EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258

View attachment 2210381

Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022

Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita.

Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa Dar, na kwa Tanga watanunua kwa Tsh. 3,264. Mtwara watauziwa kwa Tsh. 3,309 kwa lita.

Mafuta ya taa hayako nyuma ambapo bei ya lita kwa Dar itakuwa Tsh 3,112. Mikoa mingine itakuwa na bei kutokana na hesabu zitakvyofanyika.

EWURA wamesema mabadiliko ya bei katika soko la dunia yamesababisha 93% ya mabadiliko ya bei

Bei za Jumla
Port Petrol
(TZS/Litre)
Diesel
(TZS/Litre)
Kerosene
(TZS/Litre)
DAR ES SALAAM 3,015.88 3,125.18 2,980.56
TANGA 3,028.72 3,131.39 --
MTWARA 3,044.88 3,176.87 --

View attachment 2210436

View attachment 2210437

View attachment 2210438

View attachment 2210439

View attachment 2210440
Sawa kule tunaambiwa tukimkuna atatukuna vizuri huku akipuliza sijui kama ana habari na hii bei mpya
 
Tunalipia madhara ya vita!!...

Halafu kuna watu wanasifia Urusi kuvamia nchi nyingine....
Wapigane tu, shida viongozi hawajiamini, tushazoea utumwa sie Afrika. Mhindi anayununua mafuta kwa bei cheee tu. Sisi Afrika tunamuogopa bwana Marekani na waulaya.
 
Unazungumzia habari za mwezi April kwa kukaririshwa, au ni typing error?
 
  • Thanks
Reactions: tbl
Cap-prices-wef-4-May-2022-English-2.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-3.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-4.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-5.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-6.jpg

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-7.jpg
 

Attachments

Back
Top Bottom