jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Katav 3349 kutoka 2200 utawala ule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwe na hiace la mtaaniDaaaah!!! sasa inabidi majirani tunaofanya kazi eneo moja tuanze kuchangishana...tutumie gari moja kupunguza gharama.
Sisi wa katavi Namba tutaisoma sana huu utawala sidhani Kama upo kwa ajili ya kuwatumikia watanzaniaKatav 3349 kutoka 2200 utawala ule
Sukuma gang tumekimbizwa mchakamchaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Demokrasia oyee!
Hii si ndio demokrasia mnayoililia? Nchi inafunguliwa kibiashara na kimkakati! [emoji23][emoji23][emoji23]
Alipokuwepo Magufuli anayejua nini nchi inataka, mkamuita DIKTETA na MSHAMBA.
Hapo vipi! Mnalamba asali sasa chini ya demokrasia imara! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sukuma gang wanakomeshwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ujue hapo kinachoangaliwa Ni consumption...watu wamepandisha kule kunakoingiza faida kubwaaa...roli moja linakunywa Lita 1000 ko wameona wakomae na diesel Zaid , Mambo ya linear programming hayaYani Diesel ipo bei juu kuliko petrol
Hili zigo namtwisha wazir wa feza na nishati wanona sawa tu kurndeleza kudumaza uchumi wa watu na kusababisha watu kuiba serekaliYani Diesel ipo bei juu kuliko petrol
Eeehh Mkuu, Hii inchi sukuma gang tumejaaa Sasa ndo tunakomeshwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]