EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi

Naona giant wote wamejikita kwenye biashara ya mafuta. Wacha tuendelee kuuza Sumu ya panya kwa kutembeza
 
Tukimlaumu Rais samia tunamuonea tu nina uhakika huyu mama mambo mengi ya Tanzania hayajui

Rais samia anamsikiliza mstaafu katika kuongoza nchi na teuzi nyingi anapangiwa na mzee na mama analipa fadhila kwani ndiye aliyempa umakamu wa Rais uliopelekea akaupata uRais

Ndugai yale maneno hakuropoka anajua nchi imeharibika

Hili kundi linaiba pesa litakalowafanya uchumi ubaki kwa watu 15 tu na ndio watakuwa na maamuzi ya siasa za Tanzania

Wameshamiliki chama
Wameshamiliki uchumi
Wameshamiliki media kubwa
Watamiliki nishati
Wanamiliki biashara

Magufuli umekufa na ndoto zako baba za kuifanya tanzania kuwa nchi ya usawa
Sasa si ajiuzulu kama anapelekeshwa
 
Mbona kipindi hiki hawajaandika yameongezeka kwa kiasi gani? Wametubandikia bei tu
 
Hakuna theory hapo ni maswala ya production planning na muda unaonunua.

Biashara ya mafuta sio kama ya madafu unatoka kufua moja kwa moja unauza kwa bei ya soko siku hiyo hiyo.

Ununuzi wa mafuta inabidi utoe order yako in advance na production zina lead time especially kwenye refinery products.

Inabidi yatolewe ardhini, yasafirishwe kama unanunua India, wasafishe, ndio upewe. Kwa ivyo unatoa order yako mapema.

Wazalishaji pia wanajukumu la kupanga capacity planning kutokana na limit on how much they can store in a day sio shughuli ndogo.

Ndio maana ata hao Saudi Arabia wana subcontract baadhi ya refinery za India kuwasafishia mafuta; uamki tu asubuhi na kununua mafuta. Inabidi utoe order well in advance na utalipa kutokana na siku unayonunua ata kama mafuta yako utayapata baada ya mwezi.

Kukwepa risk za namna hiyo watu wanaingia contract za ununuzi wa mwaka mzima na hedging on price ceiling and floors against unexpected shocks.

Lakini kwa mtu anaenunua kwa mwezi unakuwa vulnerable to developments in external factors zinazofanya bei ya mafuta kupanda na kushuka.
Maelezo mengi umeruka swali la MSINGI ... Bei ya mwezi uliopita ilikuwa chini na bei ya soko duniani ilikuwa juu ...mind you (walisema stock IPO mpaka mwezi July) ..leo bei ya soko ipo chini bei imepanda ..msitufanye wajinga kiasi hicho kaka HIZO PRICE CEILING NA PRICE FLOOR ZIPO KWENYE MAZAO(product) YOTE ... HEDGING VILEVILE so usilete viterminology kufichia upigaji wenu....
 
Hiyo Bei ya $130 ilikaa siku 3 tu , na baada ya hapo yakashuka. Unataka kusema ndani ya hizo siku 3 ndio walinunua hayo mafuta?
Not necessary isipokuwa refinery zinakuwa na anticipation how much the prices are likely to rise and fall during the month utapewa average anticipate price or highest anticipated price.

Halafu usisahau hiyo ni bei ya crude for refined by products the price is even higher.
 
Sii kuwa yameshuka kidogo bali yako kama mwezi ulopita, mshangao ni hiyo bei imepandaje
Yameshuka kidogo, mwezi uliopita yalikua $110, Sasa hivi ni $106
 
Mafuta yameshuka duniani,. Kabla yalikua $126, ikaenda $110 na sasa ndio hiyo $106. Kwa hiyo yameshuka. Njoo na sababu zingine
126$ ilifika muda mdogo sana kama wiki tu mafuta kabla ya mwaka yalikuwa 60 kufika 106 ndio yamekaa muda mrefu lazima ujuwe hiyo ni bei ya crude sio refining products kikubwa fahamu mafuta hawanunui kila siku watu wananunua miezi mitatu mbele kama minada. Kama ilikuwa 126$ sasa bei zilikuwa bei gani kwetu? zilikuwa juu au? maana kama ilikuwa 126 kwa maneno yako basi wasifie serikali kuwa waliuza bei ya chini wakati huo. 126 ilifika short sana 100-106 imekaa kwa muda na hii ni brent sio wote wanazalisha standard ya brent yako ya bei ya chini tu. Kuna mafuta mpaka 80$ sasa hujiulizi kwanini yote bei moja kwenye refining. System yetu ya kutumia plat kwenye bulk ndio shida hata kama mtu kanunua huko chini ya plat kwa dola 10 huku wana calculate plat price ndio maana nasema hii system itazamwe upya ina kasoro nyingi haina ushindani.
 
Maelezo mengi umeruka swali la MSINGI ... Bei ya mwezi uliopita ilikuwa chini na bei ya soko duniani ilikuwa juu ...mind you (walisema stock IPO mpaka mwezi July) ..leo bei ya soko ipo chini bei imepanda ..msitufanye wajinga kiasi hicho kaka HIZO PRICE CEILING NA PRICE FLOOR ZIPO KWENYE MAZAO(product) YOTE ... HEDGING VILEVILE so usilete viterminology kufichia upigaji wenu....
Wanaposema stock ipo mpaka mwezi July ni kutokana purchase agreement zilizopo. Lakini uwezo wetu wa kuhifadhi mafuta sidhani kama unazidi mwezi.

Ebu muwe mnawasikiliza wanapotoa maelezo sio kuwa bias kuelewa kile mnachotaka nyinyi.

Ndio maana nchi hii kuna viongozi uwa wanaweza fafanua we mpaka inafika mahala wanachoka bora wafanye tu.

Walichosema kuhusu mafuta ya July yashanunuliwa so hayo itakuwa bei ya April, lakini aina maana yapo nchini tayari.

We elewa kwamba bei za Ewura ni nyuma mwezi + ya bei z soko.
 
Wengi mlishangilia uvamizi wa Putin Ukraine maana wabongo kila kitu wanafanya masihara sasa mnaanza kuonja athari za uvamizi. Na bei za mafuta zikipanda, bei za bidhaa na vyakula nazo zitapanda. Maana vyakula na bidhaa vinategemea mafuta kusafirishwa. Na bado msubiri bei za unga wa ngano na mikate zitapanda maana nazo zinaagizwa kutoka Ukraine na Urusi.
Kwani tusinge shangilia Putin hasinge ivamia Ukraine.
 
Not necessary isipokuwa refinery zinakuwa na anticipation how much the prices are likely to rise and fall during the month utapewa average anticipate price or highest anticipated price.

Halafu usisahau hiyo ni bei ya crude for refined by products the price is even higher.
Najua hiyo ni Bei ya crude, na wakishasafisha ndio inakuja sasa bei halisi
Lakini hij bei halisi ipo determined na bei ya crude. Ndio maaana crude ikupungua na mafuta yanapungua Bei. Ikipanda na mafuta Safi yanapanda pia.
 
126$ ilifika muda mdogo sana kama wiki tu mafuta kabla ya mwaka yalikuwa 60 kufika 106 ndio yamekaa muda mrefu lazima ujuwe hiyo ni bei ya crude sio refining products kikubwa fahamu mafuta hawanunui kila siku watu wananunua miezi mitatu mbele kama minada. Kama ilikuwa 126$ sasa bei zilikuwa bei gani kwetu? zilikuwa juu au? maana kama ilikuwa 126 kwa maneno yako basi wasifie serikali kuwa waliuza bei ya chini wakati huo. 126 ilifika short sana 100-106 imekaa kwa muda na hii ni brent sio wote wanazalisha standard ya brent yako ya bei ya chini tu. Kuna mafuta mpaka 80$ sasa hujiulizi kwanini yote bei moja kwenye refining. System yetu ya kutumia plat kwenye bulk ndio shida hata kama mtu kanunua huko chini ya plat kwa dola 10 huku wana calculate plat price ndio maana nasema hii system itazamwe upya ina kasoro nyingi haina ushindani.
Hiyo bei ya $126 ilikua mid March, kwa maeezo yako ya miezi mitatu nyuma basi Bei ilikua $90.
 
Back
Top Bottom