EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Safi sana

Watu wakifanya hivyo wenyewe watanyooka

Ova

20220406_170417.jpg
 
Si mnasema Mama Samia anaupiga mwingi??

Anafungua nchi eeehhhh


Et Royo Tuwa ??? .


Maana yake hapo, ni kwamba Nauli zipande, Bidhaa zipande , Gharama za Maisha juu juuu saaaaana !!!

Subirini mpaka ifike elfu 10 Kwa Lita .

NAPOSEMA, NCHI HII INAHITAJI KIONGOZI AINA YA MAGUFULI, KIONGOZI ANAYEAMUA KUTOANGALIA KUNDI LA WACHACHE , KIONGOZI ANAYETOA MAISHA YAKE KWAAJILI YA WATANZANIA , KIONGOZI ANAYEAMUA KUPAMBAJA NA WAFANYA BIASHARA WAJANJA WAJANJA .

MUWE MNAELEWA !!.



Najua watasingizia Vita ya Ukraine , ila ukweli nikwamba, WALE WAFANYABIASHARA, WALIOMCHANGIA SAMIA KWENYE ROYO TUWA, NDO SASA WANARUDISHA PESA ZAO IVO !!.


SAMIA HOYEEEEEE !!.
Ondoa huu ujinga nenda kazikwe nae
 
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258

View attachment 2210381

Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022

Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.

Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa Dar, na kwa Tanga watanunua kwa Tsh. 3,264. Mtwara watauziwa kwa Tsh. 3,309 kwa lita.

Mafuta ya taa hayako nyuma ambapo bei ya lita kwa Dar itakuwa Tsh 3,112. Mikoa mingine itakuwa na bei kutokana na hesabu zitakvyofanyika.

EWURA wamesema mabadiliko ya bei katika soko la dunia yamesababisha 93% ya mabadiliko ya bei

Bei za Jumla
Port Petrol
(TZS/Litre)
Diesel
(TZS/Litre)
Kerosene
(TZS/Litre)
DAR ES SALAAM 3,015.88 3,125.18 2,980.56
TANGA 3,028.72 3,131.39 --
MTWARA 3,044.88 3,176.87 --

View attachment 2210436

View attachment 2210437

View attachment 2210438

View attachment 2210439

View attachment 2210440

April si imepita?
 
Angekuwa Sio Samia bei isingepanda??!! Mafuta kupande bei hayana uhusiano na raisi wa sasa wala alieondoka...
Acha upuuzi wewe. Rais anahusika pakubwa sana. Chini ya jiwe hali isingefika huku hata kidogo
 
Angalia hapo bei mwezi wa tatu yalifika karibu na $130 a barrel, kumbuka hiy ni crude price; refined itakuwa juu zaidi ndio tunayoagiza.

Sidhani kama kuna njama zozote kwenye mafuta za kumuumiza mtanzania; ila policy zao mbovu it must be said zinachangia pia bei kuwa juu.
Hiyo Bei ya $130 ilikaa siku 3 tu , na baada ya hapo yakashuka. Unataka kusema ndani ya hizo siku 3 ndio walinunua hayo mafuta?
 
Wengi mlishangilia uvamizi wa Putin Ukraine maana wabongo kila kitu wanafanya masihara sasa mnaanza kuonja athari za uvamizi. Na bei za mafuta zikipanda, bei za bidhaa na vyakula nazo zitapanda. Maana vyakula na bidhaa vinategemea mafuta kusafirishwa. Na bado msubiri bei za unga wa ngano na mikate zitapanda maana nazo zinaagizwa kutoka Ukraine na Urusi.
Kwa hiyo huku bongo wanaofurahia vita ndio wamesababisha vita iendelee??
 
Mimi sitaki kutumia mihemuko katika hili, ni kweli mafuta yamepanda duniani jana ilikuwa karibia 106$ kwa pipa ni kweli lakini kuna mambo pia yanachangia katika hili. Moja huyo anayeshinda Bulk tender anakuwa kashinda kwa bei maalumu kwa maana aliyeshinda leo tender atasambaza miezi 3 iinayokuja sasa swali kwanini kusiwe na notice ya miezi mitatu kuwa aliyeshinda kwa sasa mafuta ya mwezi wa sita yatakuwa bei hii sababu nasema hivi mtu akija ku tender huku anakuwa kishiingia makubaliano ya supply ya miezi mitatu iweje tangazo lije usiku tu kesho yanapanda. Haya yaliyopanda ni lini yaliletwa? kuna rushwa kubwa katika mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja, Nilidhani kama kipindi kile wa kusema baada ya miezi mitatu bei itashuka kwa kiasi hiki sababu aliyeshinda tender kampuni ya TPDC wame tender bei ya chini sasa iweje jana usiku linakuja tangazo? Ni muhimu sasa kujuwa hizi tender wanashindaje? navyojuwa huwezi kushinda tender halafu ukaja kubadili bei njiani inakuwa tender yote batili. ulishinda kwa bei hii huwezi kubadili. Makamba lazima aje hadharani aelezee imekaaje hii.
Mafuta yameshuka duniani,. Kabla yalikua $126, ikaenda $110 na sasa ndio hiyo $106. Kwa hiyo yameshuka. Njoo na sababu zingine
 
Kwani bado wapo ?
Watakuwa wapo mkuu!

Maana mama anaupiga mwingi na haya yote anayafanya ili kumkomoa marehemu na sukuma gang ili kuwafurahisha machadema na kina zitto huku akiwafuta machozi baada ya kuonewa sana kwa miaka 6.
.
Au unasemaje ndugu yangu si mnapumua nyie?
 
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258

View attachment 2210381

Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022

Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.

Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa Dar, na kwa Tanga watanunua kwa Tsh. 3,264. Mtwara watauziwa kwa Tsh. 3,309 kwa lita.

Mafuta ya taa hayako nyuma ambapo bei ya lita kwa Dar itakuwa Tsh 3,112. Mikoa mingine itakuwa na bei kutokana na hesabu zitakvyofanyika.

EWURA wamesema mabadiliko ya bei katika soko la dunia yamesababisha 93% ya mabadiliko ya bei

Bei za Jumla
PortPetrol
(TZS/Litre)
Diesel
(TZS/Litre)
Kerosene
(TZS/Litre)
DAR ES SALAAM3,015.883,125.182,980.56
TANGA3,028.723,131.39--
MTWARA3,044.883,176.87--

View attachment 2210436

View attachment 2210437

View attachment 2210438

View attachment 2210439

View attachment 2210440
Tutakoma kurudisha wahuni madarakani
 
Watakuwa wapo mkuu!

Maana mama anaupiga mwingi na haya yote anayafanya ili kumkomoa marehemu na sukuma gang ili kuwafurahisha machadema na kina zitto huku akiwafuta machozi baada ya kuonewa sana kwa miaka 6.
.
Au unasemaje ndugu yangu si mnapumua nyie?
Kila mada unaingizia hayo mambo, kwani huwezi kuzungumzia mengine?
 
Kwamba mafuta yalikuwa ya importation ya march bei zikiwa juu LAKINI ndani tukauziwa bei nafuu..ila sasa duniani bei zimeshuka LAKINI ndani bei zimepanda !!?? Na diesel imekuwa bei zaidi ya Petrol!!? Umetumia principle Gani au theory Gani ya uchumi kuelezea haya!!??
Hakuna theory hapo ni maswala ya production planning na muda unaonunua.

Biashara ya mafuta sio kama ya madafu unatoka kufua moja kwa moja unauza kwa bei ya soko siku hiyo hiyo.

Ununuzi wa mafuta inabidi utoe order yako in advance na production zina lead time especially kwenye refinery products.

Inabidi yatolewe ardhini, yasafirishwe kama unanunua India, wasafishe, ndio upewe. Kwa ivyo unatoa order yako mapema.

Wazalishaji pia wanajukumu la kupanga capacity planning kutokana na limit on how much they can store in a day sio shughuli ndogo.

Ndio maana ata hao Saudi Arabia wana subcontract baadhi ya refinery za India kuwasafishia mafuta; uamki tu asubuhi na kununua mafuta. Inabidi utoe order well in advance na utalipa kutokana na siku unayonunua ata kama mafuta yako utayapata baada ya mwezi.

Kukwepa risk za namna hiyo watu wanaingia contract za ununuzi wa mwaka mzima na hedging on price ceiling and floors against unexpected shocks.

Lakini kwa mtu anaenunua kwa mwezi unakuwa vulnerable to developments in external factors zinazofanya bei ya mafuta kupanda na kushuka.
 
Mafuta kwenye soko la dunia yameshuka kidogo, Ila huku Bei imepanda. nadhani unaelewa nn kinaendelea
Sii kuwa yameshuka kidogo bali yako kama mwezi ulopita, mshangao ni hiyo bei imepandaje
 
Back
Top Bottom