antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kwani nchi jirani kama Zambia na Kenya wanafanyaje mafuta yanakuwa bei rahisi kuliko Tanzania, au wao wana visima vyao vya mafuta?!!Zaidi ya dar kote mafuta yatakuwa 3000+ hapo ndio wameshusha kwa mbwewe hakuna kipya..