EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Tuendelee na kazi, mbona mnalialia...
 
Bei imetangazwa muda huu. Ingetangazwa mapema watu wangeendaa kununua
Wafanyabiashara wa jumla walijua ndio maana walificha mafuta wiki iliyopita .hali ni tete kwa mtanzania wa kawaida
 
Na bado

Hii hadi wapiga mapambio wa Lumumba waelewe
 
Kuna post nimeandika kuhusu average costing za inventory na mambo ya procurement contract.

Wazalishaji wa mafuta yaliyosafishwa bei zao zinaangalia wastani wa gharama za mwezi mzima na other risk factors za muda husika kupanga bei awauzi kwa bei ya siku hadi siku.
 
Hatupo kuisifu Urusi...vita ndio sababu kubwa ya kupanda mafuta..
Kwa nini unamwangilia aliyefanya kitendo,angalia chanzo-chanzo cha matatizo yote ni NATO.hao NATO wasingekuwa wakorofi dhidi ya Russia hayo yasingetokea.
 
Sijui hata kama tunaelewana
 
Hata aweke 4000 watanzania nao wajua Mimi watalalamila siku chache tu watasahau...Kama mlivosahau tozo na kuona kawaida...nyie lalamikeni kesho mtazoea na mtasahau..
 
Soma tena ulichoandika na nilichokujibu.
Nimekuambia miezi mitatu nyuma bei ilikua $90, ikapanda hadi $126 Kati Kati ya Machi. Mwishoni mwa mwezi Machi Bei ikaanza kushuka, na ndio sasa ipo $106
Sasa haya uliyoeleza sijui unaeleza nn
Nimekwambia taja nchi moja duniani mafuta hayajapanda moja tu. Shida sio kupanda shida ni umaskini wetu. Nimekujibu bei 126 ni wiki moja tu average ni 96$ kutoka kwenye 60 sasa yamepanda au yameshuka kwa tafsiri yako.
 
Lazima tumlaumu yeye si ndio kiongozi
 

 
Hii Nchi inahitaji Rais mwenye akili zaidi ya Nyerere na mwendawazimu zaidi ya Magufuli lasivyo hakuna chochote tuta achieve kama Nchi.Tatizo kubwa ambao wanatakiwa wafanye maamuzi wa hayo mambo uliyo suggest hapo ndio hao hao wanufaika na hizo biashara-what do you expect??.

Mfano mzuri karibu Nchi 6-8 mafuta yao yanapita katika bandari yetu,tunaweza kutumia charges za shehena za mafuta yanayopita kwetu kwenda hizo Nchi na Yale mafuta yetu tukaweka tozo kidogo sana.

Hii Nchi tunakwamisha na viongozi wetu-na sisi tupo kama mazezeta hatufanyi chochote.
 
Sijui hata kama tunaelewana
Mimi nakuelewa sema wewe labda ndio unielewi.

Nimekueleza bei ya mwezi mzima kwa wasafishaji inakuwa gauged with average costing not FIFO. So mwezi wa tatu on average bei ilikuwa juu zaidi.

Good Morning 👋
 
Mafuta kwenye soko la dunia yameshuka kidogo, Ila huku Bei imepanda. nadhani unaelewa nn kinaendelea
Mafuta tunayotumia mwezi huu wa tano yamenunuliwa mwezi wa tatu ambapo yalikuwa yameanza kupanda baada ya vita, na bado ya mwezi ujao yatakuwa juu zaidi maana ni yale ambayo bei ilipita USD 113+ per barrel [emoji28][emoji28][emoji28] so tujiandae tu
 
Tatizo lao wana elimu ya kukariri sio ya ubunifu.

Magufuli was special and the good die earlier.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…