EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Tumeanza kumkuna bimkubwa, naona mambo yanazidi kuwa hovyo tu sasa. Yani ukiwa na 30k hupati lita kumi?

Ningekuwa na hela ningeweka mfumo wa gas wallah! This is absurd!
 
Tukimlaumu Rais samia tunamuonea tu nina uhakika huyu mama mambo mengi ya Tanzania hayajui

Rais samia anamsikiliza mstaafu katika kuongoza nchi na teuzi nyingi anapangiwa na mzee na mama analipa fadhila kwani ndiye aliyempa umakamu wa Rais uliopelekea akaupata uRais

Ndugai yale maneno hakuropoka anajua nchi imeharibika

Hili kundi linaiba pesa litakalowafanya uchumi ubaki kwa watu 15 tu na ndio watakuwa na maamuzi ya siasa za Tanzania

Wameshamiliki chama
Wameshamiliki uchumi
Wameshamiliki media kubwa
Watamiliki nishati
Wanamiliki biashara

Magufuli umekufa na ndoto zako baba za kuifanya tanzania kuwa nchi ya usawa
Tanzania inaenda kuwa Oligarchy state! Sahauni kuhusu demokrasia na utawala bora.
Namna pekee ya kujinasua ni kuanzisha strikes tu. Mabadiliko hayatakuja kwa kubembelezana na watawala.
 
Demokrasia oyee!

Hii si ndio demokrasia mnayoililia? Nchi inafunguliwa kibiashara na kimkakati! [emoji23][emoji23][emoji23]

Alipokuwepo Magufuli anayejua nini nchi inataka, mkamuita DIKTETA na MSHAMBA.

Hapo vipi! Mnalamba asali sasa chini ya demokrasia imara! [emoji23][emoji23][emoji23]

Sukuma gang wanakomeshwa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kimsingi mama katukabidhi buyu la asali 😅😅😅😅😅 yule kamanda waliemuita dikteta uchwara naona soon ataanza ki make sense!
 
Si mnasema Mama Samia anaupiga mwingi??

Anafungua nchi eeehhhh


Et Royo Tuwa ??? .


Maana yake hapo, ni kwamba Nauli zipande, Bidhaa zipande , Gharama za Maisha juu juuu saaaaana !!!

Subirini mpaka ifike elfu 10 Kwa Lita .

NAPOSEMA, NCHI HII INAHITAJI KIONGOZI AINA YA MAGUFULI, KIONGOZI ANAYEAMUA KUTOANGALIA KUNDI LA WACHACHE , KIONGOZI ANAYETOA MAISHA YAKE KWAAJILI YA WATANZANIA , KIONGOZI ANAYEAMUA KUPAMBAJA NA WAFANYA BIASHARA WAJANJA WAJANJA .

MUWE MNAELEWA !!.



Najua watasingizia Vita ya Ukraine , ila ukweli nikwamba, WALE WAFANYABIASHARA, WALIOMCHANGIA SAMIA KWENYE ROYO TUWA, NDO SASA WANARUDISHA PESA ZAO IVO !!.


SAMIA HOYEEEEEE !!.
Watakuita Sukuma Gang ila umepiga kwenye mshono 😅😅😅 JPM alikuwa raisi kwa wakati sahihi ambapo taifa lilimuhitaji!
Soon tutaongea lugha moja
 
Angekuwa Sio Samia bei isingepanda??!! Mafuta kupande bei hayana uhusiano na raisi wa sasa wala alieondoka...
Magufuli ange figure out cha kufanya ikibidi reserve zijengwe kama hamna. Hiki kilichotokea ni sabotage ya wafanyabiashara.

Tunaumizwa katika mtindo ule ule wa imposition of tozo.
 
Si mnasema Mama Samia anaupiga mwingi??

Anafungua nchi eeehhhh


Et Royo Tuwa ??? .


Maana yake hapo, ni kwamba Nauli zipande, Bidhaa zipande , Gharama za Maisha juu juuu saaaaana !!!

Subirini mpaka ifike elfu 10 Kwa Lita .

NAPOSEMA, NCHI HII INAHITAJI KIONGOZI AINA YA MAGUFULI, KIONGOZI ANAYEAMUA KUTOANGALIA KUNDI LA WACHACHE , KIONGOZI ANAYETOA MAISHA YAKE KWAAJILI YA WATANZANIA , KIONGOZI ANAYEAMUA KUPAMBAJA NA WAFANYA BIASHARA WAJANJA WAJANJA .

MUWE MNAELEWA !!.



Najua watasingizia Vita ya Ukraine , ila ukweli nikwamba, WALE WAFANYABIASHARA, WALIOMCHANGIA SAMIA KWENYE ROYO TUWA, NDO SASA WANARUDISHA PESA ZAO IVO !!.


SAMIA HOYEEEEEE !!.
UMEFUMUA MSHONO MKUU SASA MAUMIVU NI MAKALI SANA.
 
Watakuita Sukuma Gang ila umepiga kwenye mshono [emoji28][emoji28][emoji28] JPM alikuwa raisi kwa wakati sahihi ambapo taifa lilimuhitaji!
Soon tutaongea lugha moja
Hakika.

Kipindi cha JPM. Nlibahatika kukutana na Balozi wa nchi flani hapa Tz nyumbani kwake... Katikati ya maongezi Jamaa akasema; Rais mnaye sema tu hatokaa sana, Chuki ni Kubwa mno from outside.
 
Magufuli ange figure out cha kufanya ikibidi reserve zijengwe kama hamna. Hiki kilichotokea ni sabotage ya wafanyabiashara.

Tunaumizwa katika mtindo ule ule wa imposition of tozo.
Nakumbuka Muswada wa Tozo hata kabla ya kupelekwa kwake... Once when rumours has it, Mzee aliwaka kilimi akawaambia Wakunyonywa na Kukatwa hiyo Tozo sio Watanzania bali ni hawa Wezi wa Kizungu tutadeal nao mpaka wanyooke.

Zungu na wenzie wakaufyata. Mama alipoingia tu, wakapempelekea na Sasa tumeshazoea.

Hata Ushoga ulianzaga hivihivi huko nje mwisho wamezoea na kuona ni kawaida hata kufikia kudai haki zao mbalimbali.
 
Badala ya kutumia pesa kuagiza mafuta waweke reserve wajenge hata emergency reserve kwa dharula usiku na mchana wao hela wanatumia kufanya utalii angani..

Tutakukumbuka magufuli hakika ungekuwepo atleast bei ingekuwa himilivu.
Emergency reserve za serikali zipo. Ila wanahifadhia mafuta ambayo si ya serikali na hapo ndio utashangaa
 
Demokrasia oyee!

Hii si ndio demokrasia mnayoililia? Nchi inafunguliwa kibiashara na kimkakati! [emoji23][emoji23][emoji23]

Alipokuwepo Magufuli anayejua nini nchi inataka, mkamuita DIKTETA na MSHAMBA.

Hapo vipi! Mnalamba asali sasa chini ya demokrasia imara! [emoji23][emoji23][emoji23]

Sukuma gang wanakomeshwa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nafikiri suala la nchi kuwa na demokrasia halina relation na ishu ya bei.
Nchi inaweza ikawa ya kikomunist lakin kama viongozi wake ni vihiyo maisha yatakuwa gharama tu.

Sasa hapo ndio utash wa viongoz unatakiwa uonekane
 
Wengi mlishangilia uvamizi wa Putin Ukraine maana wabongo kila kitu wanafanya masihara sasa mnaanza kuonja athari za uvamizi. Na bei za mafuta zikipanda, bei za bidhaa na vyakula nazo zitapanda. Maana vyakula na bidhaa vinategemea mafuta kusafirishwa. Na bado msubiri bei za unga wa ngano na mikate zitapanda maana nazo zinaagizwa kutoka Ukraine na Urusi.
 
Sasa umetumia akili au umeona sources? Mimi kama ningeona source nisinge uliza lile swali sasa kutokea hapa baada ya kuona chanzo then naweza kutoa maoni yangu.
Thomaso una matatizo sana .... SI ufanye kwenda kituo Cha mafuta Cha jirani na ulipo tu.
 
Back
Top Bottom