandisha bei ya kitu na bado watu wananunua tu, ujue watu wanamudu.

Watu wakishindwa kununua kwasababu ya bei maana yake, itabidi wafanyabiashara washushe bei ili mzigo uende.

Hilo ndio soko huria.
Hii elimu umepata wapi?
 
Watu wa JF wengi ni wanafki sana!
Mlimtukana JPM humi kwa kusema kuwa anapambana kwaajili ya wanyonge wa nchi hii. Mkasema ninyi sio wanyonge leo mnalialia nini?
Tulieni dawa iwaingie 'mwendazake kaenda!
Mkuu mtu kufanya makosa ya wazi haipi nafasi ya kumsafisha Jpm alifanya makosa na kuna sehemu alifanya vizuri ni kawaida ndio maana aliacha usemi mtanikumbuka kwa mazuri yangu sio mabaya
 
Mkuu wengine tunapikia UMEME gas ziada tu. Nilikuwa nikinunua gas NAONA hasara tu,nikatafuta msufuria wa umeme hautumii umeme mwingi, kila ninachotaka kupika nautumia huohuo Mkuu natumia 20 kwa mwezi
Msufuria gani huo mkuu namimi nika nunue,
 
Huku Dodoma kuna bawa lilijengwa na Mjerumani tangu miaka ya 50 na bado mpk leo lipo na linatoa maji kwajili ya kilimo cha umwagiliaji na matumizi mengine na halijawahi kukauka
Mabawa kama hayo yangejengwa na Serikali km alivyofanya mjerumani shida ya maji isingekuwepo.
 
Ukiendekeza hizi tabia utaanza kuwa mtu wa ajabu kwenye jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…