Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

Ukiona mfanyab8ashara amepandisha bei ya kitu na bado watu wananunua tu, ujue watu wanamudu.

Watu wakishindwa kununua kwasababu ya bei maana yake, itabidi wafanyabiashara washushe bei ili mzigo uende.

Hilo ndio soko huria.
Bidhaa ya gesi haina perfect substitute .... Hizo kanuni zina apply kama bidhaa ina perfect substitute.

Mfano. Mkate ukipanda bei kuna maandazi, chapati, keki na vitumbua.

Pepsi ikipanda bei kuna coca-cola etc

Maji ya Kilimanjaro yakipanda bei kuna hillwater na mengineyo.

So ni ngumu sana bidhaa ambayo haina mbadala timilifu kukosa wateja inapopanda bei.

Ndio maana tunasisitiza sana kuwe na ushindani wa wachimbaji wa gesi yaani isiwe from a single source. Na umeme pia kuwe na producer wa umeme cheap zaidi ya huu wa tanesco. Ili tumfunze adabu tanesco ashushe bei.
 
Bidhaa ya gesi haina perfect substitute .... Hizo kanuni zina apply kama bidhaa ina perfect substitute.

Mfano. Mkate ukipanda bei kuna maandazi, chapati, keki na vitumbua.

Pepsi ikipanda bei kuna coca-cola etc

Maji ya Kilimanjaro yakipanda bei kuna hillwater na mengineyo.

So ni ngumu sana bidhaa ambayo haina mbadala timilifu kukosa wateja inapopanda bei.

Ndio maana tunasisitiza sana kuwe na ushindani wa wachimbaji wa gesi yaani isiwe from a single source. Na umeme pia kuwe na producer wa umeme cheap zaidi ya huu wa tanesco. Ili tumfunze adabu tanesco ashushe bei.
Sasa si mpaka tanesco akubali maana ushindani hataki
 
Huko mtaani nasikia eti na elimu ya bure shule za serikali hakuna tena! Kuanzia chekechea tumeambiwa tunaanza "kuchangia ada"

Nani kama mama jamani, uwiiiiiiii, bhagosha!
 
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani
Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya
Tozo, mafuta juu ,gas juu maji na umeme wa kuungaunga
Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000
Na ya 53000 itauzwa 58000
Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala
Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Halafu unakuta limtu limebeba kende zake huku limevaa shati la ccm linakata mauno na kumsifia macho kumchuzi
 
Halafu unakuta limtu limebeba kende zake huku limevaa shati la ccm linakata mauno na kumsifia macho kumchuzi
Ila ni mzuri wa sura isee!

Siku za mwanzoni, watu kumshangilia sana mabarabarani kila akatizapo, ilinipa wakati mgumu sana nikijiuliza maswali bila kupata majibu... "ni nini kipya kaleta huyu mama?"

Limeendelea kunitafuna hilo swali hadi juzi nilipokuja kufafanuliwa na mama mmoja kwamba: asilimia kubwa ya binadamu(wanawake kwa wanaume) huvutiwa sana na mishepu ya wanawake ama wanawake wenzao.

Huburudika na kuona kama dhiki zao zinapungua kila waangaliapo mshepu wa adabu!

Na kama kiongozi ana mshepu sawasawa, basi watu hujaa pomoni, msioelewa mtadhani wamevutiwa na sera, kumbe watu wana burudani zao!

Nilipojichunguza, nami nikahisi nnao huo udhaifu. Ninapenda sana viongozi warembo.
Tena tukiwa ofisi moja, napenda awe ananiita ita kunituma kazi mara kwa mara, ama kunifanya chawa wake kabisa ili nipate muda wa kumuangalia na kuongea naye.

Mfano mwingine mi' si shabiki wala sielewi formation za mpira wa wanawake "netball", lakini hujikuta navutiwa na kwenda kwenye viwanja vya netball kila nikisikia kuna timu za kina mama zina cheza uwanjani, hiyo ni kwaajili ya kwenda kuona mishepu na si kuangalia mpira.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi umekuwa wa michambo..🤣
Kuna shida sana JF, mods wanatakiwa kuondoa baadhi ya comments kutokana na kuharibu mijadala, mtu analeta hoja yenye mashiko anatokea kichaa anaivuruga for personal interests wanamwacha sasa sijui wanamoderate nini
 
Jf ni moja ya mitandao yenye wanafki wengi sana...
 
Tafuta hela wewe uache kulialia kama mbweha kwa vitu vidogo vidogo
Unawezakukuta unahudumiwa na mwanaume mwenzako ndo maana unaona ni vitu vidogo mwanaume anaetafuta kwa jasho hata jero ni kubwa kwake hayupo tayari aiache ipotee mtaani ni lazma aipeleke nyumbani ila kwa wale watumiaji wa nyumban huwa hawaipi thamani hiyo jero
 
Huko mtaani nasikia eti na elimu ya bure shule za serikali hakuna tena! Kuanzia chekechea tumeambiwa tunaanza "kuchangia ada"

Nani kama mama jamani, uwiiiiiiii, bhagosha!
Kwani we kulipia ada ya mwanao waona taabu?
 
Ewura imetangaza kupanda kwa bei ya gesi za kupikia kulikosababishwa na ongezeko la bei kwenye soko la dunia.

Bei itaongezeka kwa Tsh 2000 hadi 5000 kulingana na ujazo wa mtungi.
Samahani kwa usumbufu utakaojitokeza.

Chanzo: Swahili Times

Maendeleo hayana vyama!

----------------

Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani.
 
Back
Top Bottom