Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 906
- 1,401
Acha yapande, hata ikifika Lt 10000 tutanunua..Stupid garbage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ya Tshs 599Tofauti ni shingap na bei ya mwanzo
😳 source tafadhaliMafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148
Hamna watu wanajua kujiliza liza kamaSwali zuri sana
Ova
Imepanda au imeshuka?Bei imetangazwa muda huu. Ingetangazwa mapema watu wangeendaa kununua
Anaupiga mwingiMafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258
View attachment 2210381
Kwa akili yako umelala ukaoteshwa kesho mafuta 3200.Tumia akili
Si kwakuwa hamtoi hela yenu bali mpaka mhongwe mamaaaaeeTutanunua tu....
Sasa umetumia akili au umeona sources? Mimi kama ningeona source nisinge uliza lile swali sasa kutokea hapa baada ya kuona chanzo then naweza kutoa maoni yangu.Nimekuambia tumia akili nikijua akili unazo.
Haya hiyo hapo taarifa ya ewura
View attachment 2210428