Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

Ewura: Bei ya gesi ya kupikia imepanda kwa kati ya Tsh 2000 hadi 5000 kutokana na kupanda kwenye soko la dunia

Huku Dodoma kuna bawa lilijengwa na Mjerumani tangu miaka ya 50 na bado mpk leo lipo na linatoa maji kwajili ya kilimo cha umwagiliaji na matumizi mengine na halijawahi kukauka
Mabawa kama hayo yangejengwa na Serikali km alivyofanya mjerumani shida ya maji isingekuwepo.
Hivyo ndivyo serikali inapaswa kutatua matatizo siyo eti inatwambia sijui mapenzi ya Mungu.
 
Baadae utawasikia, kufikia mwaka 2025 tutapiga marufuku matumizi ya mkaa na kuni ili kulinda mazingira. Huyo ni bwana J.Makamba.
Unapigaje marufuku ya matumizi ya hizo nishati wakati hujajenga mazingira rafiki watu wa kipato cha chini kutumia nishati mbadara?
Mkazo ungewekwa kitengenezwe kiwanda cha kuchakata gesi ya mtwara kwa ajili ya matumizi ya ndani.

Lakini nchi hii hatujui tushike wapi tunashika kila kitu hadi hakuna kinachifanikiwa hata kwa asilima 60.
Yani we are jack of many trades, master of none.

Ajabu yani toka kipindi hicho mpaka sasa hakuna kwianda cha kuprocess gesi ya mtwara ili itumike kwa matumizi ya kupikia ndani. Bado tuan import gas.

Hivi bado tunawaza kuwa hii nchi itakuja kulingana na nchi kama Singapore hata baada ya miaka 100 au tutaendelea laumu wakoloni?
Naanza kuhisi gesi ya mtwara ilishauzwa yote. Hapa sisi tumepigwa kimya chetu ndio kiama chetu.
 
Unapandisha bei ya bidhaa muhimu kwa zaidi ya miaka 5 mfulilizo lkn mishahara na masla mengine hayarekebishwi huo si ungwana hata kidogo.
Kisayansi hii ni wanasema natural immunity system inafanya kazi. Kwamba usipodeal na tatizo then kinga ya asili itadeal nalo.

So dawa ya CCM inajitengeneza taratibu. Na wakitoka hawatakuja kurudi tena na watafutwa katika history ya nchi hii.

Very soon
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani

---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani

Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya

Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga

Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000

Na ya 53000 itauzwa 58000

Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala

Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
HAHAHAA
WAMAMA WANA HURUMA
 
Tumeendelea kupigwa na kitu kizito utosini. Sio poa hata kidogo!
 
Gesi bei juu bati bei juu,reject tu elf 22,mpya 35 tutaezeka kwa nyasi
 
Waipandishe tena kupikia gas ni anasa.Chuma isome 100,000Tshs kwa ule mdogo na ule mkubwa usome hata millioni kasoro.

Ili tuheshimiane hapa mjini , kule kwenye mafuta wapeleke mpak 3,000-5,000 kwa lita heshima iwepo mjini.

Huku tukirudi maji yasipatikane kabisa tununue kuanzia litre 2,000Tshs.

Hapo ndio tutachangamka na uchumi bado bei ndogo sana hizi.
 
Jus Kati Kuna mtu Tena kijana tu kanunua gari pale Toyota million m315 cash sas cjui. Hyo gesi na mafuta anafeel vep Hana hbr
 
Yaani kila kukicha ni majanga tu,, mara umeme, mara mafuta, mara maji, mara tozo, mara cement, mara vifaa vya ujenzi haya na leo gesi tena,,,
Hiiiiiiiiii twafwaaaaaaa______
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani

---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani

Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya

Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga

Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000

Na ya 53000 itauzwa 58000

Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala

Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Ina maana hawajui kuchakata na kusindika GESi ya Tz hadi wanaongelea kupanda kwa bei ya gesi ya nje?
Au ni vile wanasemaga gesi ya Tz siyo ya Tz anymore !
 
Kwanini asitafutwe mwekezaji mwenye nguvu akashirikiana na Tpdc wakapanua usambazaji wa gesi ya kupikia ?
Mbona tpdc wameanza kuwafungia watu wa Mtwara gesi ya kupikia
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupanda kwa bei ya Gesi ya kupikia kwa kati ya Tsh. 2,000 hadi Tsh. 5,000 kulingana na ujazo wa Mtungi

Mabadiliko ya bei hizo ni kutokana na kupanda kwa bei ya Gesi katika Soko la Dunia. EWURA imesema kampuni za Gesi ndizo zitaamua lini zipandishe bei na kwa kiwango gani

---
Watanzania aliyetuloga sijui ni nani

Hawa jamaa wanaamua kutufanya wanavyotaka na hatuna la kuwafanya

Tozo, mafuta juu, gas juu maji na umeme wa kuungaunga

Machinga ndiyo kama vile wametiwa hasara bila kujali

Kwa kifupi tu gas ya 22000 itauzwa 24000

Na ya 53000 itauzwa 58000

Nadhani hii imeanza leo au itaanza kesho kwa mitungi ya oryx

Wananchi tupo tu tunaona ewala

Kuna wakati najilaumu

Ukitaka kumjua mtanzania vizuri lete habari ya yanga au simba au watu waonewe katika nyanja hiyo ndiyo utajua hujui lakini kwenye habari za msingi zinazohusu maisha moja kwa moja hakuna anayejali
Majibu ya kikao cha COP21 kuhusu hatma ya mazingira yetu.

Tunaisoma kimya kimya na hakuna la kufanya
 
Watanzania hawataki katiba mpya, wanataka maji, umeme, gesi, ajira!

Alisikika mlevi mmoja aliyelewa pombe ya kijani na vichaa kadhaa wanaojiita wanyonge wakamshangilia.
Suala la kupanda kwa gesi halina uhusiano wowote na katiba
 
Alafu wanataka kuokoa mazingira kwa staili hii kweli?
 
Back
Top Bottom