myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
NATO wana majeshi Ukraine? Wanaua watoto na wanawake? Wanapiga makombora shule na hospitali?..Kwa nini unamwangilia aliyefanya kitendo,angalia chanzo-chanzo cha matatizo yote ni NATO.hao NATO wasingekuwa wakorofi dhidi ya Russia hayo yasingetokea.
Chini ya Jiwe kivipi wote wale wale tu kwani huo mfumo wa ununiaji mafuta kwa bulk purchase si aliuleta yeye Magufuli,alitaka kila kitu ifanye Serikali.Acha upuuzi wewe. Rais anahusika pakubwa sana. Chini ya jiwe hali isingefika huku hata kidogo
Magufuli ndio alioleta huo mfumo wa bilk purchase,kwa kigezo kuwa wafanyabiashara walikuwa wanapandisha bei za mafuta kiholela holela-so haya tunayoyazungumza ni matunda yake.Tatizo lao wana elimu ya kukariri sio ya ubunifu.
Magufuli was special and the good die earlier.
Hapa sababi kubwa ni uongozi,na kibaya zaidi uongozi huo ndio unaofanya hizo biashara.Mafuta yameshuka duniani,. Kabla yalikua $126, ikaenda $110 na sasa ndio hiyo $106. Kwa hiyo yameshuka. Njoo na sababu zingine
Uwe unatumia akili. Mafuta yalipanda huko kwenye soko la dunia, na huku yakapanda na kufika hiyo 2800+ , ila huko kwenye soko la dunia yameshuka inapaswa na huku kushuka Ila badala yake yamepandaNimekwambia taja nchi moja duniani mafuta hayajapanda moja tu. Shida sio kupanda shida ni umaskini wetu. Nimekujibu bei 126 ni wiki moja tu average ni 96$ kutoka kwenye 60 sasa yamepanda au yameshuka kwa tafsiri yako.
Mwezi ujao yatakua juu zaidi kivipi ikiwa bei zimeshuka?Mafuta tunayotumia mwezi huu wa tano yamenunuliwa mwezi wa tatu ambapo yalikuwa yameanza kupanda baada ya vita, na bado ya mwezi ujao yatakuwa juu zaidi maana ni yale ambayo bei ilipita USD 113+ per barrel [emoji28][emoji28][emoji28] so tujiandae tu
Umekosea mfumo wa bulk ulikuja wakati wa kikwete 2011.Chini ya Jiwe kivipi wote wale wale tu kwani huo mfumo wa ununiaji mafuta kwa bulk purchase si aliuleta yeye Magufuli,alitaka kila kitu ifanye Serikali.
Tena huyo Magufuli wenu ndio yangepaa mpaka 10,000.
Linganisha sasa na pesa ya madafu ndio utajua imepanda au imeshuka
Tozo, tozo, tozo...Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258
View attachment 2210381
Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022
Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.
Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa Dar, na kwa Tanga watanunua kwa Tsh. 3,264. Mtwara watauziwa kwa Tsh. 3,309 kwa lita.
Mafuta ya taa hayako nyuma ambapo bei ya lita kwa Dar itakuwa Tsh 3,112. Mikoa mingine itakuwa na bei kutokana na hesabu zitakvyofanyika.
EWURA wamesema mabadiliko ya bei katika soko la dunia yamesababisha 93% ya mabadiliko ya bei
Bei za Jumla
Port Petrol
(TZS/Litre)Diesel
(TZS/Litre)Kerosene
(TZS/Litre)DAR ES SALAAM 3,015.88 3,125.18 2,980.56 TANGA 3,028.72 3,131.39 -- MTWARA 3,044.88 3,176.87 --
View attachment 2210436
View attachment 2210437
View attachment 2210438
View attachment 2210439
View attachment 2210440
Uko sahihi, mwezi wa tatu mafuta yalipanda hadi dola 123 kwa pipa huku bei ilipanda pia hadi shilingi 2800 kwa lita, kutoka mwezi wa tatu mafuta yalianza kushuka hadi yamefika dola 105 kwa pipa leo hii, lakini kwetu badala ya kushuka yamepanda.Uwe unatumia akili. Mafuta yalipanda huko kwenye soko la dunia, na huku yakapanda na kufika hiyo 2800+ , ila huko kwenye soko la dunia yameshuka inapaswa na huku kushuka Ila badala yake yamepanda
Hapo kipo kigumu?
You are right. Lakini niseme, tunahitaji mifumo bora ya kuwawajibisha viongozi. Kwa sasa kila kiongozi anafanya yake akijua hakuna consequences. Ok. Unahitaji mwendawazimu kuliko JPM. Swali ni vipi maamuzi yake yanalenga kumkomboa mwananchi wa kawaida? JPM was basically above the law na wote tukakubali (hatukuwa na namna) kwa kivuli kwamba anajenga uchumi. Lakini alitumia nguvu kubwa kujiimarisha kimamlaka kwa kuwaumiza wapinzani wake. Mimi sioni kuzuia bunge live, kuwafunga mdomo wapinzani, kuzuia uhuru wa kawaida na habari ulivyolinufaisha taifa. In fact ufisadi kipindi cha JPM ulishamiri. Ingawa haukuandikwa popote kwa sababu hakuna gazeti lililokuwa na courage ya kufanya hivo.Hii Nchi inahitaji Rais mwenye akili zaidi ya Nyerere na mwendawazimu zaidi ya Magufuli lasivyo hakuna chochote tuta achieve kama Nchi.Tatizo kubwa ambao wanatakiwa wafanye maamuzi wa hayo mambo uliyo suggest hapo ndio hao hao wanufaika na hizo biashara-what do you expect??.
Mfano mzuri karibu Nchi 6-8 mafuta yao yanapita katika bandari yetu,tunaweza kutumia charges za shehena za mafuta yanayopita kwetu kwenda hizo Nchi na Yale mafuta yetu tukaweka tozo kidogo sana.
Hii Nchi tunakwamisha na viongozi wetu-na sisi tupo kama mazezeta hatufanyi chochote.
Waoga na wanafiki waliokimbilia vikwazo ndiyo walaumiwe.Walipaswa kuingia uwanja wa vita kumpiga Urusi na siyo kuweka vikwazo kwa mtegemewa.Tunalipia madhara ya vita!!...
Halafu kuna watu wanasifia Urusi kuvamia nchi nyingine....
Umesema kweli kabisa nguvu ilitumika kuzuia waandishi.You are right. Lakini niseme, tunahitaji mifumo bora ya kuwawajibisha viongozi. Kwa sasa kila kiongozi anafanya yake akijua hakuna consequences. Ok. Unahitaji mwendawazimu kuliko JPM. Swali ni vipi maamuzi yake yanalenga kumkomboa mwananchi wa kawaida? JPM was basically above the law na wote tukakubali (hatukuwa na namna) kwa kivuli kwamba anajenga uchumi. Lakini alitumia nguvu kubwa kujiimarisha kimamlaka kwa kuwaumiza wapinzani wake. Mimi sioni kuzuia bunge live, kuwafunga mdomo wapinzani, kuzuia uhuru wa kawaida na habari ulivyolinufaisha taifa. In fact ufisadi kipindi cha JPM ulishamiri. Ingawa haukuandikwa popote kwa sababu hakuna gazeti lililokuwa na courage ya kufanya hivo.
Mwisho wa siku viongozi wetu inabidi watambue kwamba wakifanya madudu wataadhibiwa kwa sanduku la kura au kwa sheria hata wakitoka madarakani. Kwa sasa baadhi ya wananchi na elites wanaofaidi nchi wanaona katiba ni agenda ya wapinzani. Lakini tunashindwa kuelewa katiba mbovu inatuathiri sote. Leo mtu anaweza kuja na maamuzi ya ajabu kweli kweli...na hakuna atakapowajibishwa. Siasa za kiimla na kukosa uwajibikaji haziwezi kutupa nafuu ya maisha kamwe.
Angalia akina Kinana, Membe nk..walionja joto ya jiwe kipindi cha JPM. Ungetegemea baada ya kupata second chance ndo wapambanie mifumo bora....lakini wapi....they are eating! Tanzania ufisadi haukuwahi kuisha wala kupungua. Tofauti ni kwamba JPM alifanikiwa kuuficha usiandikwe na Samia karuhusu ulipotiwe.