Kesho naanza kulipa 400 kwenye daladala sasa
Kenyata alitoa zaid ya 100 bilion na mafuta bado ni Ksh 150 = TSh 2988 kwa pesa ya TanzaniaKwa ile billion 100 ilibidi wese angalau liwe <2500
Huku sio kuupiga mwingi Bali Ni kuubutua, hakika mama anaubutua mwingi,!!Mama anaupiga mwingi.
Wajanja wamezipiga. Yaani bil 100 kwa mwezi 1 zinapunguza bei kwa sh 300 tu,??Kwa ile billion 100 ilibidi wese angalau liwe <2500
Unatolea mfano nchi iliyooza kwa rushwa? Wakenya wamezipga hizo fedhaKenyata alitoa zaid ya 100 bilion na mafuta bado ni Ksh 150 = TSh 2988 kwa pesa ya Tanzania